Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Alhamisi, Septemba 8, 2016

    Alhamisi, Septemba 8, 2016

    Sep 08, 2016 00:06

    Leo ni Alkhamisi tarehe 6 Dhilhija 1437 Hijria sawa na tarehe 8 Septemba 2016.

  • Rais Rouhani:Nchi za Waislamu ziungane kukabiliana na jinai za Saudi Arabia

    Rais Rouhani:Nchi za Waislamu ziungane kukabiliana na jinai za Saudi Arabia

    Sep 07, 2016 08:54

    Rais Hassan Rouhani wa Iran ametoa wito kwa nchi za Waislamu dunaini kuungana na kuuwajibisha utawala wa Saudia kutokana na jinai zake katika nchi za Waislamu eneo la Mashariki ya Kati.

  • Hizbullah: Njama za Saudia dhidi ya Uislamu ni mbaya zaidi kuliko hata za Marekani

    Hizbullah: Njama za Saudia dhidi ya Uislamu ni mbaya zaidi kuliko hata za Marekani

    Sep 07, 2016 03:10

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon, Sheikh Naim Qassem amesema kuwa njama za utawala wa Saudia ni mbaya zaidi kulikoza Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Ayatullah Shirazi: Uwahabi ni tishio kubwa zaidi kwa Uislamu na Ubinadamu

    Ayatullah Shirazi: Uwahabi ni tishio kubwa zaidi kwa Uislamu na Ubinadamu

    Sep 05, 2016 03:04

    Mwanazuoni wa ngazi za juu nchini Iran amesema hii leo Uwahabi una wafuasi wanaotenda jinai na wasio na huruma hata kidogo na hivyo ni hatari kubwa zaidi kwa Uislamu na ubinadamu.

  • Ndege za kivita za Saudia zashambulia Yemen mara 80 kwa siku moja

    Ndege za kivita za Saudia zashambulia Yemen mara 80 kwa siku moja

    Sep 04, 2016 09:26

    Raia kadhaa wa Yemen, wakiwemo watoto, wameuawa baada ya ndege za kivita za Saudi Arabia kutekeleza mashambulizi zaidi ya 80 kote Yemen katika muda wa siku moja.

  • Marekani inaunga mkono hujuma za Saudia dhidi ya Wayemen

    Marekani inaunga mkono hujuma za Saudia dhidi ya Wayemen

    Sep 02, 2016 22:50

    Kiongozi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen amelaani vikali Marekani kwa kutoa misaada ya kijeshi na kisiasa kwa Saudi Arabia katika mashambulizi yake ya kudondosha mabomu dhidi ya watu wa Yemen.

  • Wanazuoni wawili wa Kishia wa Saudia watiwa mbaroni Makka

    Wanazuoni wawili wa Kishia wa Saudia watiwa mbaroni Makka

    Aug 31, 2016 23:24

    Askari usalama wa Saudi Arabia wamewatia mbaroni wanazuoni wawili wa Kishia wa nchini humo.

  • Jumanne, Agosti 30, 2016

    Jumanne, Agosti 30, 2016

    Aug 29, 2016 23:57

    Leo ni Jumanne tarehe 27 Dhulqaada 1437 Hijria sawa na tarehe 30 Agosti 2016.

  • Gordon Duff: Ofisi za udiplomasia za Saudia duniani zinatumika kwa ujasusi

    Gordon Duff: Ofisi za udiplomasia za Saudia duniani zinatumika kwa ujasusi

    Aug 29, 2016 23:31

    Mtaalamu wa masuala ya kisiasa nchini Marekani Gordon Duff, amesema kuwa ofisi za udiplomasia za Saudia kote duniani zinatumika kwa ajili ya shughuli za ujasusi.

  • Mashambulio mapya ya Saudia yaua raia 12 nchini Yemen

    Mashambulio mapya ya Saudia yaua raia 12 nchini Yemen

    Aug 28, 2016 03:06

    Watu wasiopungua 10 wameuawa katika mashambulio ya karibuni yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudia katika eneo la Shar'ab mkoani Taiz nchini Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS