Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Ubalozi wa Saudia Morocco wavunjia heshima nakala za Qur'ani Tukufu

    Ubalozi wa Saudia Morocco wavunjia heshima nakala za Qur'ani Tukufu

    Oct 03, 2016 23:28

    Ubalozi wa Saudia Arabia nchini Morocco umekosolewa vikali na Waislamu baada ya kuenea picha za kuvunjiwa heshima nakala za Qur'ani Tukufu katika ubalozi huo.

  • Saudia yaacha kutumia kalenda ya Kiislamu na kuanza kutumia ya Kikristo

    Saudia yaacha kutumia kalenda ya Kiislamu na kuanza kutumia ya Kikristo

    Oct 03, 2016 11:40

    Saudi Arabia imetangaza kuacha kutumia kalenda ya Kiislamu ya Hijria Qamaria na kuanza kutumia kalenda ya Kikristo katika kazi za kiserikali kutokana na kile ilichosema ni sehemu ya kubana matumizi.

  • UN yapinga kufanyika uchunguzi kuhusu jinai za Saudia huko Yemen

    UN yapinga kufanyika uchunguzi kuhusu jinai za Saudia huko Yemen

    Oct 01, 2016 23:17

    Umoja wa Mataifa umepinga suala la kufanyika uchunguzi kuhusu jinai na uhalifu unaofanywa na Saudi Arabia dhidi ya watu wa Yemen.

  • Wamarekani waanza kuisakama Saudia juu ya shambulio la Septemba 11

    Wamarekani waanza kuisakama Saudia juu ya shambulio la Septemba 11

    Oct 01, 2016 04:23

    Mjane wa Kimarekani ambaye mumewe aliuawa katika shambulizi la Septemba 11 mwaka 2001 nchini Marekani ameipeleka mahakamani serikali ya Saudi Arabia kwa kuhusika na hujuma hiyo, sambamba na kutaka kulipwa fidia kutokana na mauaji ya mumewe.

  • Saudia inaunga mkono wahalifu mashariki mwa Iran

    Saudia inaunga mkono wahalifu mashariki mwa Iran

    Sep 30, 2016 03:39

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran Abdul Ridha Rahman Fadhli amesema Saudi Arabia inaunga mkono wahalifu katika eneo la mashariki mwa nchi.

  • Saudia yaendeleza mashambulio ya anga dhidi ya Yemen; raia kadhaa wauawa

    Saudia yaendeleza mashambulio ya anga dhidi ya Yemen; raia kadhaa wauawa

    Sep 30, 2016 00:52

    Mashambulio ya anga ya muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia katika maeneo kadhaa ya Yemen yameua na kujeruhi raia kadhaa wa nchi hiyo.

  • Rial ya Saudia yashuka thamani baada ya kubatilishwa veto ya Rais Obama

    Rial ya Saudia yashuka thamani baada ya kubatilishwa veto ya Rais Obama

    Sep 29, 2016 10:54

    Rial ya Saudia imeshuka thamani hii leo baada ya kongresi ya Marekani kupasisha muswada unaoitaka serikali ya Riyadh kuzilipa fidia familia za wahanga wa mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001 nchini Marekani.

  • Iran: Madai kuwa Tehran inaipa silaha Ansarullah ya Yemen haya msingi

    Iran: Madai kuwa Tehran inaipa silaha Ansarullah ya Yemen haya msingi

    Sep 29, 2016 10:16

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekanusha vikali madai yaliyotolewa na Saudi Arabia kuwa Tehran inalifadhili kundi la wanaharakati wa Ansarullah wa Yemen.

  • Wafanyakazi Saudia wafanya maandamano kwa kutolipwa mishahara yao miezi sita

    Wafanyakazi Saudia wafanya maandamano kwa kutolipwa mishahara yao miezi sita

    Sep 29, 2016 01:08

    Wafanyakazi wa moja ya mashirika makubwa ya eneo la mashariki mwa Saudia wamefanya maandamano kulalamikia kutolipwa misharahara yao.

  • Jumatatu, Septemba 26, 2016

    Jumatatu, Septemba 26, 2016

    Sep 26, 2016 00:27

    Leo ni Jumatatu tarehe 24 Dhulhija 1437 Hijria sawa na Septemba 26, 201.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS