-
Alhamisi, Septemba 8, 2016
Sep 08, 2016 00:06Leo ni Alkhamisi tarehe 6 Dhilhija 1437 Hijria sawa na tarehe 8 Septemba 2016.
-
Rais Rouhani:Nchi za Waislamu ziungane kukabiliana na jinai za Saudi Arabia
Sep 07, 2016 08:54Rais Hassan Rouhani wa Iran ametoa wito kwa nchi za Waislamu dunaini kuungana na kuuwajibisha utawala wa Saudia kutokana na jinai zake katika nchi za Waislamu eneo la Mashariki ya Kati.
-
Hizbullah: Njama za Saudia dhidi ya Uislamu ni mbaya zaidi kuliko hata za Marekani
Sep 07, 2016 03:10Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon, Sheikh Naim Qassem amesema kuwa njama za utawala wa Saudia ni mbaya zaidi kulikoza Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Ayatullah Shirazi: Uwahabi ni tishio kubwa zaidi kwa Uislamu na Ubinadamu
Sep 05, 2016 03:04Mwanazuoni wa ngazi za juu nchini Iran amesema hii leo Uwahabi una wafuasi wanaotenda jinai na wasio na huruma hata kidogo na hivyo ni hatari kubwa zaidi kwa Uislamu na ubinadamu.
-
Ndege za kivita za Saudia zashambulia Yemen mara 80 kwa siku moja
Sep 04, 2016 09:26Raia kadhaa wa Yemen, wakiwemo watoto, wameuawa baada ya ndege za kivita za Saudi Arabia kutekeleza mashambulizi zaidi ya 80 kote Yemen katika muda wa siku moja.
-
Marekani inaunga mkono hujuma za Saudia dhidi ya Wayemen
Sep 02, 2016 22:50Kiongozi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen amelaani vikali Marekani kwa kutoa misaada ya kijeshi na kisiasa kwa Saudi Arabia katika mashambulizi yake ya kudondosha mabomu dhidi ya watu wa Yemen.
-
Wanazuoni wawili wa Kishia wa Saudia watiwa mbaroni Makka
Aug 31, 2016 23:24Askari usalama wa Saudi Arabia wamewatia mbaroni wanazuoni wawili wa Kishia wa nchini humo.
-
Jumanne, Agosti 30, 2016
Aug 29, 2016 23:57Leo ni Jumanne tarehe 27 Dhulqaada 1437 Hijria sawa na tarehe 30 Agosti 2016.
-
Gordon Duff: Ofisi za udiplomasia za Saudia duniani zinatumika kwa ujasusi
Aug 29, 2016 23:31Mtaalamu wa masuala ya kisiasa nchini Marekani Gordon Duff, amesema kuwa ofisi za udiplomasia za Saudia kote duniani zinatumika kwa ajili ya shughuli za ujasusi.
-
Mashambulio mapya ya Saudia yaua raia 12 nchini Yemen
Aug 28, 2016 03:06Watu wasiopungua 10 wameuawa katika mashambulio ya karibuni yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudia katika eneo la Shar'ab mkoani Taiz nchini Yemen.