-
Askari wa Israel waziporomosha kwa mateke maiti za Wapalestina kutokea kwenye paa la jengo
Sep 20, 2024 07:40Askari katili wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wamedhihirisha tena unyama wao baada ya kunaswa kupitia mkanda wa video wakiziporomosha kwa mateke maiti za Wapalestina waliowaua katika shambulio walilofanya katika eneo la Qabatiya, Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan unaokaliwa kwa mabavu.
-
Iran: Hatuna nafasi yoyote katika vita vya Russia na Ukraine
Sep 08, 2024 12:04Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haina mchango wowote katika vita vinavyoendelea kati ya Russia na Ukraine, na daima imekuwa ikikariri wito wake wa mazungumzo ya kuutafutia ufumbuzi mzozo huo.
-
Iran yakanusha madai ya Magharibi: Hatujaipatia Russia makombora yoyote ya balestiki
Sep 07, 2024 11:53Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekanusha madai kwamba inaipatia Russia makombora ya balestiki na kusisitiza kuwa madai hayo yanayotolewa na Marekani na washirika wake wa Magharibi ni ya upotoshaji na hayana msingi wowote.
-
Rais wa Iran kushiriki mkutano wa BRICS nchini Russia
Aug 31, 2024 13:05Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian anatazamiwa kushiriki Mkutano wa BRICS wa 2024 nchini Russia karibuni hivi.
-
Iran yakanusha madai ya kuwapa mafunzo askari wa Russia huko Ukraine
Aug 31, 2024 11:48Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amepuuzilia mbali madai kwamba mwanajeshi wa Jamhuri ya Kiislamu amekuwa akitoa mafunzo kwa wanajeshi wa Russia katika ardhi ya Ukraine.
-
Russia: Ukraine imeingia Kursk kwa ushirikiano wa mashirika ya ujasusi ya Magharibi
Aug 24, 2024 02:12Idara ya Ujasusi wa Nje ya Russia (FIS) imetangaza kwamba kuingia Ukraine katika eneo la nchi hiyo katika jimbo la Kursk kulifanywa kwa ushirikiano wa mashirika ya ujasusi ya nchi za Magharibi.
-
Putin aamua kusimamisha kikamilifu mazungumzo na Ukraine baada ya Kyiv kuivamia Russia
Aug 13, 2024 10:44Rais Vladimir Putin wa Russia ameamua kusimamisha kikamilu mazungumzo na Ukraine baada ya nchi hiyo kushambulia taasisi za nyuklia za Russia.
-
Russia yatungua makumi ya droni za Ukraine katika anga yake
Aug 11, 2024 11:13Russia imetungua makumi ya droni za Ukraine zilizokuwa zikiruka katika anga yake usiku wa kuamkia leo.
-
Alkhamisi, tarehe 8 Agosti, 2024
Aug 08, 2024 02:24Leo ni Alkhamisi tarehe 3 Mfunguo Tano Safar 1446 Hijria inayosadifiana na tarehe 8 Agosti 2024.
-
Iran na Russia katika mkondo wa kuimarisha ushirikiano
Aug 06, 2024 14:12Jumatatu ya jana tarehe 5 Agosti, Katibu wa Baraza la Usalama la Taifa la Shirikisho la Russia aliwasili mjini Tehran kwa lengo la kuimarisha maingiliano na kuchunguza masuala ya kieneo, kimataifa na uhusiano wa pande mbili.