-
AU kuanzisha tena juhudi za usuluhishi kati ya serikali ya Sudan na waasi wa eneo la Darfur
Dec 20, 2017 23:13Umoja wa Afrika utaanzisha tena usuluhishi kwa njia ya mazungumzo kati ya serikali ya Sudan na waasi wa Darfur baada ya mazungumzo hayo kusimama kwa muda wa miezi 16.
-
ICC yazijia juu nchi wanachama kwa kutomkamata Rais wa Sudan
Dec 13, 2017 23:42Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) amezikosoa vikali baadhi ya nchi wanachama wa Mkataba wa Roma uliounda mahakama hiyo, kwa kukataa kumtia mbaroni Rais Omar al-Bashir wa Sudan alipozitembelea.
-
ICC kuishitaki Jordan kwa kukataa kumtia nguvuni Rais wa Sudan
Dec 11, 2017 23:06Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imetangaza kuwa itairipoti Jordan katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kutokana na kukataa kumtia nguvuni Rais Omar al-Bashir wa Sudan alipokuwa safari nchini humo mwezi Machi mwaka huu.
-
Wanajeshi 10 wa Sudan wauawa katika mapigano huko Darfur
Nov 28, 2017 04:17Askari 10 akiwemo kamanda wa ngazi za juu wa jeshi la Sudan wameuawa katika mapigano mapya yaliyozuka hivi karibuni katika jimbo la Darfur.
-
Kamanda wa kundi moja la waasi atiwa mbaroni Darfur Sudan
Nov 27, 2017 11:45Wizara ya Ulinzi ya Sudan imetangaza habari ya kutiwa mbaroni kamanda wa kundi moja la waasi wa eneo la Darfur la magharibi mwa Sudan kwa tuhuma za kuvunja haki za binadamu.
-
Sudan katika jitihada za kustawisha uhusiano wake na Russia
Nov 27, 2017 04:42Rais Omar Hassan al Bashir wa Sudan ambaye alikuwa safarini mjini Moscow ameitaka Russia kuilinda Khartoum mbele ya uingiliaji kati wa Marekani nchini Sudan.
-
Al Bashir: Marekani ina mpango wa kuigawa Sudan
Nov 25, 2017 12:44Rais Omar al Bashir wa Sudan amesema kuwa mashinikizo na njama za Marekani ndivyo vilivyopelekea kugawanywa Sudan katika nchi mbili na kwamba Washington ina mpango wa kuigawa zaidi Sudan katika nchi tano tofauti.
-
Sudan yapinga misimamo dhidi ya Iran ya baadhi ya nchi za Kiarabu
Nov 22, 2017 23:57Rais Omar Hassan al Bashir wa Sudan amesema kuwa nchi yake haikubaliani na misimo iliyodhidi ya Iran na tangazo la vita la baadhi ya nchi za Kiarabu dhidi ya Jamhuri ya Kislamu.
-
Al Bashir atishia kuchukua hatua kali dhidi ya waasi Darfur
Nov 08, 2017 11:45Rais wa Sudan ametishia kuchukua hatua kali dhidi ya waasi wa Darfur iwapo hawatakabidhi silaha zao.
-
UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu hali ya wakimbizi wa Sudan Kusini
Oct 27, 2017 04:13Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kuhusu hali ya wakimbizi wa Sudan Kusini walioko katika mji mkuu wa nchi jirani ya Sudan, Khartoum.