Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

shambulizi la kigaidi

  • Miripuko mitatu yaua watu kadhaa karibu na mji wa Maiduguri, Nigeria

    Miripuko mitatu yaua watu kadhaa karibu na mji wa Maiduguri, Nigeria

    Mar 19, 2017 16:30

    Hali ya taharuki imeukumba mji wa Maiduguri, kufuatia miripuko mitatu ya kigaidi iliyotokea karibu na mji huo na kuua watu kadhaa na wengne kujeruhiwa.

  • Watu 8 wauawa,  katika mripuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Watu 8 wauawa, katika mripuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Mar 13, 2017 14:26

    Polisi ya Mogadishu, mji mkuu wa Somalia imetangaza habari ya kuuawa watu wanane katika mripuko wa bomu uliotokea leo mjini humo.

  • Iran, Hizbullah zalaani hujuma ya kigaidi mjini Damascus

    Iran, Hizbullah zalaani hujuma ya kigaidi mjini Damascus

    Mar 12, 2017 07:27

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani mashambulizi ya kigaidi yaliyofanyika jana Jumamosi katika mji wa Damascus nchini Syria, ambapo makumi ya watu waliuawa na wengine wengi kujeruhiwa.

  • Watu kadhaa wauawa katika miripuko Maiduguri, Nigeria

    Watu kadhaa wauawa katika miripuko Maiduguri, Nigeria

    Mar 04, 2017 07:42

    Polisi nchini Nigeria imesema watu kadhaa waliuawa katika wimbi la mashambulizi ya mabomu katika mji wa Maiduguri, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo jana Ijumaa.

  • Jumatatu, Januari 20, 2017

    Jumatatu, Januari 20, 2017

    Feb 20, 2017 02:49

    Leo ni Jumatatu tarehe 22 Mfunguo Nane Jamadil Awwal 1438 Hijria sawa na Februari 20, 2017 Milaadia.

  • Iran yalaani mauaji ya watu 80 katika Haram ya Sufi nchini Pakistan

    Iran yalaani mauaji ya watu 80 katika Haram ya Sufi nchini Pakistan

    Feb 17, 2017 14:59

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani shambulio la kigaidi lililotokea jana Alkhamisi katika mkoa wa Sindh nchini Pakistan, ambapo makumi ya watu waliuawa na wengine wengi kujeruhiwa.

  • 5 wauawa kwa risasi kwenye hujuma dhidi ya msikiti Quebec, Canada

    5 wauawa kwa risasi kwenye hujuma dhidi ya msikiti Quebec, Canada

    Jan 30, 2017 07:38

    Kwa akali watu watano wameuawa katika hujuma ya kikatili dhidi ya msikiti mmoja katika mji wa Quebec nchini Canada usiku wa kuamkia leo.

  • Iran yalaani hujuma ya kigaidi Uturuki, idadi ya waliouawa yaongezeka

    Iran yalaani hujuma ya kigaidi Uturuki, idadi ya waliouawa yaongezeka

    Jan 01, 2017 08:10

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani hujuma ya kigaidi iliyofanyika usiku wa kuamkia leo katika mji wa Istanbul nchini Uturuki.

  • 70 wauawa, kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi Instabul, Uturuki

    70 wauawa, kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi Instabul, Uturuki

    Jan 01, 2017 04:38

    Makumi ya watu wanaripotiwa kuuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi iliyofanyika usiku wa kuamkia leo katika klabu moja ya anasa mjini Instabul nchini Uturuki.

  • Watu sita wauawa katika shambulio la kigaidi Somalia

    Watu sita wauawa katika shambulio la kigaidi Somalia

    Dec 28, 2016 14:41

    Watu sita wameuawa katika shambulio lililofanywa leo na wanamgambo wenye mfungamano na kundi la kigaidi la al Shabab.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS