Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

shambulizi la kigaidi

  • Al-shabaab washambulia kambi ya jeshi na kuua askari 10

    Al-shabaab washambulia kambi ya jeshi na kuua askari 10

    Jul 11, 2016 03:19

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limeshambulia kwa bomu kambi moja ya jeshi kusini magharibi mwa mji mkuu wa Somalia Mogadishu na kuua wanajeshi 10 wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Askari 12 wa Libya wauawa katika hujuma ya bomu Benghazi

    Askari 12 wa Libya wauawa katika hujuma ya bomu Benghazi

    Jul 07, 2016 09:36

    Kwa akali askari 12 wa jeshi la Libya wameuawa katika shambulizi la bomu la kutegwa garini katika mji wa Benghazi, mashariki mwa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • 80 wauawa katika mashambulizi ya mabomu Baghdad, Iraq

    80 wauawa katika mashambulizi ya mabomu Baghdad, Iraq

    Jul 03, 2016 02:52

    Watu wasiopungua 80 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika mashambulizi pacha ya mabomu katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.

  • 18 waua katika shambulizi la bomu nchini Somalia

    18 waua katika shambulizi la bomu nchini Somalia

    Jun 30, 2016 03:46

    Kwa akali watu 18 wameripotiwa kuuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulizi la bomu mapema leo katika mji wa Lafole, kusini magharibi mwa Somalia.

  • Iran yalaani hujuma ya kigaidi Istanbul, Uturuki

    Iran yalaani hujuma ya kigaidi Istanbul, Uturuki

    Jun 29, 2016 23:02

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mashambulizi ya kigaidi dhidi ya uwanja wa ndege mjini Istambul nchini Uturuki, yaliyosababisha vifo vya makumi ya watu na wengine wengi kujeruhiwa.

  • Ban Ki-moon alaani mashambulizi ya kigaidi huko Istanbul Uturuki

    Ban Ki-moon alaani mashambulizi ya kigaidi huko Istanbul Uturuki

    Jun 29, 2016 02:56

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani mashambulizi ya kigaidi yaliyofanywa kwenye uwanja wa ndege wa Istanbul Uturuki.

  • 46 waua na kujeruhiwa katika hujuma dhidi ya msikiti Iraq

    46 waua na kujeruhiwa katika hujuma dhidi ya msikiti Iraq

    Jun 28, 2016 01:58

    Makumi ya watu wameuawa na kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi dhidi ya msikiti mmoja viungani mwa Baghdad, mji mkuu wa Iraq.

  • Shambulio la kigaidi nchini Somalia

    Shambulio la kigaidi nchini Somalia

    Jun 26, 2016 06:20

    Shambulio la kigaidi la wanamgambo wa al-Shabab dhidi ya hoteli moja katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu kwa mara nyingine tena limepelekea zaidi ya watu 40 kuuawa na kujeruhiwa.

  • Iran yatibua shambulizi la kigaidi dhidi ya Tehran

    Iran yatibua shambulizi la kigaidi dhidi ya Tehran

    Jun 20, 2016 02:34

    Vyombo vya usalama nchini Iran vimetibua njama ya kutekelezwa shambulizi la kigaidi hapa mjini Tehran na kuwatia mbaroni watuhumiwa kadhaa wa njama hizo za kigaidi.

  • 5 wahukumiwa maisha jela Uganda kwa mashambulizi ya kigaidi Kampala

    5 wahukumiwa maisha jela Uganda kwa mashambulizi ya kigaidi Kampala

    May 28, 2016 03:21

    Mahakama Kuu ya Uganda imewahukumu kifungo cha miaka mitano jela, watu watano miongoni mwa wanane waliopatikana na hatia ya kuhusika katika mashambulizi pacha mjini Kampala, wakati wa fainali za Kombe la Dunia mwaka 2010.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS