Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • OIC yakosoa ripoti ya US, EU na UN kuhusu Palestina

    OIC yakosoa ripoti ya US, EU na UN kuhusu Palestina

    Jul 03, 2016 02:56

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imekosoa ripoti ya pande nne za Marekani, Russia, Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya kuhusu mgogoro wa Palestina na utawala haramu wa Israel na kusisitiza kuwa, ripoti hiyo imeegemea upande wa kuiunga mkono Tel Aviv.

  • Ban Ki-moon: Israel iondoke katika ardhi ya Palestina

    Ban Ki-moon: Israel iondoke katika ardhi ya Palestina

    Jul 02, 2016 03:31

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa njia pekee ya kupatikana amani ya kudumu Mashariki ya Kati ni kuundwa dola la Palestina na kurejea Israel kwenye mipaka iliyokuwepo mwaka 1967.

  • Kiongozi Muadhamu: Iran ifuatilie haki zake zilizokiukwa na Marekani

    Kiongozi Muadhamu: Iran ifuatilie haki zake zilizokiukwa na Marekani

    Jun 29, 2016 23:09

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amevitaka vyombo vya mahakama Iran kuchukua hatua imara zaidi katika kufuatilia haki za Iran zilizokiukwa kutokana na vikwazo kupitia vyombo vya mahakama vya kimataifa.

  • Sheikh Hemedi Jalala: Walimwengu wanapaswa kupinga ukandamizaji dhidi ya Wapalestina

    Sheikh Hemedi Jalala: Walimwengu wanapaswa kupinga ukandamizaji dhidi ya Wapalestina

    Jul 02, 2016 00:08

    Walimwengu wametakiwa kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina na kupaza sauti za kupinga dhulma, unyanyasaji na mauaji yanayofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina.

  • Matamshi ya viongozi wa Iran katika Siku ya Kimataifa ya Quds

    Matamshi ya viongozi wa Iran katika Siku ya Kimataifa ya Quds

    Jul 01, 2016 10:51

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa taifa la Iran litaendelea kuunga mkono vilivyo haki za wananchi madhlumu wa Palestina na kueleza kuwa Tehran kamwe haitawaacha peke yao wananchi na muqawama wa Palestina mbele ya utawala katili wa Kizayuni.

  • Siku ya Quds, Siku ya kuikomboa Baitul Muqaddas

    Siku ya Quds, Siku ya kuikomboa Baitul Muqaddas

    Jun 29, 2016 03:18

    Idadi kadhaa ya wanazuoni na wanasiasa wa Ulimwengu wa Kiislamu wameitaja Siku ya Kimataifa ya Quds kuwa ni Siku ya kuikomboa Baitul Muqaddas na kuwaunga mkono waliodhulumiwa.

  • Siku ya Kimataifa ya Quds: Palestina, Kadhia Kuu ya Waislamu Duniani

    Siku ya Kimataifa ya Quds: Palestina, Kadhia Kuu ya Waislamu Duniani

    Jun 28, 2016 23:57

    Mbunge wa ngazi za juu nchini Iran amesema kadhia ya Palestina ndio muhimu zaidi kwa Waislamu na hivyo ametoa wito wa ushiriki mkubwa katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds.

  • Ban: Israel inawaumiza Wapalestina kwa mzingiro wake Ghaza

    Ban: Israel inawaumiza Wapalestina kwa mzingiro wake Ghaza

    Jun 28, 2016 23:56

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon amelaani mzingiro wa Israel huko Ukanda wa Ghaza na kusema unawaumiza Wapalestina na kuharibu uchumi wao.

  • Jeshi la Iran launga mkono Intifadha ya Palestina

    Jeshi la Iran launga mkono Intifadha ya Palestina

    Jun 28, 2016 09:35

    Kamandi ya Majeshi yote ya Iran imetoa wito kwa watu wote katika ulimwengu wa Kiislamu kujitokeza kwa wingi katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds Ijumaa hii.

  • Nchi za Kiafrika zakosoa ukandamizaji wa Israel dhidi ya Wapalestina

    Nchi za Kiafrika zakosoa ukandamizaji wa Israel dhidi ya Wapalestina

    Jun 28, 2016 03:17

    Kundi la nchi 54 za bara Afrika limekosoa vikali ukandamizaji na dhulma zinazofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina katika ardhi zao unazozikalia kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS