Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Ripota wa UN: Israel ni mvamizi mbaya zaidi katika historia

    Ripota wa UN: Israel ni mvamizi mbaya zaidi katika historia

    Mar 21, 2017 22:45

    Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu amesema kuwa uvamizi wa Israel dhidi ya Palestina ulioanza zaidi ya miongo sita iliyopita ndio mbaya na machafu zaidi duniani.

  • Rais wa Misri akutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Cairo katika anga ya hitilafu

    Rais wa Misri akutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Cairo katika anga ya hitilafu

    Mar 21, 2017 04:04

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri huko mjini Cairo, huku kukiwepo na tofauti baina yao.

  • Wapalestina waandamana kulaani ukatili wa Israel

    Wapalestina waandamana kulaani ukatili wa Israel

    Mar 19, 2017 00:56

    Mamia ya Wapalestina wameshiriki katika mazishi ya kiijana aliyeuawa kwa kupigwa risasia na vikosi vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji wa Al Khalil huko Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Katibu Mtendaji wa ESCWA ajiuzulu baada ya UN kufuta ripoti inayoitambua Israel kuwa ni utawala wa Apartheid

    Katibu Mtendaji wa ESCWA ajiuzulu baada ya UN kufuta ripoti inayoitambua Israel kuwa ni utawala wa Apartheid

    Mar 17, 2017 23:19

    Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Katibu Mtendaji wa Kamati ya Kiuchumi na Kijamii ya Asia Magharibi katika Umoja wa Mataifa (ESCWA) amejizulu wadhifa wake baada ya Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres kutoa amri ya kufutwa ripoti ya kamati hiyo inayoutambua utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ni utawala wa kibaguzi, Apartheid.

  • Wapalestina waushitaki utawala haramu wa Israel katika mahakama ya ICC

    Wapalestina waushitaki utawala haramu wa Israel katika mahakama ya ICC

    Mar 17, 2017 23:18

    Mwenyekiti wa Kituo cha Haki za Binadamu cha Palestina Radhi al Surani amesema kuwa kutuo hicho kimewasilisha mashtaka sita dhidi ya utawala haramu wa Isarel katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).

  • Afrika Kusini yaunga mkono mpango wa kuasisiwa nchi huru ya Palestina

    Afrika Kusini yaunga mkono mpango wa kuasisiwa nchi huru ya Palestina

    Mar 17, 2017 13:08

    Afrika Kusini imesisitiza kuwa inaunga mkono suala la kuasisiwa nchi huru ya Palestina ili kuhitimisha mzozo wa Mashariki ya Kati.

  • Kuwa mwanachama Palestina wa Jumuiya ya Nchi za Caribbean

    Kuwa mwanachama Palestina wa Jumuiya ya Nchi za Caribbean

    Mar 12, 2017 23:09

    Palestina imekuwa "Mwanachama Mtazamaji" wa Jumuiya ya Nchi za Carribean (ACS). Katika kikao cha Baraza la Mawaziri wa nchi wanachama wa jumuiya ya nchi za eneo la Caribbean kilichofanyika siku ya Jumamosi katika mji mkuu wa Cuba, Havana, Palestina imetangazwa kuwa nchi mwanachama mtazamaji wa jumuiya hiyo.

  • Wapalestina waandamana kupinga marufuku ya adhana Quds tukufu

    Wapalestina waandamana kupinga marufuku ya adhana Quds tukufu

    Mar 12, 2017 03:52

    Maelfu ya wananchi wa Palestina inayokaliwa kwa mabavu wamefanya maandamano kulaani sheria iliyopasishwa hivi karibuni na Bunge la Israel ya kupiga marufuku adhana katika mji mtakatifu wa Quds.

  • Vipaza Sauti vya adhana katika nyumba Wapalestina kupinga amri ya Israel

    Vipaza Sauti vya adhana katika nyumba Wapalestina kupinga amri ya Israel

    Mar 11, 2017 23:31

    Idadi kubwa ya Wapalestina wameweka vipaza sauti vya adhana katika paa za nyumba zao kama njia ya kuonyesha upinzani wao kwa sheria ya Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel kupiga marufuku ya adhana katika mji wa Quds na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Hamas yalaani muswada wa sheria ya Israel wa kuzima adhana Quds

    Hamas yalaani muswada wa sheria ya Israel wa kuzima adhana Quds

    Mar 11, 2017 02:52

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imekosoa vikali muswada wa sheria uliopasishwa hivi karibuni na Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel, unaopania kupiga marufuku kusomwa adhana katika misikiti ya Quds tukufu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS