-
Waziri Mkuu Senegal akosoa uwepo wa kambi za kijeshi za Ufaransa nchini humo; asema huwenda zikafungwa
May 17, 2024 15:10Waziri Mkuu wa Senegal, Ousmane Sonko, ameashiria uwezekano wa kufungwa kambi za kijeshi za Ufaransa katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi. Amesema hayo katika hotuba yake mbele ya vyombo vya habari ambayo pia imegusia sarafu ya CFA inayoungwa mkono na Ulaya, mikataba ya mafuta na gesi na kile kinachotajwa kuwa haki za LGBTQ (mabaradhuli) zinazopigiwa chapuo na nchi za Magharibi.
-
Alkhamisi, tarehe 4 Aprili, 2024
Apr 04, 2024 04:45Leo ni Alkhamisi tarehe 24 Ramadhani 1445 Hijria sawa na 04 Aprili mwaka 2024.
-
Kiongozi wa upinzani Bassirou Diomaye Faye, rais mpya wa Senegal
Mar 26, 2024 07:45Kiongozi wa upinzani nchini Senegal, Bassirou Diomaye Faye, mwenye umri wa miaka 44, jana aliarifishwa kuwa rais ajaye wa nchi hiyo ikiwa ni chini ya wiki mbili baada ya kuachiwa huru kutoka gerezani ili kushiriki katika uchaguzi.
-
Macky Sall awaonya wagombea wa kiti cha urais Senegal kutojitangazia ushindi kabla ya matokeo rasmi
Mar 25, 2024 11:29Rais anayemaliza muda wake wa uongozi nchini Senegal Macky Sall amewaonya wagombea wa kiti cha urais kuacha kudai kuwa washindi wa uchaguzi huo kabla ya Tume ya Taifa ya nchi hiyo kutangaza matokeo rasmi ya uchaguzi.
-
Mgombea urais wa kwanza mwanamke nchini Senegal ajikita katika maendeleo na usawa wa kijinsia
Mar 10, 2024 11:49Anta Babacar Ngom, mwanamke wa kwanza kugombea kiti cha urais huko Senegal amesema kuwa anataka kuiweka nchi hiyo katika njia ya viwanda na kuanzisha mfumo wa haki wa kugombea wanawake nafasi mbalimbali za uongozi wa nchi.
-
Wagombea 15 wa urais Senegal wataka uchaguzi ufanyike kabla ya muhula wa Rais Sall kumalizika
Feb 20, 2024 07:05Wagombea 15 kati ya 20 walioidhinishwa kugombea katika uchaguzi wa urais wa Senegal ambao uliakhirishwa kufanyika mwezi huu wa Februari wametaka uchaguzi huo mpya uwe umeshafanyika kabla ya tarehe Pili Aprili.
-
Baraza la Katiba Senegal: Uamuzi wa Bunge wa kuidhinisha kuakhirishwa uchaguzi ni "kinyume na Katiba"
Feb 16, 2024 07:51Baraza la Katiba la Senegal limetoa hukumu na kutangaza kwamba uamuzi uliopitishwa na bunge wa kuakhirisha uchaguzi wa rais wa Februari 25 hadi Disemba haukuendana na Katiba.
-
Maandamano ya wapinzani Senegal yaahirishwa baada ya kupigwa marufuku na serikali
Feb 13, 2024 12:01Maandamano yaliyokuwa yamepangwa kufanyika leo huko Senegal kupinga hatua ya Rais Macky Sall wa nchi hiyo ya kuakhirisha uchaguzi wa rais, yameakhirishwa baada ya serikali kuyapiga marufuku.
-
AU: Tuna wasiwasi kuhusu kuakhirishwa uchaguzi wa Rais Senegal
Feb 05, 2024 15:32Umoja wa Afrika (AU) umesema kuwa unatiwa wasiwasi na hatua ya Senegal ya kuakhirisha uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.
-
Polisi wapambana na waandamanaji Senegal wanaolalamikia kuakhirishwa uchaguzi wa rais
Feb 05, 2024 06:46Wafuasi wa vyama vya upinzani na polisi wamepambana katika mji mkuu wa Senegal Dakar baada ya Rais Macky Sall kutangaza kuakhirisha kwa muda usiojulikana uchaguzi wa rais uliopangwa kufanyika Februari 25, na hivyo kuzusha wasiwasi kimataifa.