Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Wasiwasi kuhusu ukatili wa Israel dhidi ya watoto Wapalestina

    Wasiwasi kuhusu ukatili wa Israel dhidi ya watoto Wapalestina

    Jun 26, 2016 02:50

    Kufuatia kushadidi ukatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watoto Wapalestina, kumekuwepo wasiwasi na malalamiko makubwa miongoni mwa Wapalestina na jamii ya kimataifa.

  • Familia: Israel inazuia miili ya Wapalestina wanaowaua

    Familia: Israel inazuia miili ya Wapalestina wanaowaua

    Jun 23, 2016 03:33

    Familia za Wapalestina waliouawa shahidi na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamefanya maandamano kuutaka utawala wa Tel Aviv kuwapa miili ya wapendwa wao huku wakitaja sera hiyo ya kuzuia miili kuwa 'jinai na mateso kwa walio hai na waliokufa'.

  • Utawala wa Kizayuni wamuua shahidi Mpalestina, waharibu nyumba

    Utawala wa Kizayuni wamuua shahidi Mpalestina, waharibu nyumba

    Jun 21, 2016 03:29

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wamempiga risasi na kumuua shahidi kijana Mpalestina kwa kosa la kurushia gari lao jiwe na baada ya hapo kuharibu nyumba ya Mpalestina mwingine katika Ukingo wa Magharibi.

  • Makumi ya wafungwa wa Palestina wafanya mgomo wa kula katika korokoro za Israel

    Makumi ya wafungwa wa Palestina wafanya mgomo wa kula katika korokoro za Israel

    Jun 20, 2016 23:16

    Wafungwa wasiopungua 65 wanaoshikiliwa katika korokoro za Israel wanafanya mgomo wa kula wakipinga hatua ya utawala huo wa Kizayuni kundelea kuwashirikia kizuizini na vilevile kuonesha mshikamano na mfungwa mwenzao.

  • Israel yatenga $18M za ujenzi wa vitongoji vipya Palestina

    Israel yatenga $18M za ujenzi wa vitongoji vipya Palestina

    Jun 20, 2016 02:38

    Utawala haramu wa Israel umeidhinisha dola milioni 18 za Marekani zitakazotumiwa katika ujenzi wa vitongoji vipya vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Wapalestina unazozikalia kwa mabavu.

  • HAMAS: Tuna matumaini ya kivuko cha Rafah kufunguliwa moja kwa moja

    HAMAS: Tuna matumaini ya kivuko cha Rafah kufunguliwa moja kwa moja

    Jun 17, 2016 00:12

    Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema wana matumaini ya kufunguliwa moja kwa moja kivuko cha Rafah ambacho ni kivuko muhimu zaidi kinachounganisha eneo la Ukanda wa Gaza, Palestina na ulimwengu wa nje.

  • Israel yawakatia maji Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Israel yawakatia maji Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Jun 15, 2016 02:48

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umewakatia huduma za maji Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan licha ya joto kali na hitajio kubwa la bidhaa hiyo muhimu katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

  • HAMAS: Kuwatia mbaroni Wapalestina kutashamirisha Intifadha

    HAMAS: Kuwatia mbaroni Wapalestina kutashamirisha Intifadha

    Jun 11, 2016 11:00

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesistiza kuwa kitendo cha askari wa utawala wa Kizayuni cha kuwatia nguvuni Wapalestina kitashamirisha na kupanua zaidi Intifadha ya Quds.

  • UN yaikosoa Israel kuwakataza Wapalestina kuingia katika ardhi zao

    UN yaikosoa Israel kuwakataza Wapalestina kuingia katika ardhi zao

    Jun 10, 2016 23:19

    Umoja wa Mataifa umeukosoa utawala haramu wa Israel kwa kuwazuia Wapalestina kuingia na kutembea katika ardhi zao unazozikalia kwa mabavu.

  • Israel yawakataza Wapalestina kutembeleana mwezi wa Ramadhan

    Israel yawakataza Wapalestina kutembeleana mwezi wa Ramadhan

    Jun 09, 2016 09:25

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umewapiga marufuku Wapalestina kutembeleana na kufanya ziara katika maeneo matakatifu ya ardhi zao zinazokaliwa kwa mabavu, katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhan, kufuatia shambulizi dhidi ya Tel Aviv.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS