-
WFP: Jamii ya kimataifa iwatumie misaada Waislamu wa Rohingya
Oct 02, 2017 00:57Mpango wa Chakula Duniani WFP umeitaka jamii ya kimataifa kufanya hima kunusuru maisha ya mamia ya maelfu ya Waislamu wa kabila la Rohingya wanaohitajia misaada ya dharura ya kibinadamu.
-
Waislamu 14 wa Rohingya wafa maji baada ya boti yao kuzama
Sep 28, 2017 10:53Kwa akali Waislamu 14 wa jamii ya Rohingya wamefariki dunia katika Mto Naf katika mpaka wa Myanmar na Bangladesh baada ya boti yao kuzama, wakikimbia mauaji na ukandamizaji unaofanywa na wanajeshi wa serikali ya nchi hiyo dhidi ya jamii hiyo.
-
UNHCR: Misaada zaidi inahitajika kwa ajili ya Waislamu Warohingya
Sep 26, 2017 12:31Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR limetoa wito kwa jamii ya kimataifa kuongeza mara mbili juhudi za kuwasaidia wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya waliokimbia mauaji ya umati Myanmar na kupata hifadhi nchini Bangladesh.
-
WHO yatahadharisha kuhusu hali iliyopo katika kambi za Waislamu wa Myanmar
Sep 25, 2017 11:01Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuhusu mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu katika kambi za wakimbizi huko Bangladesh unaotishia maisha ya Waislamu wa Rohingya wa Myanmar wapatao 436,000.
-
Waislamu Warohingya wanaendelea kuangamizwa kwa umati
Sep 23, 2017 04:34Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema ushahidi unaonyesha kuwa nyumba za Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar zinaendelea kuteketezwa katika jimbo la Rakhine.
-
Kuhusu Waislamu wa Rohingya, Suu Kyi ni mdanganyifu
Sep 20, 2017 21:57Wakimbizi Waislamu wa kabila la Rohingya wanaoishi makambini nchini Bangladesh wamesema hotuba aliyotoa Aun San Suu Kyi Waziri wa Mambo ya Nje na ambaye pia ni Mshauri Mkuu wa Serikali ya Myanmar ni ya udanganyifu.
-
Mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa Myanmar
Sep 20, 2017 03:18Waislamu wengi katika pembe mbalimbali za dunia wanakumbana na ubaguzi na aina mbalimbali za ukatili wa kidini, kikaumu na kikabila.
-
HRW: Jeshi la Myanmar liadhibiwe kwa kutekeleza maangamizi ya kimbari dhidi ya Waislamu
Sep 18, 2017 09:27Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limetaka vikwazo vikali vya kimataifa viwekewe Jeshi la Myanmar kutokana na kampeni yake ya kutekeleza maangamizi ya kimbari dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.
-
Mkuu wa Majeshi Myanmar: Hatutasitisha mashambulizi yetu kuwalenga Waislamu wa Rohingya
Sep 18, 2017 03:31Licha ya ukosoaji na kulaaniwa na jamii ya kimataifa mauaji na ukandamizaji unaofanywa na askari wa serikali ya Myanmar kwa kushirikiana na Mabudha magaidi kuwalenga Waislamu wa jamii ya wachache wa Rohingya, mkuu wa majeshi ya nchi hiyo amesisitiza kuwa jeshi hilo litaendeleza hujuma na mashambulizi hayo dhidi ya jamii hiyo ya Waislamu.
-
Mateso ya Waislamu wa Rohingya katika picha
Sep 17, 2017 06:31Hizi hapa chini ni baadhi ya picha zinazoonesha sehemu ndogo to ya matezo makubwa yanayowatesa Waislamu wa jamii ya Rohingya kutokana na ukatili na unyama wa kuchupa mipaka wanaofanyiwa na mabudha