-
OIC yakosoa ripoti ya US, EU na UN kuhusu Palestina
Jul 03, 2016 02:56Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imekosoa ripoti ya pande nne za Marekani, Russia, Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya kuhusu mgogoro wa Palestina na utawala haramu wa Israel na kusisitiza kuwa, ripoti hiyo imeegemea upande wa kuiunga mkono Tel Aviv.
-
Ban Ki-moon: Israel iondoke katika ardhi ya Palestina
Jul 02, 2016 03:31Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa njia pekee ya kupatikana amani ya kudumu Mashariki ya Kati ni kuundwa dola la Palestina na kurejea Israel kwenye mipaka iliyokuwepo mwaka 1967.
-
Kiongozi Muadhamu: Iran ifuatilie haki zake zilizokiukwa na Marekani
Jun 29, 2016 23:09Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amevitaka vyombo vya mahakama Iran kuchukua hatua imara zaidi katika kufuatilia haki za Iran zilizokiukwa kutokana na vikwazo kupitia vyombo vya mahakama vya kimataifa.
-
Sheikh Hemedi Jalala: Walimwengu wanapaswa kupinga ukandamizaji dhidi ya Wapalestina
Jul 02, 2016 00:08Walimwengu wametakiwa kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina na kupaza sauti za kupinga dhulma, unyanyasaji na mauaji yanayofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina.
-
Matamshi ya viongozi wa Iran katika Siku ya Kimataifa ya Quds
Jul 01, 2016 10:51Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa taifa la Iran litaendelea kuunga mkono vilivyo haki za wananchi madhlumu wa Palestina na kueleza kuwa Tehran kamwe haitawaacha peke yao wananchi na muqawama wa Palestina mbele ya utawala katili wa Kizayuni.
-
Siku ya Quds, Siku ya kuikomboa Baitul Muqaddas
Jun 29, 2016 03:18Idadi kadhaa ya wanazuoni na wanasiasa wa Ulimwengu wa Kiislamu wameitaja Siku ya Kimataifa ya Quds kuwa ni Siku ya kuikomboa Baitul Muqaddas na kuwaunga mkono waliodhulumiwa.
-
Siku ya Kimataifa ya Quds: Palestina, Kadhia Kuu ya Waislamu Duniani
Jun 28, 2016 23:57Mbunge wa ngazi za juu nchini Iran amesema kadhia ya Palestina ndio muhimu zaidi kwa Waislamu na hivyo ametoa wito wa ushiriki mkubwa katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds.
-
Ban: Israel inawaumiza Wapalestina kwa mzingiro wake Ghaza
Jun 28, 2016 23:56Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon amelaani mzingiro wa Israel huko Ukanda wa Ghaza na kusema unawaumiza Wapalestina na kuharibu uchumi wao.
-
Jeshi la Iran launga mkono Intifadha ya Palestina
Jun 28, 2016 09:35Kamandi ya Majeshi yote ya Iran imetoa wito kwa watu wote katika ulimwengu wa Kiislamu kujitokeza kwa wingi katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds Ijumaa hii.
-
Nchi za Kiafrika zakosoa ukandamizaji wa Israel dhidi ya Wapalestina
Jun 28, 2016 03:17Kundi la nchi 54 za bara Afrika limekosoa vikali ukandamizaji na dhulma zinazofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina katika ardhi zao unazozikalia kwa mabavu.