-
Watu 50 wauawa katika mripuko wa bomu msikitini nchini Nigeria
Nov 21, 2017 10:56Kwa akali watu 50 wameuawa katika shambulio la bomu dhidi ya msikiti mmoja ulioko kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Jumapili 19 Novemba, 2017
Nov 18, 2017 23:17Leo ni Jumapili tarehe 30 Swafar Mfunguo Tano 1439 Hijria, sawa na Novemba 19, 2017 Miladia.
-
Watu 10 wauawa katika shambulizi la ISIS eneo la Sinai, Misri
Nov 10, 2017 11:15Kwa akali watu 10 wameuawa katika shambulizi la kundi la kigaidi lenye mafungamano la genge la kitakfiri la Daesh (ISIS) katika eneo la Sinai nchini Misri.
-
Zarif: Marekani inajaribu kupotosha ukweli kuhusu mashambulizi ya Septemba 11
Nov 03, 2017 10:47Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani inafanya juu chini kupotosha ukweli wa mambo kuhusu mashambulio ya kigaidi ya Septemba 11 mwaka 2001.
-
Wakuu wa usalama wapigwa kalamu kufuatia mashambulizi ya kigaidi Somalia
Oct 29, 2017 12:29Wakuu wa vyombo vya usalama nchini Somalia wamepigwa kalamu nyekundu kufuatia mashambulizi ya kigaidi ya jana Jumamosi yaliyosababisha makumi ya watu kuuawa na kujeruhiwa.
-
Makumi ya Waislamu wauawa msikitini mjini Kabul, Daesh yajigamba imehusika
Oct 20, 2017 13:44Waislamu wasiopungua 32 wameuawa shahidi leo katika shambulizi la kigaidi lililofanyika ndani ya msikiti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.
-
71 wauawa katika mashambulizi ya kigaidi ya Taliban, Afghanistan
Oct 17, 2017 11:41Watu wasiopungua 71 wameuawa huku wengine 200 wakijeruhiwa katika wimbi jipya la mashambulizi ya kigaidi ya kundi la Taliban nchini Afghanistan leo Jumanne.
-
Makumi wakiwemo Wairani 3 wauawa katika miripuko pacha ya mabomu Iraq
Sep 14, 2017 10:11Kwa akali watu 50 wakiwemo raia watatu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wameuawa katika mashambulizi pacha ya mabomu na ufyatuaji risasi huko kusini mwa Iraq.
-
14 wauawa, kujeruhiwa katika shambulizi karibu na ubalozi wa US, Kabul
Aug 29, 2017 03:12Habari kutoka Afghanistan zinasema, kwa akali watu watano wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia shambulizi la bomu lililotokea karibu na ubalozi wa Marekani mjini Kabul hii leo.
-
Iran yalaani shambulizi la kigaidi la Barcelona
Aug 18, 2017 10:32Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali shambulizi la kikatili na kigaidi lililotokea jana Barcelona huko Uhispania na kusema taifa la Iran linatoa mkono wa pole kwa serikali, taifa na familia za wahanga wa shambulizi hilo.