Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rwanda

  • Burundi yaituhumu tena Rwanda kuwa inaharibu usalama wake

    Burundi yaituhumu tena Rwanda kuwa inaharibu usalama wake

    May 20, 2016 02:36

    Kwa mara nyingine tena serikali ya Burundi imeituhumu Rwanda kuwa inafanya njama za kuharibu utulivu nchini humo.

  • Mkutano wa kiusalama wafanyika katika msikiti mmoja nchini Rwanda

    Mkutano wa kiusalama wafanyika katika msikiti mmoja nchini Rwanda

    May 17, 2016 09:17

    Wakuu wa vyombo vya usalama na viongozi wa Kiislamu wa Rwanda wamefanya mkutano katika msikiti mmoja nchini humo kujadili mustakabali wa kiusalama.

  • Wanajeshi wa DRC wanawaua raia mashariki mwa nchi hiyo

    Wanajeshi wa DRC wanawaua raia mashariki mwa nchi hiyo

    May 16, 2016 23:48

    Wataalamu wa Umoja wa Mataifa katika kamati ya vikwazo vya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wametoa ripoti na kusema maafisa wa kijeshi nchini humo wanahusika na mauaji ya raia.

  • Rais Paul Kagame akanusha nchi yake kuwasaidia waasi wa Burundi

    Rais Paul Kagame akanusha nchi yake kuwasaidia waasi wa Burundi

    May 14, 2016 02:14

    Rais Paul Kagame wa Rwanda amekanusha nchi yake kuwasaidia waasi wa Burundi kama ilivyokuja katika ripoti ya siri iliyowasilishwa kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Mameya wa Rwanda kizimbani Ufaransa kwa tuhuma za mauaji ya kimbari ya 1994

    Mameya wa Rwanda kizimbani Ufaransa kwa tuhuma za mauaji ya kimbari ya 1994

    May 10, 2016 10:33

    Mameya wawili wa zamani wa Rwanda Jumanne hii wamefikishwa kizimbani Ufaransa wakikabiliwa na mashtaka ya kutenda jinai dhidi ya binadamu na mauaji ya kimbari mwaka 1994 katika nchi hiyo ya Mashariki mwa Afrika.

  • Maporomoko ya ardhi yasababisha vifo vya watu 20 Rwanda

    Maporomoko ya ardhi yasababisha vifo vya watu 20 Rwanda

    May 08, 2016 23:10

    Kwa akali watu 20 wameaga dunia na wengine kadhaa kuachwa bila makazi kufuatia maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha nchini Rwanda.

  • Rwanda: Kongamano la uchumi Kigali kuangazia teknolojia na mfumo wa dijitali

    Rwanda: Kongamano la uchumi Kigali kuangazia teknolojia na mfumo wa dijitali

    May 07, 2016 03:15

    Rwanda inatazamiwa kuwa mwenyeji wa duru ya 26 ya Kongamano la Uchumi Duniani WEF mapema wiki ijayo. Marais, wajasiriamali na wawekezaji zaidi ya 1,200 wa bara hilo wanatazamiwa kushiriki kongamano hilo litakalofanyika Kigali kati ya Mei 11 na 13.

  • Rwanda kuwa mwenyeji wa mkutano wa viongozi wa Umoja wa Afrika

    Rwanda kuwa mwenyeji wa mkutano wa viongozi wa Umoja wa Afrika

    May 05, 2016 03:55

    Rwanda iko tayaria kuwa mwenyeji wa mkutano wa kilele wa viongozi wa nchi za Umoja wa Afrika AU baadaye mwaka huu.

  • Jeshi la Rwanda lakanusha madai ya wanajeshi wake kuingia katika ardhi ya DRC kuwasaka waasi

    Jeshi la Rwanda lakanusha madai ya wanajeshi wake kuingia katika ardhi ya DRC kuwasaka waasi

    Apr 23, 2016 11:39

    Jeshi la Rwanda limekanusha madai kwamba, wanajeshi wake wameingia katika ardhi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa ajili ya kuwasaka waasi wa Kihutu walioko katika nchi hiyo.

  • Jeshi la Rwanda laingia Congo kusaka waasi wa Kihutu

    Jeshi la Rwanda laingia Congo kusaka waasi wa Kihutu

    Apr 21, 2016 03:43

    Afisa mmoja wa jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema kuwa wanajeshi wa Rwanda wameingia katika ardhi ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS