-
11 wauliwa katika kituo cha jeshi cha upekuzi nchini Burkina Faso
Dec 16, 2016 12:21Wanajeshi kumi na polisi mmoja wameuawa leo kaskazini mwa Burkina Faso baada ya watu wenye silaha wasiofahamika kukishambulia kituo cha upekuzi cha jeshi.
-
Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya eneo la kidini Misri
Dec 12, 2016 03:52Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani shambulizi la kigaidi lililolenga kanisa moja katika mji mkuu wa Misri, Cairo na kusababisha vifo vya makumi ya watu.
-
Mkuu wa Azhar ya Misri alaani hujuma ya kigaidi dhidi ya kanisa Cairo
Dec 11, 2016 23:11Mkuu wa Chuo Kikuu cha al Azhar cha Misri amelaani shambulizi la kigaidi dhidi ya kanisa moja mjini Cairo na kuua makumi ya watu hapo jana.
-
Waislamu Nigeria wazidi kushinikizwa na serikali kwa kisingizio cha kuimarishwa usalama
Dec 11, 2016 23:09Kufuatia kuongezeka hujuma za kigaidi nchini Nigeria, serikali ya Abuja inatumia kisingizio hicho kuwakadamiza wananchi hasa Waislamu.
-
Makumi wauawa katika mashambulizi ya kigaidi Nigeria
Dec 10, 2016 00:26Makumi ya watu wameuawa katika mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Iran yakosoa utendaji wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na vitendo vya kigaidi
Nov 27, 2016 04:09Balozi na Naibu Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amekikosoa kimya cha Umoja wa Mataifa kuhusiana na vitendo vya kigaidi na kulitaka Baraza la Usalama la umoja huo kutekeleza majukumu yake ipasavyo kuhusiana na suala zima la ugaidi.
-
Magaidi washambulia msikiti kwa bomu na kuua makumi Kabul, Afghanistan
Nov 22, 2016 02:51Makumi ya watu wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi lililolenga msikiti wa Kishia katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul, wakati wa maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein AS.
-
Iran yalaani hujuma ya kigaidi nchini Pakistan
Nov 13, 2016 12:38Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani shambulio la kigaidi lililotokea jana Jumamosi katika mkoa wa Baluchestan nchini Pakistan, ambapo makumi ya watu waliuawa na wengine wengi kujeruhiwa.
-
Magaidi washambulia msikiti Kabul na kuua makumi usiku wa Tasua
Oct 12, 2016 04:23Kundi moja la kigaidi na kitakfiri nchini Afghanistan limefanya shambulizi la pili dhidi ya Waislamu wa madhebu ya Shia waliokuwa wamekusanyika msikitini wakifanya maombelezo ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS.
-
42 wauawa na kujeruhiwa katika shambulizi la bomu Libya
Aug 02, 2016 23:27Makumi ya watu wameuawa na kujeruhiwa katika shambulizi la bomu la kutegwa garini lililolenga wanajeshi wa serikali katika mji wa Benghazi, mashariki mwa Libya.