Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Sudan yawahukumu jela wanaharakati watatu wa haki za binadamu

    Sudan yawahukumu jela wanaharakati watatu wa haki za binadamu

    Mar 06, 2017 04:00

    Mahakama moja nchini Sudan imewahukumu wanaharakati watatu wa haki za binadamu kifungo cha mwaka mmoja jela kila mmoja baada ya kuwapata na hatia katika kesi iliyohusiana na ripoti za uwongo.

  • Waasi Sudan wawaachia huru wafungwa 127

    Waasi Sudan wawaachia huru wafungwa 127

    Mar 06, 2017 00:30

    Waasi wanaopigana dhidi ya serikali katika maeneo ya kusini mwa Sudan wamewaachia huru mateka 127 huku jeshi la nchi hiyo likikaribisha hatua hiyo.

  • Wanajeshi wa Sudan waachiliwa huru kwa upatanishi wa Rais Museveni

    Wanajeshi wa Sudan waachiliwa huru kwa upatanishi wa Rais Museveni

    Mar 05, 2017 04:09

    Waasi wa Harakati ya Wananchi ya Ukombozi wa Sudan wamewaachilia huru wanajeshi kadhaa wa nchi hiyo waliokuwa wanawashikilia mateka.

  • UNICEF: Watoto milioni 2 wa Sudan wanakabiliwa na utapiamlo

    UNICEF: Watoto milioni 2 wa Sudan wanakabiliwa na utapiamlo

    Feb 16, 2017 04:20

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umesema unahitaji dola milioni 110 za Marekani ili kuwanusuru mamia ya maelfu ya watoto ambao wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na utapiamlo nchini Sudan.

  • Sudan yakosoa sheria ya kibaguzi ya Trump dhidi ya Waislamu

    Sudan yakosoa sheria ya kibaguzi ya Trump dhidi ya Waislamu

    Jan 31, 2017 10:15

    Msuguano wa kidiplomasia kati ya Washington na Khartoum umeibuka tena baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kupasisha sheria ya kuzuia raia wa Sudan na nchi nyingine 6 za Kiislamu kuingia nchini Marekani.

  • Mkuu wa chama cha upinzani Sudan asema yuko tayari kwa ajili ya amani

    Mkuu wa chama cha upinzani Sudan asema yuko tayari kwa ajili ya amani

    Jan 26, 2017 23:41

    Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini Sudan amesema yuko tayari kujiunga na mchakato wa kurejesha amani na demokrasia nchini humo.

  • Indonesia: Tumeshangazwa na jeshi la Sudan kuwatia mbaroni askari wetu

    Indonesia: Tumeshangazwa na jeshi la Sudan kuwatia mbaroni askari wetu

    Jan 24, 2017 23:31

    Serikali ya Indonesia imetangaza kuwa, imeshangazwa na hatua ya jeshi la Sudan kuwatia mbaroni askari wa nchi hiyo na kwamba, kitendo hicho ni kinyume na sheria.

  • Serikali ya Sudan yafikia makubaliano ya amani na waasi

    Serikali ya Sudan yafikia makubaliano ya amani na waasi

    Jan 23, 2017 11:37

    Serikali ya Sudan imefikia makubaliano na kundi moja la waasi wa Darfur linalojiita Jeshi la Ukombozi wa Sudan ikiwa ni katika kalibu ya mwafaka wa amani ya Darfur uliotiwa saini mjini Doha Qatar.

  • Amnesty yaitaka Sudan iache kukiuka haki za wanafunzi wa Vyuo Vikuu

    Amnesty yaitaka Sudan iache kukiuka haki za wanafunzi wa Vyuo Vikuu

    Jan 18, 2017 23:27

    Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limeitaka serikali ya Sudan ikomeshe dhulma na ukandamizaji dhidi ya wanafunzi wa Vyuo Vikuu nchini humo na hususan katika jimbo la Darfur.

  • Sudan na Sudan Kusini zaafikiana kuhusu kusafirisha msaada wa kibinadamu

    Sudan na Sudan Kusini zaafikiana kuhusu kusafirisha msaada wa kibinadamu

    Jan 06, 2017 04:33

    Serikali za Sudan na Sudan Kusini zimerefusha muda wa makubaliano ya pamoja kuhusu Sudan Kusini kupokea misaada ya kibinadamu kupitia ardhi ya Sudan kwa miezi sita zaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS