-
Mogadishu yatahadharisha kuhusu kuingiliwa masuala ya ndani ya Somalia
Jul 07, 2019 03:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Somalia ametahadharisha kuhusu uingiliaji wa baadhi ya nchi katika masuala ya ndani ya nchi hiyo na kukitaja kitendo hicho kuwa ni kukiuka mamlaka ya kujitawala nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Somalia yakata uhusiano na Guinea, yaituhumu Conakry kuingilia masuala yake ya ndani
Jul 05, 2019 10:44Serikali ya Somalia imekata uhusiano wake wote wa kidiplomasia na Guinea Conakry na kuituhumu nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika kuwa inaingilia masuala yake ya ndani.
-
Al-Shabaab yawachinja 'majasusi' 5, akiwemo ajenti wa CIA
Jul 04, 2019 09:07Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab lenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda limewaua kwa kuwakata vichwa watu watano wanaoshukiwa kuwa majasusi, kusini mwa Somalia.
-
Jumatatu tarehe Mosi Julai 2019
Jun 30, 2019 21:02Leo ni Jumatatu tarehe 27 Shawwal 1440 Hijria sawa na tarehe Mosi Julai 2019.
-
Mjumbe mpya wa UN Somalia apongeza vikosi vya AMISOM
Jun 26, 2019 21:53Mjumbe mpya wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia James Swan amepongeza mchango uliotolewa na vikosi vya Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) kutokana na juhudi zinazoendelea kuituliza Somalia.
-
Al-Shabaab: Tumehusika na mashambulizi ya Kenya na Somalia yaliyoua 16
Jun 15, 2019 22:52Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limetangaza kuwa limehusika na miripuko ya mabomu iliyoua watu 16 hapo jana Jumamosi katika nchi za Kenya na Somalia.
-
Magaidi wa al-Shabaab wateka mji muhimu katika eneo la Puntland, Somalia
Jun 10, 2019 03:40Kundi la kigaidi na ukufurishaji la al-Shabaab la Somalia limeteka mji mdogo lakini wa kistratajia ulioko kaskazini mashariki mwa eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland.
-
Askari wa AMISOM Somalia wagawa chakula siku kuu ya Idul Fitr
Jun 05, 2019 22:05Kikosi cha kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM kimesema askari wake wameimarisha shughuli za kibinadamu zinazolenga kuboresha maisha ya Wasomali.
-
Mvua na mafuriko yaua watu 9 Puntland, Somalia
Jun 03, 2019 06:02Kwa akali watu tisa wamefariki dunia kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia.
-
Magaidi wa Al Shabab wahujumu kituo cha jeshi la Somalia
May 27, 2019 22:42Kundi la kigaidi la Al Shabab limeshambulia kituo cha jeshi la Somalia katika eneo la kusini mwa nchi hiyo ambapo watu kadhaa wamejeruhiwa.