-
Sudan yawahukumu jela wanaharakati watatu wa haki za binadamu
Mar 06, 2017 04:00Mahakama moja nchini Sudan imewahukumu wanaharakati watatu wa haki za binadamu kifungo cha mwaka mmoja jela kila mmoja baada ya kuwapata na hatia katika kesi iliyohusiana na ripoti za uwongo.
-
Waasi Sudan wawaachia huru wafungwa 127
Mar 06, 2017 00:30Waasi wanaopigana dhidi ya serikali katika maeneo ya kusini mwa Sudan wamewaachia huru mateka 127 huku jeshi la nchi hiyo likikaribisha hatua hiyo.
-
Wanajeshi wa Sudan waachiliwa huru kwa upatanishi wa Rais Museveni
Mar 05, 2017 04:09Waasi wa Harakati ya Wananchi ya Ukombozi wa Sudan wamewaachilia huru wanajeshi kadhaa wa nchi hiyo waliokuwa wanawashikilia mateka.
-
UNICEF: Watoto milioni 2 wa Sudan wanakabiliwa na utapiamlo
Feb 16, 2017 04:20Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umesema unahitaji dola milioni 110 za Marekani ili kuwanusuru mamia ya maelfu ya watoto ambao wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na utapiamlo nchini Sudan.
-
Sudan yakosoa sheria ya kibaguzi ya Trump dhidi ya Waislamu
Jan 31, 2017 10:15Msuguano wa kidiplomasia kati ya Washington na Khartoum umeibuka tena baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kupasisha sheria ya kuzuia raia wa Sudan na nchi nyingine 6 za Kiislamu kuingia nchini Marekani.
-
Mkuu wa chama cha upinzani Sudan asema yuko tayari kwa ajili ya amani
Jan 26, 2017 23:41Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini Sudan amesema yuko tayari kujiunga na mchakato wa kurejesha amani na demokrasia nchini humo.
-
Indonesia: Tumeshangazwa na jeshi la Sudan kuwatia mbaroni askari wetu
Jan 24, 2017 23:31Serikali ya Indonesia imetangaza kuwa, imeshangazwa na hatua ya jeshi la Sudan kuwatia mbaroni askari wa nchi hiyo na kwamba, kitendo hicho ni kinyume na sheria.
-
Serikali ya Sudan yafikia makubaliano ya amani na waasi
Jan 23, 2017 11:37Serikali ya Sudan imefikia makubaliano na kundi moja la waasi wa Darfur linalojiita Jeshi la Ukombozi wa Sudan ikiwa ni katika kalibu ya mwafaka wa amani ya Darfur uliotiwa saini mjini Doha Qatar.
-
Amnesty yaitaka Sudan iache kukiuka haki za wanafunzi wa Vyuo Vikuu
Jan 18, 2017 23:27Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limeitaka serikali ya Sudan ikomeshe dhulma na ukandamizaji dhidi ya wanafunzi wa Vyuo Vikuu nchini humo na hususan katika jimbo la Darfur.
-
Sudan na Sudan Kusini zaafikiana kuhusu kusafirisha msaada wa kibinadamu
Jan 06, 2017 04:33Serikali za Sudan na Sudan Kusini zimerefusha muda wa makubaliano ya pamoja kuhusu Sudan Kusini kupokea misaada ya kibinadamu kupitia ardhi ya Sudan kwa miezi sita zaidi.