Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

shambulizi la kigaidi

  • Watu 6 wauawa katika shambulizi la bomu Mogadishu, Somalia

    Watu 6 wauawa katika shambulizi la bomu Mogadishu, Somalia

    Apr 07, 2018 07:53

    Kwa akali watu sita wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia milipuko pacha ya mabomu iliyotokea katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu jana Ijumaa.

  • Shambulizi la 'ISIS' laua makumi ya watu nchini Mali

    Shambulizi la 'ISIS' laua makumi ya watu nchini Mali

    Jan 26, 2018 07:18

    Makumi ya watu wameripotiwa kupoteza maisha katika shambulizi la bomu la kutegwa ardhini linaloaminika kufanywa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) nchini Mali.

  • 12 wauawa, 48 wajeruhiwa katika shambulio la Boko Haram nchini Nigeria

    12 wauawa, 48 wajeruhiwa katika shambulio la Boko Haram nchini Nigeria

    Jan 18, 2018 07:11

    Watu 12 wameuawa na makumi ya wengine wamejeruhiwa katika shambulio la kujilipua kwa bomu lililotekelezwa sokoni katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Al-Shabaab yadai kuua askari 5 wa Amisom, Somalia

    Al-Shabaab yadai kuua askari 5 wa Amisom, Somalia

    Jan 01, 2018 04:21

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab linadai kwamba limeua askari watano wa Kikosi cha Askari wa Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika Amisom katika mlipuko wa bomu uliotokea mjini Mogadishu jana Jumapili.

  • 40 wauawa katika shambulizi la kigaidi Kabul, Afghanistan

    40 wauawa katika shambulizi la kigaidi Kabul, Afghanistan

    Dec 28, 2017 08:02

    Kwa akali watu 40 wameuwa na wengine 30 kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi lililoutikisa mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.

  • Gaidi ajiripua na kuua watu wawili msikitini Cameroon

    Gaidi ajiripua na kuua watu wawili msikitini Cameroon

    Dec 12, 2017 08:13

    Mshambuliaji aliyekuwa amejifunga bomu amejiripua na kuua watu wawili katika msikiti mmoja ulioko kaskazini mwa Cameroon karibu na mpaka wa nchi hiyo na Nigeria mapema leo.

  • Rais wa Ufaransa akaribishwa Burkina Faso kwa shambulizi la guruneti

    Rais wa Ufaransa akaribishwa Burkina Faso kwa shambulizi la guruneti

    Nov 28, 2017 07:39

    Kwa akali watu watatu wamejeruhiwa katika shambulizi la guruneti nchini Burkina Faso, lililofanyika masaa machache kabla ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kuanza ziara ya kuitembelea nchi hiyo ya Kiafrika.

  • Viongozi wa Iran waendelea kulaani shambulizi la kigaidi dhidi ya Waislamu msikitini Misri

    Viongozi wa Iran waendelea kulaani shambulizi la kigaidi dhidi ya Waislamu msikitini Misri

    Nov 25, 2017 16:20

    Viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wameendelea kulaani vikali shambulizi la kigaidi lililolenga Waislamu waliokuwa wakitekeleza ibada ya Swala ya Ijumaa msikitini katika eneo la Sinai nchini Misri na kuua mamia ya watu wasio na hatia yoyote.

  • Watu 235 wauawa katika shambulizi dhidi ya msikiti huko Sinai, Misri

    Watu 235 wauawa katika shambulizi dhidi ya msikiti huko Sinai, Misri

    Nov 24, 2017 14:15

    Kwa akali watu 185 wameuawa na makumi ya wengine wamejeruhiwa katika shambulizi la kigaidi dhidi ya msikiti mmoja katika Peninsula ya Sinai nchini Misri.

  • Kuuliwa Waislamu msikitini katika shambulio la bomu la kujitoa mhanga nchini Nigeria

    Kuuliwa Waislamu msikitini katika shambulio la bomu la kujitoa mhanga nchini Nigeria

    Nov 22, 2017 07:53

    Watu wasiopungua 50 wameaga dunia katika mlipuko wa bomu uliotokea msikitini kaskazini mashariki mwa Nigeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS