-
Rais Museveni amteua mwanawe kuwa Mkuu wa Majeshi ya Uganda
Mar 22, 2024 10:56Rais wa Uganda Yoweri Museveni amemteua mwanawe wa kiume, Jenerali Muhoozi Kainerugaba kuwa Mkuu wa Majeshi ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
Spika wa Bunge Ghana amkosoa Rais kwa kutopasisha sheria dhidi ya LGBT
Mar 22, 2024 02:33Spika wa Bunge la Ghana, Alban Bagbin amemjia juu Rais Nana Akufo-Addo wa nchi hiyo kwa kutoidhinisha kuwa sheria muswada wa kupambana na ushoga na ubaradhuli LGBTQ+ takriban mwezi mmoja baada ya kupasishwa kwake na Bunge.
-
Joe Biden akiri kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu Marekani
Mar 18, 2024 02:33Ijumaa, Februari 15, Rais Joe Biden wa Marekani huku akikiri kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini humo tangu kuanza mashambulizi ya Wazayuni huko Gaza alisema: 'Waislamu kote duniani wanapitia hali ngumu kutokana na imani yao.'
-
Rais Raisi: Uwepo wa maajinabi umelizidishia eneo hili matatizo
Feb 16, 2024 02:47Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inapinga vikali uwepo wa madola ajinabi katika eneo hili la kistratejia la Asia Magharibi.
-
Mahakama ya Juu Comoro 'yabariki' ushindi wa Rais Azali Assoumani
Jan 25, 2024 11:13Mahakama ya Juu ya Comoro imesema Rais Azali Assoumani alichaguliwa kihalali katika uchaguzi wa rais uliofanyika wiki iliyopita.
-
Raisi: Mauaji ya washauri wa kijeshi wa IRGC hayatapita bila kujibiwa
Jan 21, 2024 03:33Rais Ebrahim Raisi wa Iran amelaani vikali shambulizi la kigaidi la Israel katika mji mkuu wa Syria, Damascus lililopelekea kuuawa shahidi washauri watano wa kijeshi wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) na kusisitiza kuwa, vitendo vya aina hiyo vya kioga haviwezi kupita hivi hivi bila kupewa jibu.
-
Kumbukumbu ya mwaka wa 3 tangu baada ya tukio la Januari 6; Ishara ya kufifia demokrasia ya Marekani
Jan 06, 2024 10:52Maadhimisho ya miaka mitatu ya shambulio dhidi ya Bunge la Congress ya Marekani Januari 6, 2021 yamewadia huku wapinzani wawili katika uchaguzi wa rais, ambao ni Rais Mdemocrati, Joe Biden, na mgombea mkuu wa chama cha Republican, Donald Trump, wakishambuliana kwa maneno makali hasa katika kipindi hiki cha kuingia mwaka wa uchaguzi wa rais nchini Marekani.
-
Raisi: Wairani wapo macho na wanawafahamu wachochezi
Dec 30, 2023 12:09Rais Ebarhim Raisi wa Iran amesema taifa la Iran linaufahamu vyema uchochezi na kuwatambua wachochezi, na ndio maana walionyesha namna wana muono wa mbali katika tukio la kihistoria la Dei 9.
-
Kuongezeka idadi ya watu wanaotumia intaneti duniani mwaka 2023
Dec 28, 2023 09:31Karibuni wasikilizaji wapendwa wa Idhaa ya Kiswahili Redio Tehran katika kipindi chetu cha makala ya wiki ambapo tutatupia jicho ongezeko la watumiaji wa intaneti duniani mwaka 2023.
-
Mazungumzo ya kwanza ya simu baina ya Marais wa Iran na Misri; hatua ya kukuza uhusiano
Dec 24, 2023 08:14Jana Jumamosi, Sayyid Ebrahim Raisi, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alizungumza kwa simu na Rais Abdel Fattah El Sisi wa Misri, ikiwa ni mara ya kwanza kwa marais wa nchi hizi mbili kuzungumza kwa simu na ikiwa ni katika sehemu ya juhudi za kufufua uhusiano wa pande mbili.