-
Iran: Tunatumai mazungumzo na Nigeria yatapelekea kuachiwa Zakzaky
Dec 08, 2019 12:07Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema ina wingi wa matumaini kuwa mazungumzo kati ya Tehran na Abuja yatakuwa chachu ya kuanza safari ya kuachiwa huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky.
-
Mkuu wa Harakati ya Kiislamu Nigeria kupelekwa jela kuu ya Kaduna
Dec 06, 2019 07:32Mahakama Kuu ya jimbo la Kaduna nchini Nigeria imekubali ombi la gavana wa jimbo hilo la kupelekwa Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky na mkewe katika jela kuu ya jimbo hilo.
-
Sisitizo la Harakati ya Kiislamu ya Nigeria kuhusu kukabiliana na vitisho vya serikali
Nov 26, 2019 04:14Waislamu wa Nigeria, hasa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo, wako chini ya mashinikizo makali kutoka kwa vikosi vya kijeshi katika hali ambayo katiba ya nchi hiyo imebainisha wazi kuhusu uhuru wa kuabudu kwa raia wake.
-
Waislamu Nigeria wakanusha madai ya polisi kumhusu Zakzaky
Nov 18, 2019 11:48Wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria wamekanusha vikali madai ya Idara ya Kiitelejensia ya Nigeria kuwa polisi ya nchi hiyo inamzuilia mwanaharakati huyo wa Kiislamu kutokana na ombi na uamuzi wake mwenyewe.
-
Polisi ya Nigeria yaanzisha wimbi jipya la ukandamizaji dhidi ya wafuasi wa Sheikh Zakzaky sambamba na kuwadia Muharram
Sep 01, 2019 07:52Sambamba na kuwadia mwezi wa Muharram, jeshi la polisi nchini Nigeria limetoa amri ya kushadidishwa ukandamizaji dhidi ya wafuasi na waungaji mkono wa kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo, Sheikh Ibrahim Zakzaky.
-
Njama mpya za serikali ya Nigeria dhidi ya Sheikh Zakzaky
Aug 29, 2019 12:18Serikali ya Nigeria imeanzisha njama mpya dhidi ya Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky na kudai kwamba eti anapanga njama za mapinduzi.
-
Duru za habari: Sheikh Zakzaky huenda akazuiwa kutoka nje ya nchi
Aug 18, 2019 07:32Duru za ndani ya Nigeria zimeripoti kuwa, serikali ya nchi hiyo huenda ikamzuia kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN), Sheikh Ibrahim Zakzaky kwenda nje ya nchi hiyo.
-
IMN: Sheikh Ibrahim Zakzaky amepelekwa mahala kusikojulikana
Aug 18, 2019 02:22Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imetangaza kuwa, kiongozi wa harakati hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky amepelekwa mahala kusikojulikana mara baada ya kuwasili Abuja akitokea nchini India.
-
IMN: Serikali ya Nigeria inataka kumuua Sheikh Ibrahim Zakzaky
Aug 17, 2019 13:52Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imeashiria ukwamishaji matibabu uliofanywa na viongozi wa serikali ya Nigeria dhidi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky alipokuwa nchini India na kueleza kwamba, hatua hizo zimeibua dhana kwamba, serikali ya Abuja inafanya njama za kumuua mwanaharakati huyo.
-
Njama ya serikali ya Nigeria; safari ya kitiba ya Sheikh Zakzaky yakatizwa
Aug 17, 2019 11:11Katika hali ambayo Waislamu wa Nigeria walikuwa na matumaini makubwa ya kutibiwa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakayi ya Kiislamu ya Nigeria huko India, serikali ya Niigeria imetoa mashinikizo na kumlazimu sheikh huyo na mkewe kurea mjini Abuja.