-
AU yataka pande hasimu Sudan zisitishe mapigano
Dec 19, 2023 23:34Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika ametoa mwito kwa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) na Jeshi la Sudan kusitisha uhasama na mapigano mara moja, na kwenda kwenye meza ya mazungumzo kwa shabaha ya kurejesha utulivu, uthabiti na amani endelevu katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
AU: Juhudi za pamoja zinahitajika kudumisha amani Tigray
Nov 03, 2023 08:57Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesisitizia haja ya kuwepo jitihada za pamoja kwa ajili ya kudumisha amani katika eneo la Tigray la kaskazini mwa Ethiopia na eneo zima la Pembe ya Afrika.
-
Umoja wa Afrika walaani shambulizi la kikatili la Israel dhidi ya hospitali Gaza
Oct 18, 2023 08:55Umoja wa Afrika umelaani vikali shambulio la anga lililofanywa na jeshi la utawala haramu wa Israel dhidi ya hospitali ya Al Ahli Arab katika Ukanda wa Gaza hapo jana na kuua mamia ya watu.
-
AU kundoa askari wengine 3,000 kutoka Somalia
Aug 30, 2023 04:35Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (ATMIS) kimesema kitawaondoa wanajeshi wengine 3,000 katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Umoja wa Afrika (AU) waisimamishia uanachama Niger
Aug 22, 2023 23:09Umoja wa Afrika (AU) umesimamisha uanachama wa Niger katika taasisi hiyo kubwa zaidi ya kibara; huo ukiwa ni muendelezo wa vikwazo na mashinikizo dhidi ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi kufuatia mapinduzi ya kijeshi ya mwezi uliopita.
-
AU yaonya: Afrika isigeuzwa uwanja wa kutunishiana misuli madola makubwa
May 26, 2023 06:24Viongozi wa Umoja wa Afrika (AU) wameyaonya madola makubwa duniani hasa ya Magharibi dhidi ya kuligeuza bara la Afrika kuwa medani ya malumbano na kutununishiana misuli, wakati huu ambapo baadhi ya nchi za bara hilo zinakabiliwa na changamoto za kiusalama.
-
Alkhamisi tarehe 25 Mei 2023
May 24, 2023 21:55Leo ni Alkhamisi tarehe 5 Dhilqaada 1444 Hijria sawa na tarehe 25 Mei mwaka 2023.
-
AU: Tunaridhishwa na mafanikio ya SNA katika vita dhidi ya al-Shabaab
Jan 19, 2023 06:49Umoja wa Afrika umesema kwamba umetiwa matumaini na stratejia inayotumia na Jeshi la Taifa la Somalia (SNA) katika operesheni zake za kulisambaratisha kundi la kigaidi la al-Shabaab, haswa kwa kutilia maanani mafanikio makubwa liliyoyapata katika kipindi cha wiki moja iliyopita.
-
Comoro yatazamiwa kuchukua uenyekiti wa Umoja wa Afrika
Dec 22, 2022 23:42Rais Azali Assoumani wa Comoro anatazamiwa kuwa mwenyekiti mpya wa Umoja wa Afrika mwaka ujao 2022, baada ya Rais William Ruto wa Kenya kujiondoa kwenye kinyang'anyiro cha kuwania nafasi hiyo.
-
Ethiopia yakubali mwito wa AU wa kufanya mazungumzo na TPLF
Oct 05, 2022 23:40Serikali ya Ethiopia kwa mara nyingine tena imesema imeafiki mwito wa Umoja wa Afrika (AU) wa kufanya mazungumzo ya amani na waasi wa Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray (TPLF).