Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Senegal

  • Rais wa Senegal aapa kukabiliana na magendo ya binadamu

    Rais wa Senegal aapa kukabiliana na magendo ya binadamu

    Sep 13, 2024 03:05

    Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye amesema kuwa serikali yake itafanya kila liwezekanalo kukabiliana na safari hatarishi za wahamiaji baada ya mkasa wa karibuni kuua makumi ya watu.

  • Waziri Mkuu wa Senegal ataka kutengwa, kususiwa Israel

    Waziri Mkuu wa Senegal ataka kutengwa, kususiwa Israel

    Sep 01, 2024 06:44

    Waziri Mkuu wa Senegal, Ousmane Sonko ameziasa nchi za Kiislamu kuususia utawala wa Israel na kuzidisha mashinikizo ya kulitenga dola hilo la Kizayuni.

  • Ecowas yamteuwa Rais wa Senegal kuzungumza na Burkina Faso, Mali na Niger

    Ecowas yamteuwa Rais wa Senegal kuzungumza na Burkina Faso, Mali na Niger

    Jul 09, 2024 02:24

    Jumuiya ya Kiuchumi ya Afrika Magharibi (ECOWAS) imemtaka Rais wa Senegal Bassirou Diomaye Faye kushirikiana na nchi tatu wanachama wake wa zamani zinazoongozwa kijeshi kujaribu kuliunganisha eneo hilo ambalo utulivu wake umekuwa hatarini tangu zilipoamua kujitoa katika jumuiya hiyo mwezi Januari mwaka huu.

  • Mashirika ya kiraia Senegal yataka kukatwa uhusiano wa nchi hiyo na Israel

    Mashirika ya kiraia Senegal yataka kukatwa uhusiano wa nchi hiyo na Israel

    Jun 18, 2024 07:08

    Wanaharakati wa mashirika ya kiraia nchini Senegal wametoa mwito kwa serikali ya nchi yao kukakata uhusiano wa kidiplomasia na utawala haramu wa Israel, kutokana na jinai za kivita na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala huo wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Waziri Mkuu Senegal akosoa uwepo wa kambi za kijeshi za Ufaransa nchini humo; asema huwenda zikafungwa

    Waziri Mkuu Senegal akosoa uwepo wa kambi za kijeshi za Ufaransa nchini humo; asema huwenda zikafungwa

    May 17, 2024 15:10

    Waziri Mkuu wa Senegal, Ousmane Sonko, ameashiria uwezekano wa kufungwa kambi za kijeshi za Ufaransa katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi. Amesema hayo katika hotuba yake mbele ya vyombo vya habari ambayo pia imegusia sarafu ya CFA inayoungwa mkono na Ulaya, mikataba ya mafuta na gesi na kile kinachotajwa kuwa haki za LGBTQ (mabaradhuli) zinazopigiwa chapuo na nchi za Magharibi.

  • Alkhamisi, tarehe 4 Aprili, 2024

    Alkhamisi, tarehe 4 Aprili, 2024

    Apr 04, 2024 04:45

    Leo ni Alkhamisi tarehe 24 Ramadhani 1445 Hijria sawa na 04 Aprili mwaka 2024.

  • Kiongozi wa upinzani Bassirou Diomaye Faye, rais mpya wa  Senegal

    Kiongozi wa upinzani Bassirou Diomaye Faye, rais mpya wa Senegal

    Mar 26, 2024 07:45

    Kiongozi wa upinzani nchini Senegal, Bassirou Diomaye Faye, mwenye umri wa miaka 44, jana aliarifishwa kuwa rais ajaye wa nchi hiyo ikiwa ni chini ya wiki mbili baada ya kuachiwa huru kutoka gerezani ili kushiriki katika uchaguzi.

  • Macky Sall awaonya wagombea wa kiti cha urais Senegal kutojitangazia ushindi kabla ya matokeo rasmi

    Macky Sall awaonya wagombea wa kiti cha urais Senegal kutojitangazia ushindi kabla ya matokeo rasmi

    Mar 25, 2024 11:29

    Rais anayemaliza muda wake wa uongozi nchini Senegal Macky Sall amewaonya wagombea wa kiti cha urais kuacha kudai kuwa washindi wa uchaguzi huo kabla ya Tume ya Taifa ya nchi hiyo kutangaza matokeo rasmi ya uchaguzi.

  • Mgombea urais wa kwanza mwanamke nchini Senegal ajikita katika maendeleo na usawa wa kijinsia

    Mgombea urais wa kwanza mwanamke nchini Senegal ajikita katika maendeleo na usawa wa kijinsia

    Mar 10, 2024 11:49

    Anta Babacar Ngom, mwanamke wa kwanza kugombea kiti cha urais huko Senegal amesema kuwa anataka kuiweka nchi hiyo katika njia ya viwanda na kuanzisha mfumo wa haki wa kugombea wanawake nafasi mbalimbali za uongozi wa nchi.

  • Wagombea 15 wa urais Senegal wataka uchaguzi ufanyike kabla ya muhula wa Rais Sall kumalizika

    Wagombea 15 wa urais Senegal wataka uchaguzi ufanyike kabla ya muhula wa Rais Sall kumalizika

    Feb 20, 2024 07:05

    Wagombea 15 kati ya 20 walioidhinishwa kugombea katika uchaguzi wa urais wa Senegal ambao uliakhirishwa kufanyika mwezi huu wa Februari wametaka uchaguzi huo mpya uwe umeshafanyika kabla ya tarehe Pili Aprili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS