Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

polisi

  • Polisi watatu watiwa mbaroni nchini Misri

    Polisi watatu watiwa mbaroni nchini Misri

    May 30, 2016 04:35

    Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Misri ametoa amri ya kutiwa mbaroni maafisa watatu wa jeshi la polisi la nchi hiyio kwa tuhuma za kumtesa na kumpiga vibaya raia mmoja wa nchi hiyo.

  • Shule za msingi zaendelea kufungwa Uingereza kwa hofu ya ugaidi

    Shule za msingi zaendelea kufungwa Uingereza kwa hofu ya ugaidi

    May 28, 2016 16:02

    Shule za msingi zilifungwa kwa siku ya tatu mfululizo nchini Uingereza jana Ijumaa kwa hofu ya kutokea vitendo vya kigaidi.

  • Waliokuwa njiani kwenda kujiunga na al-Shabaab wakamatwa na polisi ya Kenya

    Waliokuwa njiani kwenda kujiunga na al-Shabaab wakamatwa na polisi ya Kenya

    May 16, 2016 08:19

    Polisi katika mpaka wa Kenya na Somalia wanawazuilia watu watano akiwemo mwanafunzi wa chuo cha walimu, kwa tuhuma za kwenda kujiunga na kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab.

  • Mkuu wa zamani wa polisi Afrika Kusini asailiwa

    Mkuu wa zamani wa polisi Afrika Kusini asailiwa

    May 08, 2016 07:33

    Tume ya uchunguzi wa mauaji ya mwaka 2012 katika kijiji cha Marikana nchini Afrika Kusini imemsaili mkuu wa zamani wa polisi wa nchi hiyo.

  • Polisi ya Burundi yatangaza idadi ya wahanga wa machafuko ya nchi hiyo

    Polisi ya Burundi yatangaza idadi ya wahanga wa machafuko ya nchi hiyo

    May 04, 2016 07:56

    Machafuko nchini Burundi yaliyodumu kwa mwaka mzima sasa yamepelekea watu 451 kuuawa.

  • Polisi Uganda yazima mkutano wa upinzani, kadhaa wakamatwa

    Polisi Uganda yazima mkutano wa upinzani, kadhaa wakamatwa

    May 03, 2016 16:32

    Maafisa wa polisi nchini Uganda wamezima mkutano wa kila wiki wa chama cha upinzani cha FDC na kukamata wafuasi kadhaa wa chama hicho.

  • Viongozi wa CORD wapigwa mabomu ya kutoa machozi Nairobi

    Viongozi wa CORD wapigwa mabomu ya kutoa machozi Nairobi

    Apr 25, 2016 16:34

    Viongozi wa Muungano wa CORD wa Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga na wafuasi wao wamekumbwa na zahama kubwa leo baada ya polisi kuwafyatulia mabomu ya kutoa machozi katika jaribio la kutawanya maandamano yao mbele ya jengo la Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC jijini Nairobi.

  • Baraza la Usalama kutuma kikosi cha polisi Burundi

    Baraza la Usalama kutuma kikosi cha polisi Burundi

    Apr 02, 2016 07:57

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio la kutuma kikosi cha maafisa wa polisi wa umoja huo nchini Burundi kwa lengo la kudhibiti hali ya mambo nchini humo.

  • Msafara wa polisi wa Misri washambuliwa kwa bomu

    Msafara wa polisi wa Misri washambuliwa kwa bomu

    Feb 22, 2016 07:51

    Polisi mmoja ameuawa na watu wengine 11 wamejeruhiwa baada ya kutokea mripuko katika msafara wa polisi hao kwenye mji wa al Arish nchini Misri.

  • Wanafunzi wa chuo cha polisi watimuliwa Misri, kisa wana uhusiano na Ikhwani

    Wanafunzi wa chuo cha polisi watimuliwa Misri, kisa wana uhusiano na Ikhwani

    Feb 15, 2016 15:13

    Serikali ya Misri imewatimua shule makumi ya wanafunzi wa Chuo cha Poilisi ya nchi hiyo kwa tuhuma ya kuwa na uhusiano na kundi la Ikhwanul Muslimin.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS