-
Ban Ki-moon apuuza Palestina katika siku zake za mwisho
Dec 19, 2016 04:50Wakati zikiwa zimebakia wiki mbili tu hadi kung'atuka madarakani kama Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon amethibitisha tena kwamba, jumuiya hiyo ya kimataifa imeshindwa kuwa na nafasi na mchango muhimu katika mgogoro wa Palestina.
-
PLO yaionya Marekani kuhusu kuhamishia ubalozi Quds Tukufu
Dec 17, 2016 04:24Afisa wa ngazi za juu katika Harakati ya Ukombozi wa Palestina PLO amemuonya rais mteule wa Marekani Donald Trump kuhusu pendekezo lake la kuhamisha ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi Qud Tukufu.
-
Alkhamisi, 15 Disemba, 2016
Dec 15, 2016 00:43Leo ni Alkhamisi tarehe 15 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1438 Hijria sawa na tarehe 15 Disemba mwaka 2016.
-
Kiongozi Muadhamu: Palestina itakombolwewa kwa baraka za mapambano ya Wapalestina
Dec 14, 2016 11:02Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: "Pamoja na kuwa waitifaki wa utawala wa Kizayuni wanaibua migogoro mara kwa mara ili kadhia ya Palestina isahaulike, lakini ardhi hii takatifu itakombolewa kwa baraka za muqawama na jihadi ya taifa na makundi ya Palestina".
-
Zarif: Iran inafanya juhudi za kuimarisha muqawama wa taifa la Palestina
Dec 12, 2016 23:20Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, taifa hili daima limekuwa likifanya juhudi za kuimarisha safu za muqawama, mapambano na mshikamano wa taifa la Palestina.
-
Velayati: Matamshi ya Waziri Mkuu wa Uingereza hayana athari za kivitendo
Dec 12, 2016 10:33Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Kistratejia cha Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema kuwa, matamshi yaliyo dhidi ya Iran ya Waziri Mkuu wa Uingereza katika mkutano wa usalama mjini Manama nchini Bahrain hayana athari za kivitendo.
-
Ijumaa tarehe 09 Disemba, 2016
Dec 08, 2016 23:16Leo ni Ijumaa tarehe 9 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1438 Hijria sawa na tarehe 9 Disemba 2016 Milaadia.
-
Mamia ya Wapalestina watekwa nyara na Wazayuni
Dec 04, 2016 03:53Kituo cha Kufuatilia Masuala ya Mateka wa Palestina kimesema kuwa, mamia ya Wapalestina wametekwa nyara na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika kipindi cha mwezi ulioisha wa Novemba.
-
Dunia leo inaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kushikamana na Wapestina
Nov 28, 2016 23:31Jumuiya ya Kimataifa ya Amani ya Kiislamu imelaani jinai zinazoendelea kufanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya watu wa Palestina na kutangaza kuwa, kuendelezwa siasa za ukandamizaji za utawala huo kutaimarisha zaidi harakati zenye misimamo mikali.
-
Sisitizo la Umoja wa Mataifa juu ya haki ya taifa la Palestina ya kujiainishia mustakbali
Nov 23, 2016 23:32Nchi 170 kati ya nchi 193 wanachama wa Kamati ya Kijamii, Kiutamaduni na Kibinadamu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (SOCHUM) zimeipigia kura ya ndio rasimu ya azimio lenye anwani inayosema, "Haki ya Taifa la Palestina ya Kujiainishia Mustakabali Wake".