Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

shambulizi la kigaidi

  • 10 wauawa katika mashambulizi pacha ya mabomu Mogadishu

    10 wauawa katika mashambulizi pacha ya mabomu Mogadishu

    Jul 31, 2016 11:48

    Kwa akali watu 10 wameuawa katika mashambulizi pacha ya mabomu ya kutegwa garini katika makao makuu ya Idara ya Upelelezi mjini Mogadishu nchini Somalia.

  • Magaidi 120 wa Daesh wauawa Afghanistan

    Magaidi 120 wa Daesh wauawa Afghanistan

    Jul 26, 2016 23:30

    Makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wameuawa katika operesheni kali ya jeshi la Afghanistan, katika mkoa wa Nangarhar, kaskzini mwa nchi.

  • 13 wauawa katika mashambulizi pacha ya mabomu Mogadishu, Somalia

    13 wauawa katika mashambulizi pacha ya mabomu Mogadishu, Somalia

    Jul 26, 2016 12:24

    Mashambulizi pacha ya mabomu yamesababisha vifo vya watu zaidi ya 13 karibu na kambi ya Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM na nje ya ofisi za Umoja wa Mataifa katika mji mkuu Mogadishu.

  • Hollande: Tutatumia kila njia kukabiliana na magaidi wa Daesh

    Hollande: Tutatumia kila njia kukabiliana na magaidi wa Daesh

    Jul 26, 2016 12:19

    Rais Francois Hollande wa Ufaransa amesema serikali yake itatafanya kila liwezekanalo ili kukomesha kikamilifu mashambulizi na harakati za kundi la kigaidi na kitakfiri la Desh (ISIS) nchini humo.

  • McKinney: Israel inahusika na mashambulizi ya kigaidi Ulaya

    McKinney: Israel inahusika na mashambulizi ya kigaidi Ulaya

    Jul 25, 2016 12:36

    Mbunge wa zamani katika Kongresi ya Marekani amefichua nafasi ya utawala wa kizayuni wa Israel katika mashambulizi ya kigaidi yanayofanyika barani Ulaya.

  • Shambulizi jingine la bomu Iraq, makumi wauawa

    Shambulizi jingine la bomu Iraq, makumi wauawa

    Jul 25, 2016 03:26

    Kwa akali watu 18 wameuawa na wengine 23 kujeruhiwa katika hujuma nyingine ya kigaidi mashariki mwa Iraq, siku moja baada ya shambulizi jingine la bomu kuua na kujeruhi makumi ya watu katika mji mkuu Baghdad.

  • 30 wauwa na kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi Baghdad, Iraq

    30 wauwa na kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi Baghdad, Iraq

    Jul 24, 2016 03:19

    Kwa akali watu 10 wamethibitishwa kupoteza maisha na makumi ya wengine wamejeruhiwa katika shambulizi la bomu lililotokea mapema leo katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.

  • Zarif: Masunni na Mashia lazima waungane kuzima ugaidi

    Zarif: Masunni na Mashia lazima waungane kuzima ugaidi

    Jul 24, 2016 00:00

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani hujuma ya kigaidi ya hapo jana iliyosababisha vifo vya makumi ya watu nchini Afghanistan na kusisitiza kuwa, wakati umefika kwa Waislamu wa madhehebu ya Shia na Sunni waungane kwa shabaha ya kulikabili kwa pamoja jinamizi la ugaidi.

  • Iran yaalani shambulio la kigaidi Munich, Ujerumani

    Iran yaalani shambulio la kigaidi Munich, Ujerumani

    Jul 23, 2016 02:51

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulio la kigaidi lililotekelezwa katika mji wa Munich, Ujerumani na kutoa mkono wa pole kwa wananchi na serikali ya nchi hiyo.

  • Hizbullah, Hamas zalaani shambulizi la kigaidi Nice

    Hizbullah, Hamas zalaani shambulizi la kigaidi Nice

    Jul 16, 2016 02:18

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) zimelaani shambulizi la kigaidi lililofanyika katika mji wa Nice nchini Ufaransa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS