Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

shambulizi la kigaidi

  • 11 wauliwa katika kituo cha jeshi cha upekuzi nchini Burkina Faso

    11 wauliwa katika kituo cha jeshi cha upekuzi nchini Burkina Faso

    Dec 16, 2016 12:21

    Wanajeshi kumi na polisi mmoja wameuawa leo kaskazini mwa Burkina Faso baada ya watu wenye silaha wasiofahamika kukishambulia kituo cha upekuzi cha jeshi.

  • Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya eneo la kidini Misri

    Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya eneo la kidini Misri

    Dec 12, 2016 03:52

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani shambulizi la kigaidi lililolenga kanisa moja katika mji mkuu wa Misri, Cairo na kusababisha vifo vya makumi ya watu.

  • Mkuu wa Azhar ya Misri alaani hujuma ya kigaidi dhidi ya kanisa Cairo

    Mkuu wa Azhar ya Misri alaani hujuma ya kigaidi dhidi ya kanisa Cairo

    Dec 11, 2016 23:11

    Mkuu wa Chuo Kikuu cha al Azhar cha Misri amelaani shambulizi la kigaidi dhidi ya kanisa moja mjini Cairo na kuua makumi ya watu hapo jana.

  • Waislamu Nigeria wazidi kushinikizwa na serikali kwa kisingizio cha kuimarishwa usalama

    Waislamu Nigeria wazidi kushinikizwa na serikali kwa kisingizio cha kuimarishwa usalama

    Dec 11, 2016 23:09

    Kufuatia kuongezeka hujuma za kigaidi nchini Nigeria, serikali ya Abuja inatumia kisingizio hicho kuwakadamiza wananchi hasa Waislamu.

  • Makumi wauawa katika mashambulizi ya kigaidi Nigeria

    Makumi wauawa katika mashambulizi ya kigaidi Nigeria

    Dec 10, 2016 00:26

    Makumi ya watu wameuawa katika mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Iran yakosoa utendaji wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na vitendo vya kigaidi

    Iran yakosoa utendaji wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na vitendo vya kigaidi

    Nov 27, 2016 04:09

    Balozi na Naibu Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amekikosoa kimya cha Umoja wa Mataifa kuhusiana na vitendo vya kigaidi na kulitaka Baraza la Usalama la umoja huo kutekeleza majukumu yake ipasavyo kuhusiana na suala zima la ugaidi.

  • Magaidi washambulia msikiti kwa bomu na kuua makumi Kabul, Afghanistan

    Magaidi washambulia msikiti kwa bomu na kuua makumi Kabul, Afghanistan

    Nov 22, 2016 02:51

    Makumi ya watu wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi lililolenga msikiti wa Kishia katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul, wakati wa maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein AS.

  • Iran yalaani hujuma ya kigaidi nchini Pakistan

    Iran yalaani hujuma ya kigaidi nchini Pakistan

    Nov 13, 2016 12:38

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani shambulio la kigaidi lililotokea jana Jumamosi katika mkoa wa Baluchestan nchini Pakistan, ambapo makumi ya watu waliuawa na wengine wengi kujeruhiwa.

  • Magaidi washambulia msikiti Kabul na kuua makumi usiku wa Tasua

    Magaidi washambulia msikiti Kabul na kuua makumi usiku wa Tasua

    Oct 12, 2016 04:23

    Kundi moja la kigaidi na kitakfiri nchini Afghanistan limefanya shambulizi la pili dhidi ya Waislamu wa madhebu ya Shia waliokuwa wamekusanyika msikitini wakifanya maombelezo ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS.

  • 42 wauawa na kujeruhiwa katika shambulizi la bomu Libya

    42 wauawa na kujeruhiwa katika shambulizi la bomu Libya

    Aug 02, 2016 23:27

    Makumi ya watu wameuawa na kujeruhiwa katika shambulizi la bomu la kutegwa garini lililolenga wanajeshi wa serikali katika mji wa Benghazi, mashariki mwa Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS