-
Jumanne, tarehe 25 Agosti, mwaka 2020
Aug 25, 2020 03:20Leo ni Jumanne tarehe 5 Muharram 1442 Hijria sawa na Agosti 25 mwaka 2020.
-
Jumatatu 26 Agosti mwaka 2019
Aug 26, 2019 01:38Leo ni Jumatatu tarehe 24 Dhulhija 1440 Hijria sawa na Agosti 26 mwaka 2019
-
Jumatano, tarehe 17 Aprili, 2019
Apr 17, 2019 11:10Leo ni Jumatano tarehe 11 Sha'aban 1440, Hijiria, sawa na tarehe 17 Aprili 2019 Miladia.
-
Russia yaikabidhi UN ushahidi kuwa Wamagharibi wanafanya njama za kuishambulia tena Syria
Sep 01, 2018 07:29Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa nchi yake imeukabidhi Umoja wa Mataifa ushahidi unaothibitisha kuwa nchi za Magharibi zinafanya njama za kuishambulia tena Syria kwa madai ya uongo ya matumizi ya silaha za kemikali hata kabla ya kutumika silaha hizo.
-
Jumapili 26 Agosti
Aug 26, 2018 02:25Leo ni Jumapili tarehe 14 Dhul-Hijjah 1439 Hijria, sawa na tarehe 26 Agosti, 2018 Miladia.
-
Syria yalaani ripoti ya Wamagharibi kuhusu silaha za kemikali
Aug 24, 2018 08:03Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imelaani vikali taarifa ya pamoja ya Marekani, Ufaransa na Uingereza kuhusiana na tuhuma bandia dhidi ya Damascus kwamba, imetumia silaha za kemikali.
-
Sergey Lavrov: Marekani haitaki kutokomeza silaha zake za kemikali
Aug 13, 2018 08:08Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov amesema kuwa Marekani inapinga kuangamiza silaha zake za kemikali.
-
Alkhamisi 02 Agosti 2018
Aug 02, 2018 02:27Leo ni Alkhamisi tarehe 19 Dhulqaada 1439 Hijria sawa na Agosti Pili 2018.
-
OPCW: Hakuna ushahidi wa kutekelezwa shambulizi la kemikali Douma, Syria
Jul 07, 2018 07:26Uchunguzi wa Shirika la Kuzuia Silaha za Kemikali (OPCW) umebainisha kwamba hakuna shambulizi lolote la silaha za kemikali lililofanyika katika mji wa Douma, ulioko katika viunga ya mji mkuu wa Syria, Damascus.
-
Brigedia Jenerali Hatami: Israel ni tishio kwa usalama wa kimataifa
Jun 30, 2018 04:09Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzia shambulio la silaha za kemikali lililofanywa miaka kadhaa iliyopita na utawala wa Saddam Hussein dhidi ya mji wa Sardashti kaskazini magharibi mwa Iran na kusisitiza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel ni tishio kwa usalama wa kimataifa kutokana na kumiliki kwake silaha zilizopigwa marufuku.