Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Saudia wakubaliana kuunda kamati za pamoja za kisiasa na kiuchumi

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Saudia wakubaliana kuunda kamati za pamoja za kisiasa na kiuchumi

    Jun 18, 2023 04:36

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Saudi Arabia wamekubaliana kuunda kamati za pamoja za kisiasa na kiuchumi kati ya nchi mbili.

  • Ansarullah ya Yemen yaionya Saudia isizike taka zake za nyuklia nchini Yemen

    Ansarullah ya Yemen yaionya Saudia isizike taka zake za nyuklia nchini Yemen

    Jun 10, 2023 06:49

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imeionya Saudi Arabia isithubutu kuzika taka zake za atomiki katika maeneo ya jangwani na baharini ya Yemen.

  • Balozi wa Iran: Israel inataka kuvuruga uhusiano wa Tehran, Riyadh

    Balozi wa Iran: Israel inataka kuvuruga uhusiano wa Tehran, Riyadh

    Jun 09, 2023 01:24

    Balozi mpya wa Iran nchini Saudi Arabia amesema Israel imekerwa na kuhamakishwa na hatua ya kuhuishwa uhusiano wa kidiplomasia wa Tehran na Riyadh, na kwamba utawala huo wa Kizayuni umeazimia kuuvuruga uhusiano huo.

  • Balozi za Iran na Saudia zinafunguliwa rasmi leo na kesho, Tehran na Riyadh

    Balozi za Iran na Saudia zinafunguliwa rasmi leo na kesho, Tehran na Riyadh

    Jun 06, 2023 01:35

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, balozi za Saudi Arabia na Iran zinafunguliwa rasmi leo Jumanne na kesho Jumatano katika miji mikuu ya nchi hizi mbili ikiwa ni utekelezaji wa makubaliano ya pande mbili ya kurejesha kikamilifu uhusiano wao wa kidiplomasia.

  • US yahamakishwa na muungano wa baharini wa Iran, Saudia, nchi za Ghuba ya Uajemi

    US yahamakishwa na muungano wa baharini wa Iran, Saudia, nchi za Ghuba ya Uajemi

    Jun 05, 2023 02:35

    Jeshi la Baharini la Marekani limetiwa kiwewe na tangazo la Iran la kutaka kuundwa muungano wa vikosi vya baharini vya Jamhuri ya Kiislamu, Saudi Arabia na nchi nyingine za Ghuba ya Uajemi.

  • Mkutano wa nchi za Kiarabu wamalizika Jeddah kwa wito wa kutatuliwa kadhia za Palestina, Syria

    Mkutano wa nchi za Kiarabu wamalizika Jeddah kwa wito wa kutatuliwa kadhia za Palestina, Syria

    May 20, 2023 02:13

    Viongozi wa nchi za Kiarabu wamekamilisha mkutano wao huko Jeddah, Saudi Arabia kwa kutoa taarifa iliyosisitiza udharura wa kutatuliwa kadhia ya Palestina na mgogoro wa Syria.

  • Saudi Arabia kufungua tena ubalozi wake huko Libya hivi karibuni

    Saudi Arabia kufungua tena ubalozi wake huko Libya hivi karibuni

    May 15, 2023 10:41

    Ujumbe kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Saudi Arabia umeelekea Tripoli mji mkuu wa Libya kwa ajili ya kuchuguza taratibu za kufungua tena ubalozi wa nchi hiyo nchini Libya.

  • Iran ina azma ya kurejesha uhusiano wa kibiashara, kiuchumi na Saudi Arabia

    Iran ina azma ya kurejesha uhusiano wa kibiashara, kiuchumi na Saudi Arabia

    Apr 27, 2023 10:52

    Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda, Migodi na Kilimo cha Iran (ICCIMA) ametoa wito wa kurejeshwa kwa haraka uhusiano wa kibiashara na kiuchumi na Saudi Arabia na kukuzwa ushirikiano kati ya wafanyabiashara na wenye viwanda vya sekta binafsi za nchi hizo mbili.

  • Iran kuzindua safari za ndege za kila wiki kwenda Saudi Arabia

    Iran kuzindua safari za ndege za kila wiki kwenda Saudi Arabia

    Apr 24, 2023 07:06

    Iran ina mpango wa kuzindua safari za ndege za abiria kila wiki kwenda Saudi Arabia kufuatia ombi rasmi kutoka kwa wakuu wa Saudia huku kukiwa na uboreshaji wa uhusiano wa nchi hizi mbili jirani.

  • Je, kuanguka ndege isiyo na rubani ya Israel nchini Syria kumetokana na sababu za kiufundi?

    Je, kuanguka ndege isiyo na rubani ya Israel nchini Syria kumetokana na sababu za kiufundi?

    Apr 21, 2023 07:58

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umetangaza kuanguka kwa moja ya ndege zake zisizo na rubani wakati wa uvamizi wa anga ya Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS