Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

shambulio

  • Guterres: Kuna udharura wa kupambana na chuki dhidi ya Uislamu duniani

    Guterres: Kuna udharura wa kupambana na chuki dhidi ya Uislamu duniani

    Mar 16, 2019 04:45

    Katibu MKuu wa Umoja wa Mataifa sanjari na kulaani mashambulio ya kigaidi yaliyofanywa dhidi ya misikiti miwili katika mji wa Christchurch nchini New Zealand jana Ijumaa na kuua makumi ya watu, ametoa mwito wa kuundwa mikakati ya kupambana na chuki dhidi Uislamu zinazoenea kwa kasi katika maeneo mbalimbali ya dunia.

  • Watu 14 wauawa katika shambulizi la mawahabi Burkina Faso

    Watu 14 wauawa katika shambulizi la mawahabi Burkina Faso

    Feb 05, 2019 08:07

    Jeshi la Burkina Faso limetangaza kuwa, watu wasiopungua 14 wameuawa katika shambulizi lililofanywa na kundi la kitakfiri na kiwahabi nchini humo.

  • Jeshi la Saudia laua raia watano katika eneo la Qatif

    Jeshi la Saudia laua raia watano katika eneo la Qatif

    Feb 03, 2019 15:55

    Jeshi la Saudi Arabia limehujumu mji WA Qatif katika mkoa wa Ash-Sharqiyyah na kuua raia watano na kuwajeruhi wengine kadhaa.

  • Shambulizi la guruneti laua kadhaa msikitini Ufilipino

    Shambulizi la guruneti laua kadhaa msikitini Ufilipino

    Jan 31, 2019 04:32

    Kwa akali watu wawili wameuawa katika shambulizi la guruneti lililolenga msikiti mmoja katika eneo la Mindanao kusini mwa Ufilipino.

  • Ubalozi wa Marekani Baghdad washambuliwa baada ya safari ya kinyemela ya Trump nchini Iraq

    Ubalozi wa Marekani Baghdad washambuliwa baada ya safari ya kinyemela ya Trump nchini Iraq

    Dec 27, 2018 07:46

    Ubalozi wa Mrekani mjini Baghdad nchini Iraq umeshambuliwa kwa maroketi mapema leo Alkhamisi masaa machache baada ya Rais wa nchi hiyo, Donald Trump kufanya safari ya kinyemela nchini Iraq akiandamana na mkewe.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Libya yashambuliwa, 13 wauawa na kujeruhiwa

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Libya yashambuliwa, 13 wauawa na kujeruhiwa

    Dec 25, 2018 14:49

    Kwa akali watu watatu wameuawa akiwemo mtumishi wa umma wa ngazi za juu, huku wengine kadhaa wakijeruhiwa, baada ya watu waliojizatiti kwa silaha kushambulia jengo lenye Wizara ya Mambo ya Nje ya Libya katika mji mkuu Tripoli.

  • Ndege za Marekani zaendelea kuwashambulia wananchi wa Syria kwa mabomu ya fosforasi

    Ndege za Marekani zaendelea kuwashambulia wananchi wa Syria kwa mabomu ya fosforasi

    Nov 22, 2018 02:47

    Muungano wa eti kupambana na magaidi wa Daesh unaoongozwa na Marekani umeendelea kuwamiminia mabomu ya kemikali hatari ya fosforasi, wananchi wa mji wa Hajin wa mashariki mwa Syria.

  • Aliyechoma moto msikiti jimbo la Texas, Marekani ahukumiwa kifungo cha miaka 25 jela

    Aliyechoma moto msikiti jimbo la Texas, Marekani ahukumiwa kifungo cha miaka 25 jela

    Oct 18, 2018 08:08

    Mahakama ya Marekani imemuhukumu kifungo cha miaka 25 jela mwanamume mmoja aliyehusika na tukio la kuchoma moto msikiti katika jimbo la Texas nchini humo.

  • Trump awashambulia marafiki na maadui zake

    Trump awashambulia marafiki na maadui zake

    Oct 12, 2018 02:41

    Tangu aingie madarakani nchini Marekani mwezi Januari 2017, Rais Donald Trump wa nchi hiyo amekuwa akitekeleza siasa ambazo zimeifanya dunia kuwa uwanja wa malumbano na mivutano.

  • Kundi la Boko Haram lashambulia kambi ya jeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Kundi la Boko Haram lashambulia kambi ya jeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Sep 28, 2018 14:35

    Kundi la kigaidi la Boko Haram limefanya shambulio jingine dhidi ya kambi moja ya jeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS