Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais

  • Misri nayo yataka marekebisho ya katiba ya kuondoa kikomo cha muhula wa rais

    Misri nayo yataka marekebisho ya katiba ya kuondoa kikomo cha muhula wa rais

    Dec 07, 2018 20:55

    Mahakama moja nchini Misri imetangaza Disemba 23 kama siku ya kusikiliza ombi la kutaka kufanyiwa marekebisho katiba ya nchi, yatakayomruhusu Rais Abdulfattah al-Sisi wa nchi hiyo agombee zaidi ya mihula miwili iliyoruhusiwa na katiba.

  • Mahakama Zambia yamuidhinisha Rais Lungu kugombea muhula wa tatu

    Mahakama Zambia yamuidhinisha Rais Lungu kugombea muhula wa tatu

    Dec 07, 2018 11:05

    Mahakama ya Katiba Zambia imetangaza kuwa Rais Edgar Lungu wa nchi hiyo anaweza kugombea muhula wa tatu katika uchaguzi mkuu ujao unaotazamiwa kufanyika mwaka 2021.

  • Rais Mnangagwa: Zimbabwe ina hifadhi kubwa ya mafuta na gesi

    Rais Mnangagwa: Zimbabwe ina hifadhi kubwa ya mafuta na gesi

    Nov 02, 2018 03:58

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amefichua kuwa, nchi hiyo ina hifadhi kubwa ya mafuta na gesi katika mji wa Muzarabani ulioko kaskazini mwa nchi.

  • Ethiopia yapata rais wa kwanza mwanamke

    Ethiopia yapata rais wa kwanza mwanamke

    Oct 25, 2018 10:25

    Bunge la Ethiopia limemuidhinisha mwandiplomasia wa kimataifa, Sahle-Work Zewde kuwa rais wa kwanza mwanamke wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Erdogan: Mauaji ya Khashoggi yalipangwa, wahusika washtakiwe Istanbul

    Erdogan: Mauaji ya Khashoggi yalipangwa, wahusika washtakiwe Istanbul

    Oct 23, 2018 10:59

    Rais Recep Tayyib Erdogan wa Uturuki amesema watu wote waliohusika na mauaji ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari na mkosoaji mkubwa wa utawala wa Saudi Arabia wanapashwa kubebeshwa dhima na kesi zao zinapaswa kusikilizwa mjini Istanbul.

  • Rais Aoun: Serikali ya Lebanon kuundwa katika kipindi kifupi kijacho

    Rais Aoun: Serikali ya Lebanon kuundwa katika kipindi kifupi kijacho

    Oct 18, 2018 10:38

    Rais Michel Aoun wa Lebanon amesema serikali mpya ya nchi hiyo itaundwa katika kipindi kifupi kijacho.

  • Rais Rouhani: Marekani ndiyo iliyoshindwa kwa kukiuka makubaliano ya kimataifa

    Rais Rouhani: Marekani ndiyo iliyoshindwa kwa kukiuka makubaliano ya kimataifa

    Oct 14, 2018 12:48

    Rais Hassan Rouhani amesema: Kwa mtazamo wa kisheria na kisiasa, Marekani ndiyo iliyoshindwa kwa kukiuka makubaliano ya kimataifa.

  • Rais wa Syria: Ushindi wa Idlib utasambaratisha mpango wa

    Rais wa Syria: Ushindi wa Idlib utasambaratisha mpango wa "Muamala wa Karne"

    Oct 08, 2018 04:14

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuhusiana na makelele yanayofanywa na madola ya Magharibi kabla ya kuanza operesheni ya kuukomboa mkoa wa Idlib, kwamba kukombolewa mkoa huo kutafelisha mipango ya Marekani katika Mashariki ya Kati.

  • Keita aapa kurejesha amani nchini Mali

    Keita aapa kurejesha amani nchini Mali

    Sep 05, 2018 07:47

    Rais Ibrahim Boubacar Keïta wa Mali ameahidi kurejesha amani na utulivu katika maeneo ya kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Rais wa Zimbabwe asisitiza udharura wa kudumisha umoja kufuatia ghasia

    Rais wa Zimbabwe asisitiza udharura wa kudumisha umoja kufuatia ghasia

    Aug 04, 2018 03:43

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ametoa wito kwa wananchi kudumisha umoja kufuatia ghasia zilizoibuka baada ya tume ya uchaguzi kumtangaza mshindi katika uchaguzi uliofanyika wiki hii.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS