-
Kesi 40 zaripotiwa za waenezaji itikadi za mauaji ya kimbari Rwanda
Apr 15, 2016 03:42Polisi wa Rwanda wameripoti kuwepo kesi 40 za hivi karibuni za wanaohusika na kueneza itikadi ya mauaji ya halaiki wakati wa wiki ya kuadhimisha mauaji ya halaiki iliyomalizika Jumatano iliyopita.
-
Israel yaktaa kufichua nafasi yake katika mauaji ya kimbari ya Rwanda
Apr 13, 2016 02:55Mahakama ya Juu ya utawala wa kizayuni wa Israel imepitisha kuwa, nyaraka za mauzo ya silaha ya utawala huo haramu kwa serikali ya Rwanda wakati wa mauaji ya kimbari katika nchi hiyo ya Kiafrika mwaka 1994, hazitawekwa wazi kwa wananchi na zitaendelea kufichwa na kubakia siri kuu ya utawala huo.
-
Ban atahadharisha dhidi ya uchochezi na ubaguzi, kuepuka mauaji ya kimbari
Apr 08, 2016 04:35Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema ili kuzuia kutokea mauaji ya kimbari, lazima jamii zote duniani zijiepushe na uchochezi na matamshi ya chuki yanayoweza kuibua mfarakano na uhasama.
-
Kumbukumbu ya mauaji ya kimbari ya Rwanda
Apr 08, 2016 03:30Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema siku ya kumbukumbu ya mauaji ya kimbari ya Rwanda hapo mwaka 1994 ni siku ya kutoa heshima kwa wahanga wa mauaji hayo na kuzidisha upendo kwa ajili ya kuimarisha uadilifu kote duniani.
-
Taubira: Uhakika kuhusu mauaji ya kimbari ya Rwanda uwekwe wazi
Apr 07, 2016 03:03Waziri wa zamani wa sheria wa Ufaransa ametoa wito wa kuwekwa wazi uhakika na ukweli kuhusu mauaji ya kimbari dhidi ya Watutsi yaliyotokea Rwanda mwaka 1994.
-
Kamanda mwandamizi wa FDLR akamatwa na polisi ya Uganda
Apr 05, 2016 02:44Kamanda mwandamizi wa kundi la waasi wa Rwanda la FDLR amekamatwa katika mji mkuu wa Uganda, Kampala.
-
Rwanda yaitaka Burundi ifafanue kuhusu kifo cha mwanadiplomasia wake wa zamani
Apr 01, 2016 02:52Rwanda imeitaka serikali ya Burundi kueleza chanzo cha kifo cha balozi wa zamani wa nchi hiyo nchini Ubelgiji na Ufaransa Jacques Bihozagara.
-
Waziri wa zamani wa Rwanda afia jela Burundi
Mar 30, 2016 22:59Waziri wa zamani w Rwanda, Jacques Bihozagara ameaga dunia akiwa katika jela ya Burundi yapata miezi minne baada ya kutiwa nguvuni kwa tuhuma za kufanya ujasusi.
-
Mvutano katika uhusiano wa Rwanda na Burundi
Mar 28, 2016 03:22Chama tawala Burundi kimemtuhumu Rais wa Rwanda kuwa anatekeleza maangamizi ya kizazi. Paschal Nyabenda mkuu wa chama tawala cha Burundi CNDD-FDD ameashiria maangamizi ya kizazi yaliyojiri Rwanda na kueleza kuwa Rais Paul Kagame wa nchi hiyo anawasajili vijana wa Burundi katika kambi za wakimbizi zilizopo Rwanda na kuwapatia mafunzo, ili baadaye wakirejea nchini kwao watekeleze mauaji ya kimbari.
-
Rais wa Rwanda atuhumiwa na Burundi 'kusafirisha' mauaji ya kimbari
Mar 27, 2016 22:31Chama tawala nchini Burundi cha CNDD-FDD kimemtuhumu Rais Paul Kagame wa Rwanda kuwa anataka "kusafirisha" mauaji ya kimbari, huku uhusiano kati ya nchi mbili hizo jirani ukizidi kuharibika.