Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

shambulio

  • Aliyechoma moto msikiti jimbo la Texas, Marekani ahukumiwa kifungo cha miaka 25 jela

    Aliyechoma moto msikiti jimbo la Texas, Marekani ahukumiwa kifungo cha miaka 25 jela

    Oct 18, 2018 08:08

    Mahakama ya Marekani imemuhukumu kifungo cha miaka 25 jela mwanamume mmoja aliyehusika na tukio la kuchoma moto msikiti katika jimbo la Texas nchini humo.

  • Trump awashambulia marafiki na maadui zake

    Trump awashambulia marafiki na maadui zake

    Oct 12, 2018 02:41

    Tangu aingie madarakani nchini Marekani mwezi Januari 2017, Rais Donald Trump wa nchi hiyo amekuwa akitekeleza siasa ambazo zimeifanya dunia kuwa uwanja wa malumbano na mivutano.

  • Kundi la Boko Haram lashambulia kambi ya jeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Kundi la Boko Haram lashambulia kambi ya jeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Sep 28, 2018 14:35

    Kundi la kigaidi la Boko Haram limefanya shambulio jingine dhidi ya kambi moja ya jeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Watu 9 wauawa katika shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Watu 9 wauawa katika shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Sep 21, 2018 03:23

    Kundi la kigaidi la Boko Haram limeendelea kufanya mauaji kaskazini mashariki mwa Nigeria ambapo watu 9 wanaripotiwa kuuawa kufuatia shambulio la magaidi hao.

  • Mashambulio ya anga ya Saudia dhidi ya ghala la WFP huko Yemen

    Mashambulio ya anga ya Saudia dhidi ya ghala la WFP huko Yemen

    Sep 15, 2018 12:39

    Ndege za kivita za muungano vamizi huko Yemen unaoongozwa na Saudi Arabia zimelishambulia ghala la kuhifadhia chakula la Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) katika mji wa al Hudaydah.

  • Mashambulizi dhidi ya wanawake wa Kiislamu yaongozeka Ubelgiji

    Mashambulizi dhidi ya wanawake wa Kiislamu yaongozeka Ubelgiji

    Sep 10, 2018 04:10

    Takwimu zinaonesha kuwa, karibu asilimia 76 ya wanawake Waislamu nchini Ubelgiji walishambuliwa na magenge ya watu wanaopinga Uislamu nchini humo katika mwaka uliopita wa 2017.

  • Askari 30 wauawa na makumi wajeruhiwa katika shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Askari 30 wauawa na makumi wajeruhiwa katika shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Sep 02, 2018 02:23

    Askari 30 wa Nigeria wameuliwa katika shambulio lililofanywa na magaidi wa kundi la Boko Haram dhidi ya kambi moja ya jeshi kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Russia yaionya tena Marekani juu ya kufanya shambulizi dhidi ya Syria

    Russia yaionya tena Marekani juu ya kufanya shambulizi dhidi ya Syria

    Aug 30, 2018 16:13

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia ameelezea uwezekano wa Marekani na washirika wake kufanya shambulizi dhidi ya Syria hasa kwa kuzingatia hatua ya kusogezwa zana za kijeshi za nch hiyo katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Waasi wa ADF-NALU wa Uganda wafanya mashambulio DRC na kuua watu 6

    Waasi wa ADF-NALU wa Uganda wafanya mashambulio DRC na kuua watu 6

    Aug 12, 2018 12:59

    Waasi wa ADF-Nalu wa Uganda wamefanya mashambulio katika jimbo la Kivu Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kuua watu sita.

  • Askari usalama wavamia jengo la wizara ya mambo ya nje ya Somalia

    Askari usalama wavamia jengo la wizara ya mambo ya nje ya Somalia

    Aug 05, 2018 02:33

    Duru za habari Somalia zimeripoti kuwa askari usalama wamevamia jengo la Wizara ya Mambo ya Nje katika mji mkuu Mogadishu kwa lengo la kumtia nguvuni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS