-
Israel yaililia Russia iwe mpatanishi kati yake na Hizbullah
Nov 02, 2024 11:14Israel sasa inaiasa Russia eti ishiriki katika 'juhudi za amani' zinazolenga kumaliza mzozo kati ya utawala huo wa Kizayuni na Harakati ya Hizbullah ya Lebanon.
-
Lavrov: Mkataba wa ushirikiano wa ulinzi kati ya Russia na Iran utatiwa saini hivi karibuni
Nov 01, 2024 07:09Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia ametangaza kuwa makubaliano ya ushirikiano wa pamoja wa ulinzi kati ya Moscow na Tehran yatatiwa saini hivi karibuni.
-
Pezeshkian: Uhusiano wa Iran na Russia ni wa kimkakati, wenye manufaa makubwa
Oct 24, 2024 02:43Rais Masoud Pezeshkian amesema uhusiano wa Iran na Russia ni "wa kimkakati na wenye manufaa makubwa."
-
UPSR: Afrika inajua kuwa BRICS imebadilisha mlingano wa jiopolitiki duniani
Oct 24, 2024 02:19Kiongozi mwandamizi wa chama kimoja cha upinzani nchini Cameroon amesema jumuiya ya BRICS ni mbadala halisi wa kuleta mlingano kwenye jiopolitiki duniani na kusisitiza kwamba, nchi za Afrika zinaelewa fika suala hili.
-
Onyo la Russia kwa Israel: Msithubutu kushambulia vituo vya nyuklia vya Iran
Oct 18, 2024 02:52Russia imeuonya vikali utawala haramu wa Israel na kuutaka usijaribu hata kufikiria kushambulia vituo vya nyuklia vya Iran.
-
Russia yataka BRICS iunde mbadala wa IMF
Oct 11, 2024 10:32Russia ambayo ni mwenyekiti wa kiduru wa kundi la BRICS mwaka huu, imetoa wito kwa washirika wake kubuni njia mbadala ya Shirika la Fedha Duniani (IMF) kukabiliana na shinikizo la kisiasa kutoka mataifa ya magharibi kabla ya mkutano wa kilele wa BRICS baadaye mwezi huu.
-
China na Russia zakosoa jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel
Oct 10, 2024 07:13Wawakilishi wa Kudumu wa China na Russia katika Umoja wa Mataifa wameikosoa vikali Israel kwa kushindwa kutafuta amani na kuzuia juhudi za kukomesha mauaji ya watu wa Palestina.
-
Korea Kusini yadai: Askari wa Korea Kaskazini wanapigana bega kwa bega na Russia Ukraine
Oct 09, 2024 02:25Waziri wa Ulinzi wa Korea Kusini amesema, inavyoonekana wanajeshi wa Korea Kaskazini wanapigana bega kwa bega na wanajeshi wa Russia nchini Ukraine.
-
Putin aamuru mwongozo wa utumiaji silaha za nyuklia wa Russia ufanyiwe mabadiliko
Sep 26, 2024 05:09Rais Vladimir Putin wa Russia ameamuru mwongozo wa utumiaji silaha za nyuklia wa nchi hiyo ufanyiwe mabadiliko akionya pia kuwa nchi yake inaweza kujibu mapigo kwa silaha za nyuklia ikiwa itashambuliwa kwa silaha za kawaida zilizotolewa na dola linalomiliki silaha hizo.
-
Russia: Azimio la Umoja wa Mataifa linaweka wazi uharamu wa vitendo vya Israel
Sep 20, 2024 12:42Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetangaza kuwa, azimio jipya la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ni hatua muhimu ambayo inaiwezesha jamii ya kimataifa kutambua uharamu wa hatua za Israel.