Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Senegal

  • Senegal yapongeza uungaji mkono wa Iran kwa Waislamu duniani

    Senegal yapongeza uungaji mkono wa Iran kwa Waislamu duniani

    Jan 27, 2018 07:55

    Balozi wa Senegal nchini Iran amepongeza uungaji mkono na mchango wa Jamhuri ya Kiislamu kwa Waislamu kote duniani.

  • Rais wa Iran alaani matamshi ya Rais wa Marekani dhidi ya watu wa Afrika

    Rais wa Iran alaani matamshi ya Rais wa Marekani dhidi ya watu wa Afrika

    Jan 16, 2018 14:33

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali maneno ya matusi ambayo Rais Donald Trump wa Marekani aliyatumia dhidi ya mataifa ya Afrika.

  • Jeshi: Vijana 13 wauawa kwa kufyatuliwa risasi kusini mwa Senegal

    Jeshi: Vijana 13 wauawa kwa kufyatuliwa risasi kusini mwa Senegal

    Jan 07, 2018 07:56

    Jeshi la Senegal limetangaza habari ya kuuawa vijana 13 kwa kufyatuliwa risasi na genge la wabeba silaha, kusini mwa nchi.

  • Senegal yasisitiza kuunga mkono kikosi cha pamoja cha nchi tano za eneo la Sahel barani Afrika

    Senegal yasisitiza kuunga mkono kikosi cha pamoja cha nchi tano za eneo la Sahel barani Afrika

    Oct 14, 2017 15:26

    Rais Macky Sall wa Senegal amesisitiza juu ya msimamo wa nchi yake wa kuunga mkono kikosi cha pamoja cha nchi tano za eneo la Sahel barani Afrika.

  • Gambia na Senegal kushirikiana katika vita dhidi ya ugaidi

    Gambia na Senegal kushirikiana katika vita dhidi ya ugaidi

    Aug 23, 2017 04:20

    Mawaziri wa Mambo ya Ndani wa nchi za Senegal na Gambia wametilia mkazo umuhimu wa kushirikiana nchi zao katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Senegal yapuuza ushawishi wa Saudia, sasa kumrejesha balozi wake nchini Qatar

    Senegal yapuuza ushawishi wa Saudia, sasa kumrejesha balozi wake nchini Qatar

    Aug 22, 2017 08:13

    Serikali ya Senegal imetangaza kuwa, itamrejesha balozi wake ambaye awali ilimwita nyumbani baada ya kuanza mgogoro kati ya nchi za Kiarabu za eneo la Ghuba ya Uajemi na Qatar.

  • Rais Rouhani: Iran ina hamu ya kustawisha zaidi uhusiano na nchi za Afrika

    Rais Rouhani: Iran ina hamu ya kustawisha zaidi uhusiano na nchi za Afrika

    Aug 07, 2017 16:41

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumza kwa nyakati tofauti na Rais wa Zimbabwe na Waziri wa Utamaduni na Mawasiliano wa Senegal walioko hapa mjini Tehran na kusisitiza kuwa Tehran inataka kuimarisha zaidi ushirikiano wake na nchi hizo mbili za Afrika.

  • Ushindi wa chama tawala nchini Senegal katika uchaguzi wa Bunge

    Ushindi wa chama tawala nchini Senegal katika uchaguzi wa Bunge

    Aug 01, 2017 13:20

    Chama tawala nchini Senegal kimejipatia ushindi katika uchaguzi wa Bunge uliofanyika Jumapili iliyopita na hivyo kudhibiti wingi wa viti katika Bunge la nchi hiyo.

  • Wachambuzi: Uchaguzi wa Bunge Senegal uligubikwa na vurugu

    Wachambuzi: Uchaguzi wa Bunge Senegal uligubikwa na vurugu

    Jul 31, 2017 07:18

    Mchambuzi wa masuala ya kisiasa wa Senegal amesema kuwa, uchaguzi wa Bunge uliofanyika jana nchini humo uliandamana na mapungufu na matatizo mbalimbali.

  • Uchaguzi wa Bunge Senegal unafanyika kesho Jumapili huku mivutano ya kisiasa ikiongezeka

    Uchaguzi wa Bunge Senegal unafanyika kesho Jumapili huku mivutano ya kisiasa ikiongezeka

    Jul 29, 2017 13:26

    Wananchi wa Senegal waliotimiza masharti ya kupiga kura kesho wataelekea katika masanduku ya kupigia kura kwa ajili ya kuwachagua wawakilishi wao wa Bunge.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS