Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

shambulizi la kigaidi

  • Matukio ya hivi karibuni ya Syria kufuatia kuzidi kupata pigo magaidi

    Matukio ya hivi karibuni ya Syria kufuatia kuzidi kupata pigo magaidi

    May 24, 2016 01:28

    Waziri wa Habari wa Syria amesema kuwa, miripuko ya siku za hivi karibuni ikiwemo ile iliyotokea jana magharibi mwa nchi hiyo ni ishara ya wazi kuwa magaidi wameshindwa katika medani za mapambano.

  • Iran yalaani wimbi la mashambulizi ya kigaidi ya Daesh Iraq

    Iran yalaani wimbi la mashambulizi ya kigaidi ya Daesh Iraq

    May 18, 2016 23:27

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani wimbi la mashambulizi ya kigaidi katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad, ambalo limesababisha vifo vya mamia ya watu tokeo Jumatano ya wiki iliyopita.

  • Watu 58 wauawa katika mashambulizi ya bomu Baghdad, Iraq

    Watu 58 wauawa katika mashambulizi ya bomu Baghdad, Iraq

    May 17, 2016 09:23

    Kwa akali watu 58 wameuawa na wengine zaidi ya 90 wamejeruhiwa katika mashambulizi matatu ya bomu yaliyoutikisa mji mkuu wa Iraq, Baghdad hii leo.

  • Trump: Wakimbizi wa Syria wanapanga shambulizi kama la Septemba 11

    Trump: Wakimbizi wa Syria wanapanga shambulizi kama la Septemba 11

    May 16, 2016 02:24

    Donald Trump, mgombea wa kiti cha urais wa chama cha Republican nchini Marekani kwa mara nyingine tena ametoa matamshi yanayodhihirisha misimamo yake ya chuki na ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na wageni. Trump amedai kuwa wakimbizi wa Syria nchini Marekani wanapanga njama ya kufanya shambulizi la kigaidi kama la Septemba 11.

  • Shambulizi la bomu la Daesh laua askari 17 nchini Iraq

    Shambulizi la bomu la Daesh laua askari 17 nchini Iraq

    May 13, 2016 03:19

    Kwa akali askari 17 wa jeshi la Iraq wameuawa katika shambulizi la bomu lililofanywa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika mkoa wa Anbar, magharibi mwa nchi hiyo.

  • Hujuma ya Daesh nchini Libya yaua watu watano

    Hujuma ya Daesh nchini Libya yaua watu watano

    May 06, 2016 09:33

    Watu watano wameuawa katika shambulizi la bomu la kutegwa garini la kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika mji wa Misrata, magharibi mwa Libya.

  • Magaidi waendeleza ukatili Syria, makumi wauawa Aleppo

    Magaidi waendeleza ukatili Syria, makumi wauawa Aleppo

    May 03, 2016 12:00

    Makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono na nchi za kigeni yameshambulia hospitali na maeneo kadhaa ambayo yako chini ya udhibiti wa serikali katika mji wa Aleppo, kaskazini mwa Syria na kusababisha mauaji ya watu wasiopungua 19.

  • Umoja wa Mataifa: 741 waliuawa mwezi Aprili nchini Iraq

    Umoja wa Mataifa: 741 waliuawa mwezi Aprili nchini Iraq

    May 01, 2016 23:33

    Takwimu za hivi punde za Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa idadi ya watu waliouawa katika machafuko na wimbi la mashambulizi ya kigaidi nchini Iraq mwezi uliopita wa Aprili ni watu 741.

  • Makumi waua katika mashambulizi ya bomu Iraq

    Makumi waua katika mashambulizi ya bomu Iraq

    May 01, 2016 09:59

    Kwa akali watu 38 wameuawa na wengine 86 kujeruhiwa katika mashambulizi pacha ya mabomu ya kutegwa kwenye magari katika mji wa Samawa, kusini mwa Iraq.

  • Askari 15 wa Somalia wauawa katika hujuma ya al-Shabaab

    Askari 15 wa Somalia wauawa katika hujuma ya al-Shabaab

    May 01, 2016 09:39

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limeua askari 15 wa jeshi la Somalia sanjari na kuchukua udhibiti wa mji wa Runirgood, yapata kilomita 180 kaskazini mashariki mwa mji mkuu Mogadishu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS