Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Shirika la Umoja wa Afrika

  • Umoja wa Afrika walaani shambulizi la kikatili la Israel dhidi ya hospitali Gaza

    Umoja wa Afrika walaani shambulizi la kikatili la Israel dhidi ya hospitali Gaza

    Oct 18, 2023 12:25

    Umoja wa Afrika umelaani vikali shambulio la anga lililofanywa na jeshi la utawala haramu wa Israel dhidi ya hospitali ya Al Ahli Arab katika Ukanda wa Gaza hapo jana na kuua mamia ya watu.

  • AU kundoa askari wengine 3,000 kutoka Somalia

    AU kundoa askari wengine 3,000 kutoka Somalia

    Aug 30, 2023 08:05

    Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (ATMIS) kimesema kitawaondoa wanajeshi wengine 3,000 katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Umoja wa Afrika (AU) waisimamishia uanachama Niger

    Umoja wa Afrika (AU) waisimamishia uanachama Niger

    Aug 23, 2023 02:39

    Umoja wa Afrika (AU) umesimamisha uanachama wa Niger katika taasisi hiyo kubwa zaidi ya kibara; huo ukiwa ni muendelezo wa vikwazo na mashinikizo dhidi ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi kufuatia mapinduzi ya kijeshi ya mwezi uliopita.

  • AU yaonya: Afrika isigeuzwa uwanja wa kutunishiana misuli madola makubwa

    AU yaonya: Afrika isigeuzwa uwanja wa kutunishiana misuli madola makubwa

    May 26, 2023 09:54

    Viongozi wa Umoja wa Afrika (AU) wameyaonya madola makubwa duniani hasa ya Magharibi dhidi ya kuligeuza bara la Afrika kuwa medani ya malumbano na kutununishiana misuli, wakati huu ambapo baadhi ya nchi za bara hilo zinakabiliwa na changamoto za kiusalama.

  • Alkhamisi tarehe 25 Mei 2023

    Alkhamisi tarehe 25 Mei 2023

    May 25, 2023 01:25

    Leo ni Alkhamisi tarehe 5 Dhilqaada 1444 Hijria sawa na tarehe 25 Mei mwaka 2023.

  • AU: Tunaridhishwa na mafanikio ya SNA katika vita dhidi ya al-Shabaab

    AU: Tunaridhishwa na mafanikio ya SNA katika vita dhidi ya al-Shabaab

    Jan 19, 2023 10:19

    Umoja wa Afrika umesema kwamba umetiwa matumaini na stratejia inayotumia na Jeshi la Taifa la Somalia (SNA) katika operesheni zake za kulisambaratisha kundi la kigaidi la al-Shabaab, haswa kwa kutilia maanani mafanikio makubwa liliyoyapata katika kipindi cha wiki moja iliyopita.

  • Comoro yatazamiwa kuchukua uenyekiti wa Umoja wa Afrika

    Comoro yatazamiwa kuchukua uenyekiti wa Umoja wa Afrika

    Dec 23, 2022 03:12

    Rais Azali Assoumani wa Comoro anatazamiwa kuwa mwenyekiti mpya wa Umoja wa Afrika mwaka ujao 2022, baada ya Rais William Ruto wa Kenya kujiondoa kwenye kinyang'anyiro cha kuwania nafasi hiyo.

  • Ethiopia yakubali mwito wa AU wa kufanya mazungumzo na TPLF

    Ethiopia yakubali mwito wa AU wa kufanya mazungumzo na TPLF

    Oct 06, 2022 03:10

    Serikali ya Ethiopia kwa mara nyingine tena imesema imeafiki mwito wa Umoja wa Afrika (AU) wa kufanya mazungumzo ya amani na waasi wa Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray (TPLF).

  • AU yalaani mapinduzi ya kijeshi Burkina Faso, Ufaransa yatuhumiwa kuhusika

    AU yalaani mapinduzi ya kijeshi Burkina Faso, Ufaransa yatuhumiwa kuhusika

    Oct 02, 2022 08:02

    Umoja wa Afrika (AU) umelaani hatua ya 'wanajeshi waasi' kutwaa mamlaka ya nchi kinyume cha katiba huko Burkina Faso, katika hali ambayo nchi hiyo ilikuwa katika mkondo wa kurejesha utawala wa kiraia.

  • Hofu ya AU, IGAD kuhusu mapigano mapya Tigray, Ethiopia

    Hofu ya AU, IGAD kuhusu mapigano mapya Tigray, Ethiopia

    Aug 25, 2022 12:03

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesema ametiwa wasiwasi na ripoti za kuibuka makabiliano mapya ya kijeshi nchini Ethiopia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS