-
Wanajeshi wa Israel wamkamata mbunge mwanamke Mpalestina
Mar 10, 2017 04:02Wanajeshi wa utawala haramu wa Israel wamewakamata Wapalestina kadhaa akiwemo mbunge mwanamke.
-
Mufti Mkuu wa Quds: Wapalestina hawatairuhusu Israel iingilie masuala yao ya kidini
Mar 09, 2017 13:00Mufti Mkuu wa Baitul Muqaddas Sheikh Muhammad Ahmad Hussein amekosoa vikali hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kupasisha muswada wa sheria ya kupiga marufuku adhana katika misikiti ya Quds tukufu inayokaliwa kwa mabavu.
-
Watu wa Canada wataka bidhaa za Israel zisusiwe
Mar 03, 2017 10:07Watu wa Canada wametaka bidhaa zinazotegenezwa Israel zisusiwe nchini humo kama njia ya kutetea haki za taifa la Palestina.
-
Afisa wa Israel akiri jeshi la utawala wa Kizayuni lilishindwa katika vita vya siku 50 Ukanda wa Gaza
Mar 01, 2017 00:57Kamanda wa zamani katika jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel eneo, amekiri wazi kwamba jeshi na serikali yote ya utawala huo, vilishindwa katika vita ya siku 50 dhidi ya Ukanda wa Gaza, Palestina.
-
Hamas yapinga fikra ya kupelekwa askari wa kimataifa Ukanda wa Gaza
Feb 28, 2017 12:38Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa harakati hiyo haitakubali harakati yoyote ya kutuma askari wa kimataifa katika eneo la Ukanda wa Gaza.
-
Israel yafanya hujuma mpya za anga Ukanda wa Gaza
Feb 28, 2017 04:22Jeshi la utawala katili wa Israel limefanya mashambulizi mapya ya anga katika Ukanda wa Gaza na kujeruhi watu kadhaa.
-
Radiamali ya Umoja wa Mataifa kwa hatua zilizo dhidi ya ubinadamu za utawala wa Israel
Feb 27, 2017 23:13Umoja wa Mataifa umetangaza katika ripoti yake kwamba, katika kipindi cha majuma mawili yaliyopita, utawala wa Kizayuni wa Israel umebomoa makumi ya nyumba za Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na hivyo kuwaacha Wapalestina wengine wakitangatanga kutokana na kutokuwa na makazi.
-
Bunge la Ufaransa lamtaka Rais Francois Hollande kuitambua rasmi Palestina
Feb 27, 2017 04:09Wabunge wa Ufaransa wamemtaka Rais wa nchi hiyo Francois Hollande aitambue rasmi Palestina.
-
Sayyed Albeity wa Lamu, Kenya: Kuna Matumaini Intifadha ya Palestina Itafaulu
Feb 26, 2017 11:20Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina ulimalizika Jumatano hapa Tehran, ambapo kulikuwa wa washiriki zaidi ya 700 kutoka 80.
-
Balozi wa Palestina Tehran: Tunaishukuru sana Iran kwa kuiunga mkono Paletina
Feb 23, 2017 10:07Balozi wa Palestina mjini Tehran sambamba na kuashiria umuhimu wa mkutano wa 6 wa kimataifa kwa ajili ya kuunga mkono Intifadha ya Palestina uliofanyika hapa mjini Tehran Jumanne na jana Jumatano, ambao uliionyesha dunia dhulma na ukatili wanaofanyiwa Wapalestina, amesema kuwa mkutano huo ulikuwa muhimu sana katika kufichua njama chafu za Marekani na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Palestina.