Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rwanda

  • Kongamano la wawekezaji wanawake wa Kenya na Rwanda-Kigali

    Kongamano la wawekezaji wanawake wa Kenya na Rwanda-Kigali

    Jul 25, 2016 03:30

    Rwanda ni mwenyeji wa kongamano la kwanza la ujasiriamali la kujadili changamoto wanazopitia wafanyabiashara wanawake katika kanda ya Afrika Mashariki.

  • Viongozi wa AU washindwa kuteua Kamishna Mkuu mpya

    Viongozi wa AU washindwa kuteua Kamishna Mkuu mpya

    Jul 19, 2016 03:30

    Viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) jana usiku walikamilisha mkutano wao wa siku mbili mjini Kigali, Rwanda bila ya kuweza kuchagua Kamishna Mkuu mpya wa umoja huo.

  • Wake wa wakuu wa nchi za Afrika waahidi kumaliza HIV na Ukimwi ifikapo 2030

    Wake wa wakuu wa nchi za Afrika waahidi kumaliza HIV na Ukimwi ifikapo 2030

    Jul 18, 2016 23:52

    Jumuiya ya Wake wa Wakuu wa Nchi za Afrika ya kupambana na virusi vya HIV vinavyosababisha Ukimwi kwa kifupi (OAFLA) kwa mara nyingine tena imeahidi kuimarisha ushirikiano baina ya wanachama wa jumuiya hiyo kwa ajili ya kupambana na virusi vya HIV na Ukimwi na kusema kuwa, ajenda yao kuu ni kuhakikisha virusi hivyo vinaangamizwa kikamilifu ifikapo mwaka 2030.

  • Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina atembelea Rwanda

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina atembelea Rwanda

    Jul 16, 2016 11:32

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, leo Jumamosi ameelekea mjini Kigali Rwanda kwa ajili ya kushiriki mkutano wa nchi za Umoja wa Afrika AU.

  • Rwanda: Hatutamkamata Rais al-Bashir wa Sudan akija nchini

    Rwanda: Hatutamkamata Rais al-Bashir wa Sudan akija nchini

    Jul 14, 2016 23:42

    Rwanda imesema itamkaribisha Rais Omar al-Bashir wa Sudan atakapoizuru nchi hiyo kesho Jumamosi kuhudhuria kongamano Umoja wa Afrika AU, licha ya kiongozi huyo kuandamwa na waranti wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC wa kutaka akamatwe.

  • Nchi za Kiafrika zatakiwa zibakie katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC

    Nchi za Kiafrika zatakiwa zibakie katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC

    Jul 10, 2016 03:03

    Asasi mbalimbali zisizo za kiserikali zimetoa wito kwa nchi za Kiafrika kubakia kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kwa shabaha ya kuunga mkono haki za binadamu barani humo.

  • Rwanda yakadhibisha tuhuma za US  kuhusu magendo ya binaadamu

    Rwanda yakadhibisha tuhuma za US kuhusu magendo ya binaadamu

    Jul 02, 2016 22:52

    Serikali ya Rwanda imekadhibisha tuhuma za Marekani kuwa inahusika na magendo ya binaadamu.

  • Kuongezeka mivutano katika uhusiano wa Rwanda na Burundi

    Kuongezeka mivutano katika uhusiano wa Rwanda na Burundi

    Jun 08, 2016 09:59

    Hali ya mvutano katika uhusiano wa Rwanda na Burundi imeongezeka baada ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda bi Louise Mushikiwabo kusema kuwa nchi yake iko tayari kukabiliana na vitisho vya kiusalama kutoka Burundi.

  • UN: Wakimbizi wa Burundi na DRC walioko Rwanda wanahitaji msaada

    UN: Wakimbizi wa Burundi na DRC walioko Rwanda wanahitaji msaada

    May 22, 2016 11:52

    Umoja wa Mataifa umesema wakimbizi raia wa Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walioko nchini Rwanda wanahitajia misaada ya dharura na kwamba idadi ya wakimbizi wanaoingia nchini humo kutoka nchi mbili hizo na haswa Burundi ni ya kutia wasi wasi.

  • Sisitizo la Umoja wa Afrika la kutuma askari wa kimataifa nchini Burundi

    Sisitizo la Umoja wa Afrika la kutuma askari wa kimataifa nchini Burundi

    May 21, 2016 08:42

    Umoja wa Afrika AU umetoa ripoti maalumu kuhusiana na uvunjaji wa haki za binadamu nchini Burundi na kusisitizia nia ya umoja huo ya kutuma askari wa kimataifa wa kulinda amani nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS