Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

picha

  • Kiongozi Muadhamu asalisha Sala ya Maiti ya Ismail Haniyeh na mlinzi wake + VIDEO na PICHA

    Kiongozi Muadhamu asalisha Sala ya Maiti ya Ismail Haniyeh na mlinzi wake + VIDEO na PICHA

    Aug 01, 2024 06:43

    Mapema leo Alkhamisi asubuhi, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesalisha umati mkubwa wa Waislamu waliojitokeza katika Sala ya Maiti ya Mkuu wa Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS Ismail Haniyeh na mlinzi wake. Sala hiyo ya Maiti imesaliwa katika viwanja vya Chuo Kikuu cha Tehran.

  • Uchaguzi wa 14 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Uchaguzi wa 14 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Jun 28, 2024 07:54

    Leo Ijumaa tarehe 28 Juni 2024, wananchi wa Iran wamejitokeza kwa mamilioni katika uchaguzi wa 14 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ulioitishwa kabla ya wakati wakati kufuatia kufa shahidi Rais Ebrahim Raisi kwenye ajali ya helikopta.

  • Video na Picha za kombora la hypersonic la Yemen lililopiga meli ya Israel

    Video na Picha za kombora la hypersonic la Yemen lililopiga meli ya Israel

    Jun 27, 2024 06:26

    Vikosi vya Ulinzi vya Yemen vimesambaza video na picha zinazoonyesha kombora la balestiki la hypersonic la vikosi majeshi ya nchi hiyo lililotumika kupiga meli ya utawala wa Kizayuni katika Bahari Nyekundu au Bahari ya Sham.

  • Droni ya Hud-hud ya Hizbullah yazusha kiwewe katika safu za Wazayuni + Picha

    Droni ya Hud-hud ya Hizbullah yazusha kiwewe katika safu za Wazayuni + Picha

    Jun 23, 2024 10:54

    Ingawa vyombo vya habari vya serikali ya utawala wa Kizayuni vinapigana kufa na kupona kuchuja mno habari na kufifiliza athari za droni ya Hodhod ya Hizbullah ndani kabisa ya ardhi za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel lakini vinashindwa kuficha athari zake kubwa ikiwa ni pamoja na kiwewe kilichowakumba viongozi wa Israel.

  • Le Monde: Ususiaji waziathiri vibaya bidhaa za Marekani

    Le Monde: Ususiaji waziathiri vibaya bidhaa za Marekani

    Jun 14, 2024 13:29

    Gazeti la Le Monde la Ufaransa limeripoti kwamba makampuni ya Marekani yako katika kipindi kigumu hivi sasa kwa kususiwa bidhaa zao kutokana na uungaji mkono wao kwa Israel.

  • Mwili wa shahidi Qassem Soleimani na ya mashahidi wenzake yasindikizwa na kuagwa Ahvaz na Mashhad + Video

    Mwili wa shahidi Qassem Soleimani na ya mashahidi wenzake yasindikizwa na kuagwa Ahvaz na Mashhad + Video

    Jan 05, 2020 15:40

    Mwili wa shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, kamanda wa kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu na ya mashahidi wenzake waliouliwa shahidi pamoja naye katika jinai ya kinyama iliyofanywa na majeshi ya kigaidi ya Marekani imesindikizwa na kuagwa leo katika mji mtakatifu wa Mashhad kaskazini mwa Iran na huko Ahvaz kusini mwa nchi.

  • Kuakisiwa gwaride la vikosi vya muqawama vya Palestina mjini Ghaza + Picha

    Kuakisiwa gwaride la vikosi vya muqawama vya Palestina mjini Ghaza + Picha

    Dec 16, 2018 11:08

    Bridegi za Izuddin Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS jana Jumamosi zilifanya gwaride kubwa lililofana la kijeshi katika Ukanda wa Ghaza.

  • Picha ya

    Picha ya "Mpalestina Mlemavu Katika Maandamano Makubwa ya Kurejea" yashinda tuzo ya waandishi wa habari za vita

    Oct 16, 2018 15:40

    Picha ya "Mpalestina Mlemavu Katika Maandamano Makubwa ya Kurejea" imeshinda tuzo ya Bayeux Calvados-Normandy kwa waandishi wa habari za vita.

  • Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Kenya 2018

    Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Kenya 2018

    Jun 09, 2018 13:08

    Siku ya Kimataifa ya Quds ni Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani. Mwaka huu imesadifiana na tarehe 8 Juni 2018 na imefanyika kwa kufana zaidi duniani kuliko miaka yote iliyopita. Hapa tumeweka baadhi ya picha za maandamano ya siku hiyo nchini Kenya.

  • Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Tanzania 2018

    Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Tanzania 2018

    Jun 09, 2018 12:59

    Siku ya Kimataifa ya Quds ni Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani. Mwaka huu imesadifiana na tarehe 8 Juni 2018 na imefanyika kwa kufana zaidi duniani kuliko miaka yote iliyopita. Hapa tumeweka baadhi ya picha za maandamano ya siku hiyo nchini Tanzania.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS