Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

shambulizi la kigaidi

  • Askari polisi 9 wauawa katika shambulizi la kigaidi nchini Tunisia

    Askari polisi 9 wauawa katika shambulizi la kigaidi nchini Tunisia

    Jul 08, 2018 13:32

    Maafisa tisa wa polisi wameuawa katika shambulizi la kigaidi lililotokea magharibi mwa Tunisia, karibu na mpaka wa nchi hiyo na Algeria.

  • UN yalaani mashambulizi ya Boko Haram yaliyowalenga Waislamu nchini Nigeria

    UN yalaani mashambulizi ya Boko Haram yaliyowalenga Waislamu nchini Nigeria

    Jun 19, 2018 03:53

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani mashambulizi ya genge la kigaidi la Boko Haram yaliyowalenga Waislamu waliokuwa wakisherehekea sikukuu ya Idul Fitr kaskazini mashariki mwa Nigeria

  • Waislamu 31 waliokuwa wanasherehekea Idi wauliwa na Boko Haram nchini Nigeria

    Waislamu 31 waliokuwa wanasherehekea Idi wauliwa na Boko Haram nchini Nigeria

    Jun 17, 2018 15:15

    Watu wasiopungua 31 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika miripuko ya mabomu iliyotokea usiku wa kuamkia leo kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Watu wawili wauawa kwa kudungwa visu msikitini nchini Afrika Kusini

    Watu wawili wauawa kwa kudungwa visu msikitini nchini Afrika Kusini

    Jun 14, 2018 08:12

    Kwa akali watu wawili wamethibitishwa kuuawa kwa kudungwa visu wakiwa msikitini, baada ya mtu mmoja kuvamia eneo hilo la ibada nchini Afrika Kusini.

  • Magaidi wafanya mauaji mengine ya kinyama nchini Msumbiji

    Magaidi wafanya mauaji mengine ya kinyama nchini Msumbiji

    Jun 06, 2018 07:27

    Kundi la kigaidi linaloaminika kuwa na mfungamano na al-Shabaab ya Somalia limevamia kijiji kimoja katika mkoa wa Cabo Delgado kaskazini mwa Msumbiji na kuua watu saba kwa kuwakata vichwa.

  • Watu 7 wauawa katika shambulizi la kigaidi karibu na msikiti Nigeria

    Watu 7 wauawa katika shambulizi la kigaidi karibu na msikiti Nigeria

    May 28, 2018 14:41

    Kwa akali watu saba wameuawa katika shambulizi la kigaidi lililotokea karibu na msikiti mmoja kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • 50 wauawa na kujeruhiwa katika wimbi la hujuma dhidi ya makanisa Indonesia

    50 wauawa na kujeruhiwa katika wimbi la hujuma dhidi ya makanisa Indonesia

    May 13, 2018 07:38

    Mashambulizi matatu ya kigaidi dhidi ya makanisa yamepelekea watu wasiopungua 10 kuuawa na wengine zaidi ya 50 kujeruhiwa nchini Indonesia.

  • Shambulizi dhidi ya makao makuu ya Tume ya Uchaguzi Libya laua 14 + Video

    Shambulizi dhidi ya makao makuu ya Tume ya Uchaguzi Libya laua 14 + Video

    May 02, 2018 14:58

    Kwa akali watu 14 wameuawa baada ya kundi la kigaidi kushambulia kwa mabomu na risasi makao makuu ya Tume ya Uchaguzi nchini Libya leo Jumatano.

  • Mashambulizi pacha ya mabomu yaua kadhaa msikitini Nigeria

    Mashambulizi pacha ya mabomu yaua kadhaa msikitini Nigeria

    Apr 22, 2018 14:01

    Mashambulizi pacha ya mabomu yameua waumini watatu wa Kiislamu msikitini katika mji wa Bama jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Iran yaalani shambulio la kigaidi Kabul

    Iran yaalani shambulio la kigaidi Kabul

    Apr 22, 2018 13:52

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulio la kigaidi lililotekelezwa leo huko Kabul mji mkuu wa Afghanistan na kulitaja kuwa ni kitendo cha jinai na kisicho cha kibinadamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS