Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Waziri Mkuu wa Uhispania ayataka mataifa ya Ulaya kuitambua rasmi Palestina

    Waziri Mkuu wa Uhispania ayataka mataifa ya Ulaya kuitambua rasmi Palestina

    Jun 14, 2024 07:32

    Pedro Sanchez, Waziri Mkuu wa Uhispania ameyataka mataifa ya Ulaya kuitambua rasmi Palestina kama nchi na dola huru.

  • Alkhamisi, 13 Juni, 2024

    Alkhamisi, 13 Juni, 2024

    Jun 13, 2024 02:11

    Leo ni Alkhamisi 6 Mfunguo Tatu Dhul-Hijja 1445 Hijria mwafaka na 13 Juni 2024 Miladia.

  • Walimwengu waandamana wakilaani mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza

    Walimwengu waandamana wakilaani mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza

    Jun 12, 2024 07:22

    Maandamano ya kupinga na kulaani mauaji ya kimbari ya utawala ghasibu wa Kizayuni katika ukanda wa Gaza yanaendelea kufanyika katika nchi tofauti za dunia.

  • Msimamo wa Makundi ya Mapambano ya Palestina Kuhusu Azimio la UN

    Msimamo wa Makundi ya Mapambano ya Palestina Kuhusu Azimio la UN

    Jun 12, 2024 02:54

    Makundi ya mapambano ya Palestina yametoa mjibizo kwa hatua ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ya kupitisha azimio lililopendekezwa na Marekani kuhusu matukio ya Ghaza kwa kusisitiza kuwa: azimio hilo linahitaji hakikisho la utekelezaji.

  • Haniya: HAMAS haitasalimu amri, itaendeleza muqawama

    Haniya: HAMAS haitasalimu amri, itaendeleza muqawama

    Jun 10, 2024 03:23

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kundi hilo la muqawama katu halitasalimu amri, bali litaendeleza mapambano yake kwa nguvu zote.

  • Mikakati athirifu ya Iran ya kutatua migogoro ya kikanda na Palestina

    Mikakati athirifu ya Iran ya kutatua migogoro ya kikanda na Palestina

    Jun 03, 2024 03:00

    Katika miaka ya hivi karibuni, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa na mikakati madhubuti na athirifu katika matukio ya kieneo na kimataifa ikiwemo kadhia ya Palestina.

  • Kuendelea uungaji mkono wa kimataifa kwa watu wa Gaza

    Kuendelea uungaji mkono wa kimataifa kwa watu wa Gaza

    Jun 02, 2024 06:31

    Wananchi wa maeneo tofauti ya dunia wanaendela kufanya maandamano na mikusanyiko kwa ajili ya kuwaunga mkono wananchi madhulumu na wanaosimama imara wa Ukanda wa Gaza na kusisitiza juu ya kusimamishwa jinai za utawala wa Kizayuni katika ukanda huo.

  • Jihadul-Islami: Tunautazama mpango uliopendekezwa na Biden kwa 'jicho la shaka'

    Jihadul-Islami: Tunautazama mpango uliopendekezwa na Biden kwa 'jicho la shaka'

    Jun 01, 2024 11:13

    Harakati ya Muqawama ya Jihadul-Islami ya Palestina imesema inautazama kwa jicho la shaka mpango uliotangazwa na Rais wa Marekani kwa ajili ya kuhitimisha vita vya Ghaza.

  • Barua ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa wanachuo wa Marekani wanaotetea Palestina

    Barua ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa wanachuo wa Marekani wanaotetea Palestina

    May 31, 2024 07:28

    Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika barua aliyowaandikia wanachuo wenye utu wanaotetea wananchi wa Palestina katika vyuo vikuu vya Marekani, ameonyesha mshikamano wake na maandamano ya wanachuo hao dhidi ya uzayuni na kuwataja kuwa sehemu ya mrengo wa muqawama.

  • Kiongozi Muadhamu awaambia wanachuo US: Mpo katika upande sahihi wa historia

    Kiongozi Muadhamu awaambia wanachuo US: Mpo katika upande sahihi wa historia

    May 30, 2024 07:08

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria mwamko wa wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Marekani dhidi ya utawala katili wa Israel na kusisitiza kuwa, wanachuo hao wa US wamesimama katika upande sahihi wa historia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS