Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rwanda

  • Wanyarwanda waishio nje kama wakimbizi warejee, ukimbizi wao utafutwa na UNHCR

    Wanyarwanda waishio nje kama wakimbizi warejee, ukimbizi wao utafutwa na UNHCR

    Dec 23, 2017 23:55

    Rwanda imewahimiza raia wake wanaoishi kama wakimbizi katika mataifa mengine, kurejea nchini kabla ya Disemba 31, mwaka 2017 ambayo ni tarehe rasmi ya shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia wakimbizi UNHCR ya kufuta ukimbizi wao.

  • Majaji wa Ufaransa wamlaumu Rais Kagame kuhusu mauaji ya kimbari ya Rwanda

    Majaji wa Ufaransa wamlaumu Rais Kagame kuhusu mauaji ya kimbari ya Rwanda

    Dec 23, 2017 04:04

    Majaji nchini Ufaransa wamewalaumu wapiganaji walioongozwa na Rais wa sasa wa Rwanda, Paul Kagame kwa kuilenga na kuiangusha ndege iliyokuwa imembeba Rais wa wakati huo wa taifa hilo, Juvenal Habyarimana 1994.

  • Sudan, Rwanda kushirikiana katika vita dhidi ya ugaidi barani Afrika

    Sudan, Rwanda kushirikiana katika vita dhidi ya ugaidi barani Afrika

    Dec 22, 2017 03:13

    Sudan na Rwanda zimekubaliana kuunganisha juhudi zao za kutafuta suluhisho la amani la changamoto zinazolikabili bara la Afrika na kupambana na ugaidi na uhalifu wa kuchupa mpaka.

  • SAUTI, Viongozi wa vyama tawala Afrika wamekosolewa kwa kuingilia uhuru wa tume za chaguzi zao

    SAUTI, Viongozi wa vyama tawala Afrika wamekosolewa kwa kuingilia uhuru wa tume za chaguzi zao

    Nov 09, 2017 13:13

    Suala la machafuo yanayotokea baada ya chaguzi mbalimbali barani Afrika, ni kati ya mada zinazoendelea kujadiliwa na wenyeviti wa tume za uchaguzi kwenye nchi za Kiafrika katika mkutano wao ulioanza Akhamisi ya leo jiji Kigali, Rwanda.

  • Rwanda yaitaka Ufaransa kubeba dhima ya kuhusika na mauaji ya kimbari ya 1994

    Rwanda yaitaka Ufaransa kubeba dhima ya kuhusika na mauaji ya kimbari ya 1994

    Oct 30, 2017 09:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda ameitaka Ufaransa kubeba dhima ya kuhusika na mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 dhidi ya watu wa kabila la Tutsi nchini humo.

  • Rwanda yatajwa kuzuia safari ya timu ya kuzuia utesaji ya Umoja wa Mataifa

    Rwanda yatajwa kuzuia safari ya timu ya kuzuia utesaji ya Umoja wa Mataifa

    Oct 21, 2017 23:38

    Kamisheni ya Kuzuia Utesaji ya Umoja wa Mataifa imeahirisha safari ya ujumbe wa kamisheni hiyo kwenda Rwanda.

  • Rwanda yakanusha kuwatia mbaroni raia kinyume cha sheria na kuwatesa watuhumiwa

    Rwanda yakanusha kuwatia mbaroni raia kinyume cha sheria na kuwatesa watuhumiwa

    Oct 11, 2017 13:16

    Serikali ya Rwanda leo imekanusha madai ya Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch na kusema kuwa, madai hayo hanayana msingi wowote

  • Mpinzani wa Rais Kagame, Diane Rwigara afikishwa mahakamani Rwanda

    Mpinzani wa Rais Kagame, Diane Rwigara afikishwa mahakamani Rwanda

    Oct 06, 2017 11:35

    Mwanasiasa wa upinzani nchini Rwanda na mkosoaji mashuhuri wa Rais Paul Kagame wa nchi hiyo Diane Rwigara, mamake na dadake leo walifikishwa mahakamani mjini Kigali kwa mara ya kwanza zikiwa zimepita wiki mbili baada ya kushikiliwa na polisi.

  • Rwanda yamshtaki mkosoaji wa Rais kwa kuchochea uasi

    Rwanda yamshtaki mkosoaji wa Rais kwa kuchochea uasi

    Oct 04, 2017 12:43

    Msemaji wa Mwendesha Mashtaka wa serikali ya Rwanda amesema leo kuwa, mamlaka husika za Rwanda zimemfungulia mashtaka mkosoaji wa Rais Paul Kagame kwa kosa la kuchochea uasi na kughushi baada ya kuzuiwa kuchuana na hasimu wake Kagame katika uchaguzi wa rais wa mwezi Agosti mwaka huu.

  • Jukwaa la wanasayansi wa Kiafrika laanzishwa nchini Rwanda kwa ajili ya kuinua sekta ya kilimo

    Jukwaa la wanasayansi wa Kiafrika laanzishwa nchini Rwanda kwa ajili ya kuinua sekta ya kilimo

    Sep 07, 2017 10:03

    Kwa mara ya kwanza barani Afrika kumeanzishwa jukwaa la wanasayansi wanaolenga kutatua changamoto mbalimbli za maendeleo zinazolikabili bara hilo hususan katika sekta ya kilimo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS