-
Mamlaka ya Ndani ya Palestina yalaumiwa kwa kushirikiana kiusalama na Israel
Sep 19, 2016 22:13Kiongozi mmoja wa Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amesema harakati hiyo imesikitishwa na hatua ya Mamlaka ya Ndani ya kushirikiana kiusalama na utawala wa Kizayuni wa Israel huku utawala huo haramu ukiendelea kuwaua Wapalestina.
-
Kushtadi jinai za Israel dhidi ya wananchi wa Palestina
Sep 17, 2016 03:39Ripoti zinaarifu kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umezidisha jinai na vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya raia wa Palestina na katika fremu hiyo Wapalestina wanne wameuliwa shahidi kwa kupigwa risasi.
-
Wapalestina wakumbuka ukatili wa Israel katika 'Mauaji ya Sabra na Shatila'
Sep 16, 2016 10:00Leo Ijumaa tarehe 16 Septemba ni kumbukumbu ya ukatili wa kinyama uliotekelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika kambi za Wapalestina za Sabra na Shatila mjini Beirut Lebanon.
-
Jumanne, 13 Septemba 2016
Sep 13, 2016 01:30Leo ni Jumanne tarehe 11 Mfunguo tatu Dhilhija 1437 Hijria sawa na 13 Septemba 2016.
-
Israel, chanzo cha kushadidi hali mbaya ya kiuchumi Palestina
Sep 10, 2016 03:03Mashirika ya Kimataifa yameonya kuhusu kudorora kwa kiasi kikubwa uchumi wa ardhi za Palestina kutokana na vizingiti vilivyowekwa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Palestina.
-
Makundi ya Kizayuni yataka kuhitimishwa kukaliwa kwa mabavu Palestina
Sep 07, 2016 23:31Makundi kadhaa ya Wazayuni yametaka kukomeshwa kukaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina.
-
Utawala wa Kizayuni washambulia kwa mizinga Ukanda wa Ghaza
Sep 06, 2016 02:58Kikosi cha mizinga cha utawala wa Kizayuni wa Israel kimefanya mashambulizi katika eneo la kaskazini mwa Ukanda wa Ghaza huko Palestina.
-
Wazayuni wamuua shahidi kijana Mpalestina Quds Tukufu
Sep 05, 2016 02:56Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameshambulia kambi ya wakimbizi wa Kipalestina katika Quds Tukufu (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu na kumuua shahidi kijana Mpalestina.
-
Palestina yaitaka dunia ikomeshe jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel
Sep 03, 2016 11:43Mwakilishi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa ameutaka utawala wa Kizayuni wa Israel ukomeshe ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika maeneo uliyowapora Wapalestina.
-
Jihad Islami Palestina kuendeleza mapambano ya kukomboa Quds
Sep 02, 2016 10:27Afisa wa ngazi za juu wa harakati ya kupigania ukombozi Palestina ya Jihad Islami amesisitiza udharura wa kuendelezwa mapambano na mwamko (Intifadha) dhidi ya utawala ghasibu wa Israel ili kukomboa ardhi zote za Palestina hasa Quds Tukufu (Jerusalem).