-
Matukio ya hivi karibuni ya Syria kufuatia kuzidi kupata pigo magaidi
May 24, 2016 01:28Waziri wa Habari wa Syria amesema kuwa, miripuko ya siku za hivi karibuni ikiwemo ile iliyotokea jana magharibi mwa nchi hiyo ni ishara ya wazi kuwa magaidi wameshindwa katika medani za mapambano.
-
Iran yalaani wimbi la mashambulizi ya kigaidi ya Daesh Iraq
May 18, 2016 23:27Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani wimbi la mashambulizi ya kigaidi katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad, ambalo limesababisha vifo vya mamia ya watu tokeo Jumatano ya wiki iliyopita.
-
Watu 58 wauawa katika mashambulizi ya bomu Baghdad, Iraq
May 17, 2016 09:23Kwa akali watu 58 wameuawa na wengine zaidi ya 90 wamejeruhiwa katika mashambulizi matatu ya bomu yaliyoutikisa mji mkuu wa Iraq, Baghdad hii leo.
-
Trump: Wakimbizi wa Syria wanapanga shambulizi kama la Septemba 11
May 16, 2016 02:24Donald Trump, mgombea wa kiti cha urais wa chama cha Republican nchini Marekani kwa mara nyingine tena ametoa matamshi yanayodhihirisha misimamo yake ya chuki na ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na wageni. Trump amedai kuwa wakimbizi wa Syria nchini Marekani wanapanga njama ya kufanya shambulizi la kigaidi kama la Septemba 11.
-
Shambulizi la bomu la Daesh laua askari 17 nchini Iraq
May 13, 2016 03:19Kwa akali askari 17 wa jeshi la Iraq wameuawa katika shambulizi la bomu lililofanywa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika mkoa wa Anbar, magharibi mwa nchi hiyo.
-
Hujuma ya Daesh nchini Libya yaua watu watano
May 06, 2016 09:33Watu watano wameuawa katika shambulizi la bomu la kutegwa garini la kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika mji wa Misrata, magharibi mwa Libya.
-
Magaidi waendeleza ukatili Syria, makumi wauawa Aleppo
May 03, 2016 12:00Makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono na nchi za kigeni yameshambulia hospitali na maeneo kadhaa ambayo yako chini ya udhibiti wa serikali katika mji wa Aleppo, kaskazini mwa Syria na kusababisha mauaji ya watu wasiopungua 19.
-
Umoja wa Mataifa: 741 waliuawa mwezi Aprili nchini Iraq
May 01, 2016 23:33Takwimu za hivi punde za Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa idadi ya watu waliouawa katika machafuko na wimbi la mashambulizi ya kigaidi nchini Iraq mwezi uliopita wa Aprili ni watu 741.
-
Makumi waua katika mashambulizi ya bomu Iraq
May 01, 2016 09:59Kwa akali watu 38 wameuawa na wengine 86 kujeruhiwa katika mashambulizi pacha ya mabomu ya kutegwa kwenye magari katika mji wa Samawa, kusini mwa Iraq.
-
Askari 15 wa Somalia wauawa katika hujuma ya al-Shabaab
May 01, 2016 09:39Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limeua askari 15 wa jeshi la Somalia sanjari na kuchukua udhibiti wa mji wa Runirgood, yapata kilomita 180 kaskazini mashariki mwa mji mkuu Mogadishu.