-
Wasiwasi kuhusu ukatili wa Israel dhidi ya watoto Wapalestina
Jun 26, 2016 02:50Kufuatia kushadidi ukatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watoto Wapalestina, kumekuwepo wasiwasi na malalamiko makubwa miongoni mwa Wapalestina na jamii ya kimataifa.
-
Familia: Israel inazuia miili ya Wapalestina wanaowaua
Jun 23, 2016 03:33Familia za Wapalestina waliouawa shahidi na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamefanya maandamano kuutaka utawala wa Tel Aviv kuwapa miili ya wapendwa wao huku wakitaja sera hiyo ya kuzuia miili kuwa 'jinai na mateso kwa walio hai na waliokufa'.
-
Utawala wa Kizayuni wamuua shahidi Mpalestina, waharibu nyumba
Jun 21, 2016 03:29Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wamempiga risasi na kumuua shahidi kijana Mpalestina kwa kosa la kurushia gari lao jiwe na baada ya hapo kuharibu nyumba ya Mpalestina mwingine katika Ukingo wa Magharibi.
-
Makumi ya wafungwa wa Palestina wafanya mgomo wa kula katika korokoro za Israel
Jun 20, 2016 23:16Wafungwa wasiopungua 65 wanaoshikiliwa katika korokoro za Israel wanafanya mgomo wa kula wakipinga hatua ya utawala huo wa Kizayuni kundelea kuwashirikia kizuizini na vilevile kuonesha mshikamano na mfungwa mwenzao.
-
Israel yatenga $18M za ujenzi wa vitongoji vipya Palestina
Jun 20, 2016 02:38Utawala haramu wa Israel umeidhinisha dola milioni 18 za Marekani zitakazotumiwa katika ujenzi wa vitongoji vipya vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Wapalestina unazozikalia kwa mabavu.
-
HAMAS: Tuna matumaini ya kivuko cha Rafah kufunguliwa moja kwa moja
Jun 17, 2016 00:12Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema wana matumaini ya kufunguliwa moja kwa moja kivuko cha Rafah ambacho ni kivuko muhimu zaidi kinachounganisha eneo la Ukanda wa Gaza, Palestina na ulimwengu wa nje.
-
Israel yawakatia maji Wapalestina Ukingo wa Magharibi
Jun 15, 2016 02:48Utawala wa Kizayuni wa Israel umewakatia huduma za maji Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan licha ya joto kali na hitajio kubwa la bidhaa hiyo muhimu katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.
-
HAMAS: Kuwatia mbaroni Wapalestina kutashamirisha Intifadha
Jun 11, 2016 11:00Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesistiza kuwa kitendo cha askari wa utawala wa Kizayuni cha kuwatia nguvuni Wapalestina kitashamirisha na kupanua zaidi Intifadha ya Quds.
-
UN yaikosoa Israel kuwakataza Wapalestina kuingia katika ardhi zao
Jun 10, 2016 23:19Umoja wa Mataifa umeukosoa utawala haramu wa Israel kwa kuwazuia Wapalestina kuingia na kutembea katika ardhi zao unazozikalia kwa mabavu.
-
Israel yawakataza Wapalestina kutembeleana mwezi wa Ramadhan
Jun 09, 2016 09:25Utawala wa Kizayuni wa Israel umewapiga marufuku Wapalestina kutembeleana na kufanya ziara katika maeneo matakatifu ya ardhi zao zinazokaliwa kwa mabavu, katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhan, kufuatia shambulizi dhidi ya Tel Aviv.