Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  •  Sababu za India kupinga sera za kindumakuwili za EU ni zipi?

    Sababu za India kupinga sera za kindumakuwili za EU ni zipi?

    Jul 19, 2025 06:08

    Wizara ya Mambo ya Nje ya India imepinga vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia na kiwanda cha kusafisha mafuta cha India na pia "sera za kindumakuwili" za umoja huo katika uga wa biashara ya nishati.

  • Kremlin: Hatuna habari kuhusu mkutano wa Putin, Trump, Xi

    Kremlin: Hatuna habari kuhusu mkutano wa Putin, Trump, Xi

    Jul 19, 2025 02:13

    Msemaji wa Ikulu ya Russia (Kremlin) amesema hana ufahamu wowote kuhusu taarifa kwamba Rais wa nchi hiyo, Vladimir Putin, mwenzake wa Marekani, Donald Trump na kiongozi wa China Xi Jinping watakutana nchini China karibuni hivi.

  • Russia: Mashambulio ya karibuni ya Israel dhidi ya Syria yanastahili kulaaniwa 'vikali'

    Russia: Mashambulio ya karibuni ya Israel dhidi ya Syria yanastahili kulaaniwa 'vikali'

    Jul 17, 2025 09:57

    Russia imesema, mashambulio ya karibuni yaliyofanywa na utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya Syria yanastahili kulaaniwa "vikali".

  • Novak: Ushirikiano wa Russia, Nigeria ni muhimu kwa uthabiti wa soko la mafuta

    Novak: Ushirikiano wa Russia, Nigeria ni muhimu kwa uthabiti wa soko la mafuta

    Jul 16, 2025 10:03

    Naibu Waziri Mkuu wa Russia, Alexander Novak amesema ushirikiano wa nchi hiyo na Nigeria katika fremu ya OPEC+ una nafasi muhimu katika kudumisha uthabiti wa soko la mafuta duniani.

  • Russia yatoa mjibizo kwa muhula wa siku 50 iliopewa na Trump

    Russia yatoa mjibizo kwa muhula wa siku 50 iliopewa na Trump

    Jul 16, 2025 03:14

    Msemaji wa Kremlin, Dmitry Peskov amesema, Russia inahitaji muda kutathmini kitisho alichotoa Rais wa Marekani Donald Trump cha kuwawekea vikwazo vikali washirika wa kibiashara wa Moscow ikiwa mzozo wa Ukraine hautatatuliwa ndani ya siku 50.

  • Russia yakadhibisha madai ya Axios kuhusu urutubishaji urani wa Iran

    Russia yakadhibisha madai ya Axios kuhusu urutubishaji urani wa Iran

    Jul 13, 2025 23:24

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imesema madai ya tovuti ya habari ya Marekani ya Axios kwamba Rais Vladimir Putin wa Russia ameiomba Iran isirutubishe madini ya uranium kuwa "kampeni chafu ya kisiasa" .

  • Putin: Migongano kati ya Russia na Magharibi haihusiani na idiolojia

    Putin: Migongano kati ya Russia na Magharibi haihusiani na idiolojia

    Jul 13, 2025 12:58

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema malengo ya kiukiritimba ya mataifa ya Magharibi na kutupilia mbali kwao wasiwasi wa kiusalama wa nchi yake ndivyo vilivyosababisha mzozo unaoendelea hivi sasa kati ya Moscow na Magharibi.

  • Russia yaonya US, waitifaki: Msiitishie Russia na Korea Kaskazini

    Russia yaonya US, waitifaki: Msiitishie Russia na Korea Kaskazini

    Jul 12, 2025 13:15

    Moscow imeionya Marekani na waitifaki wake dhidi ya kuzitishia Russia na Korea Kaskazini.

  • Russia: Kurutubisha Iran urani kwa 60% ni mjibizo kwa vikwazo ilivyowekewa

    Russia: Kurutubisha Iran urani kwa 60% ni mjibizo kwa vikwazo ilivyowekewa

    Jul 08, 2025 10:36

    Mwakilishi wa Russia katika mashirika ya kimataifa yenye makao yao mjini Vienna amesema, hatua ya Iran kurutubisha madini ya urani hadi kiwango cha asilimia 60 ni mjibizo kwa vikwazo na mashinikizo ya kimataifa inayowekewa.

  • Mfumo wa ulinzi wa anga wa Russia watungua droni 400 za Ukraine

    Mfumo wa ulinzi wa anga wa Russia watungua droni 400 za Ukraine

    Jul 07, 2025 07:45

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imesema kuwa Jeshi la anga la nchi hiyo limefanikiwa kudungua ndege zisizo na rubani 402 za Ukraine na mabomu saba ya angani yaliyokuwa yakiongozwa tokea mbali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS