-
Ayatullah Khatami: Mirengo yote ina wagombea wao kwenye uchaguzi ujao wa Rais nchini Iran
Jun 14, 2024 11:28Khatibu wa muda wa Sala ya Ijumaa ya hapa Tehran amesema kuwa, hivi sasa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeimarika mno kiasi kwamba mirengo yote ina wawakilishi wao katika uchaguzi ujao wa Rais humu nchini.
-
Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Vikosi vya ulinzi vya Iran ni mihimili imara mno ya taifa
Apr 26, 2024 12:07Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amesema: Vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni mihimili imara mno kwa taifa na inayoiletea dini izza na heshima.
-
Hujjatul-Islam Ali Akbari: Maadui wasubiri operesheni zijazo za Kimbunga cha al-Aqsa
Mar 22, 2024 11:46Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo hapa mjini Tehran amesema maadui wa Palestina wanapasa kusubiri operesheni ya pili, ya tatu na hata ya nne ya Kimbunga cha al-Aqsa kutoka kwa makundi ya muqawama.
-
Khatibu: Kimbunga cha al-Aqsa kimefichua nidhamu kadhaa za kisiasa duniani
Dec 15, 2023 12:05Khatibu wa muda wa Swala ya Ijumaa ya leo hapa mjini Tehran amesema Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa na muqawama wa Wapalestina wa Gaza vimefichua kuwepo nidhamu na miundo kadhaa ya kisiasa duniani, sambamba na kuonyesha kuwepo stratejia mpya ya kambi ya muqawama katika eneo.
-
Jumatatu, tarehe Pili Oktoba, 2023
Oct 02, 2023 02:27Leo ni Jumatatu tarehe 16 Mfunguo Sita Rabiu Awwal 1445 Hijria mwafaka na tarehe Pili oktoba 2023.
-
Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Uanachama wa Iran katika BRICS utavunja sera za upande mmoja
Aug 25, 2023 12:16Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran amesema: Uanachama wa Iran katika kundi la "BRICS" una ufanisi kubwa katika kuvunja za kibeberu za maamuzi ya upande mmoja na pua kuvunja ubabe Marekani katika uga wa kiuchumi.
-
Alkhamisi, tarehe 27 Julai, 2023
Jul 27, 2023 02:28Leo ni Tarehe 9 Mfunguo Nne Muharram 1445 Hijria inayosadifiana na tarehe 27 Julai mwaka 2023.
-
Wananchi waandamana kote Iran kulaani kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu na kuwekewa vikwazo IRGC
Jan 27, 2023 12:33Baada ya kuswali Sala ya Ijumaa, wananchi kote katikaa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wamejitokeza mitaani na kulaani hatua za hivi karibuni za nchi za Magharibi na Ulaya zikiongozwa na Marekani za kudhalilisha matukufu ya Kiislamu na kuliwekea vikwazo Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC).
-
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran: Ulimwengu wa Magharibi una wasiwasi kuhusu mvuto wa Uislamu
Jan 27, 2023 12:30Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran amesema: "Ulimwengu wa makafiri unauogopa Uislamu, na ulimwengu wa Magharibi una wasiwasi kuhusu mvuto wa Uislamu."
-
Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Taifa la Iran limeshinda njama za maadui
Dec 02, 2022 12:00Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya mjini Tehran amezungumzia misimamo ya Iran dhidi ya madola ya kibeberu na kusema kuwa, wananchi wa Iran wamegeuza vitisho vyote vya mabeberu kuwa fursa.