-
Kiongozi wa upinzani Senegal ahukumiwa kifungo cha miaka 5 jela
Mar 30, 2018 10:30Mahakama moja nchini Senegal imemhukumu kifungo cha miaka mitano jela Khalifa Sall, kiongozi mashuhuri wa upinzani nchini humo baada ya kupatikana na hatia katika kesi ya ufisadi iliyokuwa ikimkabili.
-
Maelfu ya wahajiri wa Kiafrika waandamana Italia kupinga ubaguzi wa rangi nchini humo
Mar 11, 2018 03:47Maelfu ya wahajiri wa Kiafrika pamoja na raia wengi wa Italia wameandamana katika mji wa Florence kaskazini mwa Italia kupinga vitendo vya ubaguzi wa rangi nchini humo.
-
Mkutano wa Senegal wahimiza kushirikishwa Waislamu wote katika masuala ya Hija
Feb 26, 2018 03:59Mkutano wa kimataifa wa Senegal umehimiza kushirikishwa nchi zote za Kiislamu katika usimamiaji wa amali ya Hija.
-
Senegal yapongeza uungaji mkono wa Iran kwa Waislamu duniani
Jan 27, 2018 04:25Balozi wa Senegal nchini Iran amepongeza uungaji mkono na mchango wa Jamhuri ya Kiislamu kwa Waislamu kote duniani.
-
Rais wa Iran alaani matamshi ya Rais wa Marekani dhidi ya watu wa Afrika
Jan 16, 2018 11:03Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali maneno ya matusi ambayo Rais Donald Trump wa Marekani aliyatumia dhidi ya mataifa ya Afrika.
-
Jeshi: Vijana 13 wauawa kwa kufyatuliwa risasi kusini mwa Senegal
Jan 07, 2018 04:26Jeshi la Senegal limetangaza habari ya kuuawa vijana 13 kwa kufyatuliwa risasi na genge la wabeba silaha, kusini mwa nchi.
-
Senegal yasisitiza kuunga mkono kikosi cha pamoja cha nchi tano za eneo la Sahel barani Afrika
Oct 14, 2017 11:56Rais Macky Sall wa Senegal amesisitiza juu ya msimamo wa nchi yake wa kuunga mkono kikosi cha pamoja cha nchi tano za eneo la Sahel barani Afrika.
-
Gambia na Senegal kushirikiana katika vita dhidi ya ugaidi
Aug 22, 2017 23:50Mawaziri wa Mambo ya Ndani wa nchi za Senegal na Gambia wametilia mkazo umuhimu wa kushirikiana nchi zao katika vita dhidi ya ugaidi.
-
Senegal yapuuza ushawishi wa Saudia, sasa kumrejesha balozi wake nchini Qatar
Aug 22, 2017 03:43Serikali ya Senegal imetangaza kuwa, itamrejesha balozi wake ambaye awali ilimwita nyumbani baada ya kuanza mgogoro kati ya nchi za Kiarabu za eneo la Ghuba ya Uajemi na Qatar.
-
Rais Rouhani: Iran ina hamu ya kustawisha zaidi uhusiano na nchi za Afrika
Aug 07, 2017 12:11Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumza kwa nyakati tofauti na Rais wa Zimbabwe na Waziri wa Utamaduni na Mawasiliano wa Senegal walioko hapa mjini Tehran na kusisitiza kuwa Tehran inataka kuimarisha zaidi ushirikiano wake na nchi hizo mbili za Afrika.