Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia: Israel haina haki ya kuzungumzia miradi ya nyuklia ya Iran

    Russia: Israel haina haki ya kuzungumzia miradi ya nyuklia ya Iran

    Mar 08, 2025 04:24

    Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Mashirika ya Kimataifa mjini Vienna, Mikhail Ulyanov, amesema kuwa utawala wa Israel hauna haki ya kutoa maoni kuhusiana na mpango wa amani wa nyuklia wa Iran.

  • Mali na Russia zajadili kuimarisha ushirikiano wa kiulinzi

    Mali na Russia zajadili kuimarisha ushirikiano wa kiulinzi

    Mar 07, 2025 02:33

    Ujumbe wa ngazi ya juu wa Russia ukiongozwa na Naibu Waziri wa Ulinzi, Yunus-Bek Yevkurov umeitembelea Mali na kufanya mazungumzo na maafisa wa taifa hilo la Afrika Magharibi, kuhusu kuimarisha ushirikiano wa usalama na ulinzi wa pande mbili.

  • Russia yaitaka Ulaya iache vitisho dhidi ya Iran

    Russia yaitaka Ulaya iache vitisho dhidi ya Iran

    Mar 06, 2025 02:29

    Russia imekosoa vikali vitisho vya Uingereza, Ufaransa na Ujerumani vya kuamilisha mchakato wa kurejesha vikwazo dhidi ya Iran na kutaja msimamo huo kuwa wa "kutowajibika" na "ulio kinyume cha sheria".

  • Trump arefusha muda wa vikwazo dhidi ya Russia

    Trump arefusha muda wa vikwazo dhidi ya Russia

    Feb 28, 2025 07:31

    Rais wa Marekani Donald Trump ameongeza kwa mwaka mmoja mwingine muda wa amri ya utekelezaji vikwazo dhidi ya Russia.

  • Pezeshkian: Iran imeazimia kuimarisha ushirikiano na Russia

    Pezeshkian: Iran imeazimia kuimarisha ushirikiano na Russia

    Feb 26, 2025 02:47

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian ameahidi kunyanyua kiwango cha uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Russia kwa kuharakisha utekelezaji wa makubaliano ya pande mbili, na kuimarisha maingiliano athirifu katika masuala ya kikanda.

  • Uganda yatuma vikosi zaidi nchini DRC, yathibitisha kuwa wanajeshi wake wameingia Bunia

    Uganda yatuma vikosi zaidi nchini DRC, yathibitisha kuwa wanajeshi wake wameingia Bunia

    Feb 19, 2025 06:29

    Msemaji wa Jeshi la Uganda Brigedia Jenerali Felix Kulayigye amethibitisha kuwa Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo (UPDF) limeingia kwenye eneo la Bunia, ambalo ni makao makuu ya jimbo la Ituri, sehemu muhimu ya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC.

  • Katibu Mkuu wa UN: Hakuna kisingizio cha kuikosesha Afrika kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama

    Katibu Mkuu wa UN: Hakuna kisingizio cha kuikosesha Afrika kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama

    Feb 18, 2025 13:42

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema, hakuna kisingizio cha kuifanya Afrika iendelee kuwa haina uwakilishi wa kudumu kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Afrika Kusini kugeukia Russia, Iran kwenye mradi wake wa nyuklia?

    Afrika Kusini kugeukia Russia, Iran kwenye mradi wake wa nyuklia?

    Feb 18, 2025 07:32

    Afrika Kusini imesema huenda itashirikiana na Russia au Iran katika juhudi za kupanua uwezo wake wa nishati ya nyuklia.

  • Jumapili, 16 Februari, 2025

    Jumapili, 16 Februari, 2025

    Feb 16, 2025 02:19

    Leo ni Jumapili 17 Shaaban 1446 Hijria ambayo inasadifiana na 16 Februari 2025 Miladia.

  • Sudan yaafiki kuanzishwa nchini humo kambi ya jeshi la wanamaji la Russia

    Sudan yaafiki kuanzishwa nchini humo kambi ya jeshi la wanamaji la Russia

    Feb 13, 2025 02:52

    Khartoum na Moscow zimekubaliana juu ya kuanzishwa kituo cha jeshi la wanamaji la Russia nchini Sudan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS