Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

silaha za kemikali

  • Russia yajibu madai ya Biden ya matumizi ya silaha za kibaolojia nchini Ukraine

    Russia yajibu madai ya Biden ya matumizi ya silaha za kibaolojia nchini Ukraine

    Mar 22, 2022 12:54

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergei Ryabkov amesema Jumanne leo kwamba matamshi yaliyotolewa na Rais wa Marekani, Joe Biden kuhusu uwezekano wa Russia kutumia silaha za kemikali na za kibaolojia huko Ukraine ni ya kihabithi.

  • Baraza la Usalama la UN leo linajadili faili la silaha za kibaolojia nchini Ukraine

    Baraza la Usalama la UN leo linajadili faili la silaha za kibaolojia nchini Ukraine

    Mar 11, 2022 11:49

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litafanya kikao cha dharura leo kwa ombi la Russia kujadili faili la silaha za kibaolojia nchini Ukraine. Ni baada ya Moscow kuzishutumu Kyiv na Washington kwamba zimekuwa zikitengeneza silaha za kibaolojia za kueneza magonjwa hatari kwa kutumia wanyama, jambo ambalo Marekani na Ukraine zimelikanusha.

  • Jumapili, Januari 30, 2022

    Jumapili, Januari 30, 2022

    Jan 30, 2022 02:36

    Leo ni Jumapili tarehe 27 Mfunguo Tisa Jamadithani 1443 Hijria sawa na tarehe 30 Januari 2022 Miladia.

  • Ershadi: Iran ni mhanga mkubwa wa silaha za kemikali duniani

    Ershadi: Iran ni mhanga mkubwa wa silaha za kemikali duniani

    Sep 03, 2021 06:35

    Naibu mwakilishi wa kudumu wa Iran katika umoja wa Mataifa amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama mhanga mkubwa wa silaha za kemikali inatoa wito wa kutekelezwa kikamilifu, kwa njia athirifu na bila ya ubaguzi mkataba wa kuzuia silaha za kemikali.

  • Alkhamisi tarehe 26 Agosti 2021

    Alkhamisi tarehe 26 Agosti 2021

    Aug 26, 2021 03:44

    Leo ni Alhamisi tarehe 17 Muharram 1443 Hijria inayosaifiana na tarehe 26 Agosti 2021.

  • Tuhuma za matumizi ya silaha za kemikali dhidi ya Syria; mbinu yenye lengo la kudhoofisha mamlaka ya kujitawala Damascus

    Tuhuma za matumizi ya silaha za kemikali dhidi ya Syria; mbinu yenye lengo la kudhoofisha mamlaka ya kujitawala Damascus

    Apr 18, 2021 02:28

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imepinga ripoti iliyopewa jina la " Timu ya Uchunguzi na Utambuzi" iliyotolewa na Taasisi ya Kuzuia Silaha za Kemikali (OPCW) kuhusu tukio la Saraqib na kuitaja ripoti hiyo kuwa ni ya upotoshaji na ya uongo.

  • Zarif alaani nchi za Magharibi zilizompa Saddam silaha za sumu

    Zarif alaani nchi za Magharibi zilizompa Saddam silaha za sumu

    Mar 16, 2021 07:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amezilaani nchi za Magharibi ambazo zilimpa dikteta wa zamani wa Iraq Saddam Hussein silaha za sumu. Amesema nchi hizo hazijali kukumbuka mauaji ya umati ya watu wa Iraq ambao waliuawa kwa silaha hizo za maangamizi ya umati.

  • Jumanne, tarehe 25 Agosti, mwaka 2020

    Jumanne, tarehe 25 Agosti, mwaka 2020

    Aug 25, 2020 03:20

    Leo ni Jumanne tarehe 5 Muharram 1442 Hijria sawa na Agosti 25 mwaka 2020.

  • Jumatatu 26 Agosti mwaka 2019

    Jumatatu 26 Agosti mwaka 2019

    Aug 26, 2019 01:38

    Leo ni Jumatatu tarehe 24 Dhulhija 1440 Hijria sawa na Agosti 26 mwaka 2019

  • Jumatano, tarehe 17 Aprili, 2019

    Jumatano, tarehe 17 Aprili, 2019

    Apr 17, 2019 11:10

    Leo ni Jumatano tarehe 11 Sha'aban 1440, Hijiria, sawa na tarehe 17 Aprili 2019 Miladia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS