Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia yataka kutekelezwa haraka amri ya Umoja wa Mataifa ya kukomeshwa vita Ghaza

    Russia yataka kutekelezwa haraka amri ya Umoja wa Mataifa ya kukomeshwa vita Ghaza

    Apr 11, 2024 09:54

    Russia imetaka kutekelezwa haraka na bila ya masharti azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu kusimamishwa mara moja mashambulizi ya Israel kwenye Ukanda wa Ghaza.

  • Rais wa Marekani aona

    Rais wa Marekani aona "fakhari kubwa" NATO kujipanua hadi kwenye mipaka ya Russia

    Apr 11, 2024 07:53

    Rais Joe Biden wa Marekani amepongeza upanuzi zaidi wa shirika la kijeshi la NATO kuelekea mipaka ya Russia, huku akimshutumu mpinzani wake wa Republican Donald Trump kwamba amedhoofisha umoja wa kambi hiyo ya kijeshi inayoongozwa na Marekani.

  • Waziri wa Ulinzi wa Russia amuonya mwenzake wa Ufaransa kutopeleka wanajeshi Ukraine

    Waziri wa Ulinzi wa Russia amuonya mwenzake wa Ufaransa kutopeleka wanajeshi Ukraine

    Apr 05, 2024 02:19

    Waziri wa Ulinzi wa Russia Sergey Shoygu amemuonya mwenzake wa Ufaransa Sebastian Lecornu dhidi ya kutuma wanajeshi wa nchi hiyo Ukraine.

  • Shambulizi la Moscow... Russia yaitaka Kiev kumkabidhi mkuu wa usalama

    Shambulizi la Moscow... Russia yaitaka Kiev kumkabidhi mkuu wa usalama

    Apr 01, 2024 10:43

    Russia imeitaka Ukraine kuwakabidhi raia wake kadhaa, akiwemo Mkuu wa Idara ya Usalama ya nchi hiyo, kwa madai kwamba walihusika na vitendo vya "kigaidi" katika ardhi ya Russia, suala ambalo Kiev imelitaja kuwa takwa"lisilo na thamani".

  • Putin: 'Ni upuuzi tu' kudai kwamba Russia inapanga kuishambulia kijeshi NATO

    Putin: 'Ni upuuzi tu' kudai kwamba Russia inapanga kuishambulia kijeshi NATO

    Mar 28, 2024 10:08

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, nchi yake haina nia ya kuingia kwenye makabiliano ya kijeshi na vibaraka wa Marekani wa Ulaya Mashariki.

  • Moscow: EU imekiri kuwa inahudumia ubeberu wa Marekani

    Moscow: EU imekiri kuwa inahudumia ubeberu wa Marekani

    Mar 27, 2024 02:07

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema matamshi ya karibuni ya Josep Borrell, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya ni ungamo la Magharibi kwamba inajihusisha na mgogoro wa Ukraine ili kuisaidia Marekani kudumisha nafasi yake ya ubeberu duniani.

  • Kijana, Islam, aliyeokoa watu zaidi 100 katika hujuma ya kigaidi ya Moscow apewa nishani ya ushujaa

    Kijana, Islam, aliyeokoa watu zaidi 100 katika hujuma ya kigaidi ya Moscow apewa nishani ya ushujaa

    Mar 25, 2024 02:12

    Kijana Muislamu mwenye umri wa miaka 15 aliyeokoa zaidi ya watu mia moja wakati wa hujuma ya kigaidi kwenye ukumbi wa tamasha wa Crocus City Hall nje kidogo ya jiji la Moscow, siku ya Ijumaa iliyopita, ametunukiwa nishani ya ushujaa.

  • Iran yalaani shambulizi la kigaidi lililoua makumi ya watu nchini Russia

    Iran yalaani shambulizi la kigaidi lililoua makumi ya watu nchini Russia

    Mar 23, 2024 02:51

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali shambulio la kigaidi lililoua na kujeruhi makumi ya watu katika mji mkuu wa Russia, Moscow.

  • Ushindi mkubwa wa Putin katika uchaguzi wa rais wa Russia

    Ushindi mkubwa wa Putin katika uchaguzi wa rais wa Russia

    Mar 19, 2024 06:12

    Tume Kuu ya Uchaguzi ya Shirikisho la Russia imetangaza kuwa Vladimir Putin, rais wa sasa wa nchi hiyo, ameshinda uchaguzi wa karibuni kwa asilimia 87.32 ya kura na hivyo kupata fursa nyingine ya kuwa rais wa Russia kwa muhula mwingine wa miaka sita. Kwa mujibu wa tangazo la tume hiyo, kiwango cha ushiriki katika uchaguzi kilikuwa cha zaidi ya asilimia 70.

  • Waangalizi wa uchaguzi wa OIC: Russia imeandaa fursa za kupiga kura kwa makundi yote ya raia

    Waangalizi wa uchaguzi wa OIC: Russia imeandaa fursa za kupiga kura kwa makundi yote ya raia

    Mar 17, 2024 10:50

    Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Kisiasa katika Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) amesema kuwa Russia imeandaa fursa nzuri kwa raia kwa ajili ya kupiga kura.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS