-
Kongamano la wawekezaji wanawake wa Kenya na Rwanda-Kigali
Jul 25, 2016 03:30Rwanda ni mwenyeji wa kongamano la kwanza la ujasiriamali la kujadili changamoto wanazopitia wafanyabiashara wanawake katika kanda ya Afrika Mashariki.
-
Viongozi wa AU washindwa kuteua Kamishna Mkuu mpya
Jul 19, 2016 03:30Viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) jana usiku walikamilisha mkutano wao wa siku mbili mjini Kigali, Rwanda bila ya kuweza kuchagua Kamishna Mkuu mpya wa umoja huo.
-
Wake wa wakuu wa nchi za Afrika waahidi kumaliza HIV na Ukimwi ifikapo 2030
Jul 18, 2016 23:52Jumuiya ya Wake wa Wakuu wa Nchi za Afrika ya kupambana na virusi vya HIV vinavyosababisha Ukimwi kwa kifupi (OAFLA) kwa mara nyingine tena imeahidi kuimarisha ushirikiano baina ya wanachama wa jumuiya hiyo kwa ajili ya kupambana na virusi vya HIV na Ukimwi na kusema kuwa, ajenda yao kuu ni kuhakikisha virusi hivyo vinaangamizwa kikamilifu ifikapo mwaka 2030.
-
Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina atembelea Rwanda
Jul 16, 2016 11:32Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, leo Jumamosi ameelekea mjini Kigali Rwanda kwa ajili ya kushiriki mkutano wa nchi za Umoja wa Afrika AU.
-
Rwanda: Hatutamkamata Rais al-Bashir wa Sudan akija nchini
Jul 14, 2016 23:42Rwanda imesema itamkaribisha Rais Omar al-Bashir wa Sudan atakapoizuru nchi hiyo kesho Jumamosi kuhudhuria kongamano Umoja wa Afrika AU, licha ya kiongozi huyo kuandamwa na waranti wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC wa kutaka akamatwe.
-
Nchi za Kiafrika zatakiwa zibakie katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC
Jul 10, 2016 03:03Asasi mbalimbali zisizo za kiserikali zimetoa wito kwa nchi za Kiafrika kubakia kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kwa shabaha ya kuunga mkono haki za binadamu barani humo.
-
Rwanda yakadhibisha tuhuma za US kuhusu magendo ya binaadamu
Jul 02, 2016 22:52Serikali ya Rwanda imekadhibisha tuhuma za Marekani kuwa inahusika na magendo ya binaadamu.
-
Kuongezeka mivutano katika uhusiano wa Rwanda na Burundi
Jun 08, 2016 09:59Hali ya mvutano katika uhusiano wa Rwanda na Burundi imeongezeka baada ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda bi Louise Mushikiwabo kusema kuwa nchi yake iko tayari kukabiliana na vitisho vya kiusalama kutoka Burundi.
-
UN: Wakimbizi wa Burundi na DRC walioko Rwanda wanahitaji msaada
May 22, 2016 11:52Umoja wa Mataifa umesema wakimbizi raia wa Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walioko nchini Rwanda wanahitajia misaada ya dharura na kwamba idadi ya wakimbizi wanaoingia nchini humo kutoka nchi mbili hizo na haswa Burundi ni ya kutia wasi wasi.
-
Sisitizo la Umoja wa Afrika la kutuma askari wa kimataifa nchini Burundi
May 21, 2016 08:42Umoja wa Afrika AU umetoa ripoti maalumu kuhusiana na uvunjaji wa haki za binadamu nchini Burundi na kusisitizia nia ya umoja huo ya kutuma askari wa kimataifa wa kulinda amani nchini humo.