Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

shambulizi la kigaidi

  • Watu 12 wauawa katika  hujuma za kigaidi mjini Baghdad, Iraq

    Watu 12 wauawa katika hujuma za kigaidi mjini Baghdad, Iraq

    Apr 24, 2016 00:02

    Kwa akali watu 12 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa katika mashambulizi mawili ya bomu katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.

  • Makumi wauawa katika shambulizi la bomu Kabul, Afghanistan

    Makumi wauawa katika shambulizi la bomu Kabul, Afghanistan

    Apr 19, 2016 03:26

    Makumi ya watu wameuawa na mamia ya wengine kujeruhiwa katika mripuko wa bomu ulioutikisa mji wa Kabul karibu na ubalozi wa Marekani nchini Afghanistan mapema leo.

  • Ghana yazidisha ulinzi, magaidi watishia kuishambulia

    Ghana yazidisha ulinzi, magaidi watishia kuishambulia

    Apr 16, 2016 23:55

    Rais John Dramani Mahama wa Ghana ameamuru kuchukuliwa hatua kali za kiusalama baada ya kuongezeka wimbi la mashambulizi ya kigaidi katika nchi za magharibi mwa Afrika.

  • Larijani: Ukosefu wa usalama katika Ulimwengu wa Kiislamu ni kwa maslahi ya Israel

    Larijani: Ukosefu wa usalama katika Ulimwengu wa Kiislamu ni kwa maslahi ya Israel

    Mar 29, 2016 23:39

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesema ukosefu wa usalama na wimbi la mashambulio ya kigaidi katika Ulimwengu wa Kiislamu vinafanywa na wale wanaotumikia maslahi ya utawala wa kizayuni wa Israel.

  • Wanachama 400 wa Daesh wameingia Ulaya kutekeleza mashambulizi ya kigaidi

    Wanachama 400 wa Daesh wameingia Ulaya kutekeleza mashambulizi ya kigaidi

    Mar 24, 2016 03:57

    Kundi la kigaidi la Daesh limetuma wanachama 400 katika nchi za Ulaya kwa ajili ya kufanya mashambulizi ya kigaidi.

  • Wanachama 400 wa Daesh wameingia Ulaya kutekeleza mashambulizi ya kigaidi

    Wanachama 400 wa Daesh wameingia Ulaya kutekeleza mashambulizi ya kigaidi

    Mar 24, 2016 03:35

    Kundi la kigaidi la Daesh limetuma wanachama 400 katika nchi za Ulaya kwa ajili ya kufanya mashambulizi ya kigaidi.

  • Mashambulizi ya kigaidi ya Brussels

    Mashambulizi ya kigaidi ya Brussels

    Mar 23, 2016 03:37

    Mashambulizi yaliyotokea jana katika mji mkuu wa Ubelgiji, Brussels yameendelea kuakisiwa na kulaaniwa sana katika vyombo vya habari na duru za kimataifa.

  • Iran yalaani mashambulizi ya kigaidi ya Brussels

    Iran yalaani mashambulizi ya kigaidi ya Brussels

    Mar 23, 2016 02:51

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea jana katika mji mkuu wa Ubelgiji, Brussels na kusababisha vifo vya makumi ya watu.

  • Zarif alaani mashambulizi ya kigaidi ya Ubelgiji

    Zarif alaani mashambulizi ya kigaidi ya Ubelgiji

    Mar 22, 2016 21:52

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzo kwa simu na mwenzake wa Ubelgiji akilaani vikali mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea jana katika mji mkuu wa nchi hiyo, Brussels.

  • Shambulizi dhidi ya msikiti Nigeria laendelea kulaaniwa

    Shambulizi dhidi ya msikiti Nigeria laendelea kulaaniwa

    Mar 18, 2016 11:12

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali shambulizi la kigaidi lililolenga msikiti nchini Nigeria na kuua watu 25.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS