-
Wanyarwanda waishio nje kama wakimbizi warejee, ukimbizi wao utafutwa na UNHCR
Dec 23, 2017 23:55Rwanda imewahimiza raia wake wanaoishi kama wakimbizi katika mataifa mengine, kurejea nchini kabla ya Disemba 31, mwaka 2017 ambayo ni tarehe rasmi ya shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia wakimbizi UNHCR ya kufuta ukimbizi wao.
-
Majaji wa Ufaransa wamlaumu Rais Kagame kuhusu mauaji ya kimbari ya Rwanda
Dec 23, 2017 04:04Majaji nchini Ufaransa wamewalaumu wapiganaji walioongozwa na Rais wa sasa wa Rwanda, Paul Kagame kwa kuilenga na kuiangusha ndege iliyokuwa imembeba Rais wa wakati huo wa taifa hilo, Juvenal Habyarimana 1994.
-
Sudan, Rwanda kushirikiana katika vita dhidi ya ugaidi barani Afrika
Dec 22, 2017 03:13Sudan na Rwanda zimekubaliana kuunganisha juhudi zao za kutafuta suluhisho la amani la changamoto zinazolikabili bara la Afrika na kupambana na ugaidi na uhalifu wa kuchupa mpaka.
-
SAUTI, Viongozi wa vyama tawala Afrika wamekosolewa kwa kuingilia uhuru wa tume za chaguzi zao
Nov 09, 2017 13:13Suala la machafuo yanayotokea baada ya chaguzi mbalimbali barani Afrika, ni kati ya mada zinazoendelea kujadiliwa na wenyeviti wa tume za uchaguzi kwenye nchi za Kiafrika katika mkutano wao ulioanza Akhamisi ya leo jiji Kigali, Rwanda.
-
Rwanda yaitaka Ufaransa kubeba dhima ya kuhusika na mauaji ya kimbari ya 1994
Oct 30, 2017 09:14Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda ameitaka Ufaransa kubeba dhima ya kuhusika na mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 dhidi ya watu wa kabila la Tutsi nchini humo.
-
Rwanda yatajwa kuzuia safari ya timu ya kuzuia utesaji ya Umoja wa Mataifa
Oct 21, 2017 23:38Kamisheni ya Kuzuia Utesaji ya Umoja wa Mataifa imeahirisha safari ya ujumbe wa kamisheni hiyo kwenda Rwanda.
-
Rwanda yakanusha kuwatia mbaroni raia kinyume cha sheria na kuwatesa watuhumiwa
Oct 11, 2017 13:16Serikali ya Rwanda leo imekanusha madai ya Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch na kusema kuwa, madai hayo hanayana msingi wowote
-
Mpinzani wa Rais Kagame, Diane Rwigara afikishwa mahakamani Rwanda
Oct 06, 2017 11:35Mwanasiasa wa upinzani nchini Rwanda na mkosoaji mashuhuri wa Rais Paul Kagame wa nchi hiyo Diane Rwigara, mamake na dadake leo walifikishwa mahakamani mjini Kigali kwa mara ya kwanza zikiwa zimepita wiki mbili baada ya kushikiliwa na polisi.
-
Rwanda yamshtaki mkosoaji wa Rais kwa kuchochea uasi
Oct 04, 2017 12:43Msemaji wa Mwendesha Mashtaka wa serikali ya Rwanda amesema leo kuwa, mamlaka husika za Rwanda zimemfungulia mashtaka mkosoaji wa Rais Paul Kagame kwa kosa la kuchochea uasi na kughushi baada ya kuzuiwa kuchuana na hasimu wake Kagame katika uchaguzi wa rais wa mwezi Agosti mwaka huu.
-
Jukwaa la wanasayansi wa Kiafrika laanzishwa nchini Rwanda kwa ajili ya kuinua sekta ya kilimo
Sep 07, 2017 10:03Kwa mara ya kwanza barani Afrika kumeanzishwa jukwaa la wanasayansi wanaolenga kutatua changamoto mbalimbli za maendeleo zinazolikabili bara hilo hususan katika sekta ya kilimo.