-
Museveni kuwakutanisha ana kwa ana Rais wa Sudan Kusini na Machar
Nov 05, 2019 04:29Rais Yoweri Museveni wa Uganda anatazamiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa ana kwa ana baina ya Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini na kinara wa upinzani Riek Machar jijini Kampala.
-
Kinara wa waasi Sudan Kusini atarejea Juba kwa ajili ya mazungumzo
Oct 18, 2019 04:01Kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini Riek Machar anatarajiwa kurejea Juba kwa ajili ya duru nyingine ya mazungumzo na Rais Salva Kiir.
-
Kiongozi wa waasi Sudan Kusini kukutana na Rais Kiir, wawili hao wanajadili mpango wa amani
Sep 09, 2019 08:44Kiongozi wa zamani wa waasi wa Sudan Kusini, Riek Machar alitazamiwa kufanya safari katika mji mkuu wa nchi hiyo, Juba hii leo kwa shabaha ya kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Salva Kiir.
-
Kuendelea vitendo vya utumiaji mabavu nchini Sudan Kusini
Aug 27, 2019 06:46Licha ya kutiwa saini makubaliano ya amani huko Sudan Kusini, lakini machafuko na vitendo vya utumiaji mabavu vingali vinaendelea kushuhudiwa katika nchi hiyo.
-
Machar atoa masharti mapya ya kurejea Sudan Kusini
Jul 14, 2019 02:54Kiongozi wa upinzani wa Sudan Kusini, Riek Machar ametoa mwito wa kuondolewa adhabu ya kifungo cha nyumbani, kama moja ya masharti yake ya kurejea mjini Juba.
-
Jumanne, tarehe 9 Julai, 2019
Jul 08, 2019 21:53Leo ni Jumanne tarehe 6 Dhulqaada 1440 Hijria sawa na tarehe 9 Julai mwaka 2019.
-
Jeshi la Sudan Kusini lakanusha madai ya UN kuwa limeua raia
Jul 04, 2019 21:56Jeshi la Sudan Kusini limekanusha vikali madai ya Umoja wa Mataifa kwamba limeua makumi ya raia wa nchi hiyo katika eneo la Central Equatoria.
-
Umoja wa Mataifa: Zaidi ya watu 100 wameuawa katika machafuko ya Sudan Kusini
Jul 04, 2019 00:13Umoja wa Mataifa umetangaza kuuwa, zaidi ya watu 100 wameuawa katika mapigano ya hivi karibuni katika nchi ya Sudan Kusini
-
UN: 60% ya wananchi wa Sudan Kusini wanakabiliwa na baa la njaa
Jun 15, 2019 03:28Mashirika ya Umoja wa Mataifa yamesema jumla ya watu milioni 7 sawa na asilimia 60 ya jamii nzima ya Sudan Kusini wanakabiliwa na baa la njaa.
-
Mapigano yaibuka upya jimboni Yei nchini Sudan Kusini
May 29, 2019 03:36Mapigano kati ya vikosi vya serikali na wapiganaji wa kundi la waasi la National Salvation Front (NAS) linaloongozwa na Jenerali Thomas Cirillo yameibuka upya katika mkoa wa Yei nchini Sudan Kusini.