-
Wanaochochea machafuko Sudan Kusini wawajibishwe
Sep 21, 2017 02:46Wito umetolewa kuhakikisha kwamba wanaochochea machafuko ya Sudan Kusini wanawajibishwa na pia misaada ya kibinadamu iwafikie wanaoihitajia katika nchi hiyo.
-
Watu 25 wauawa katika mapigano eneo lenye utajiri wa mafuta Sudan Kusini
Sep 19, 2017 11:01Waasi wa Sudan Kusini wameshambulia wanajeshi wa serikali katika jimbo la Unity ambalo lina visima vingi vya mafuta ambapo watu 25 wameuawa wakiwemo raia kadhaa.
-
Wapinzani Sudan Kusini wameituhumu serikali kuushambulia mji wa Aburok
Sep 13, 2017 23:24Wapinzani nchini Sudan Kusini wamevituhumu vikosi vya serikali kuwa vimeushambulia mji unaowahifadhi maelfu ya wakimbizi.
-
Majaji wasitisha mgomo wa miezi minne nchini Sudan Kusini
Sep 10, 2017 03:12Majaji na mahakimu nchini Sudan Kusini wametangaza kusitisha mgomo wao wa miezi minne baada ya Rais Salva Kiir wa nchi hiyo kuahidi kutimiza matakwa yao.
-
Tanzania: Tuna mahindi ya ziada, tutaanza kuuza Kongo DR na Sudan Kusini
Sep 10, 2017 03:02Serikali ya Tanzania imesema mazungumzo yanaendelea ili nchi hiyo ya Afrika Mashariki ianze kuuza mahindi kwenye Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na Sudan Kusini.
-
UNESCO: Watoto milioni 1.8 wamenyimwa fursa ya kusoma Sudan Kusini
Sep 08, 2017 23:17Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa UNESCO limetangaza kuwa, watoto wapatao milioni 1.8 wamenyimwa fursa ya kusoma katika nchi ya Sudan Kusini kutokana na hali mbaya ya vita na ukosefu wa amani.
-
Mgogoro wa kisiasa nchini Sudan Kusini na kuendelea mapigano
Aug 28, 2017 02:47Mgogoro wa kisiasa na mapigano katika nchi ya Sudan Kusini yanaendelea katika hali ambayo, kwa akali watu 40 wameuawa na kujeruhiwa katika mapigano mapya yaliyotokea kati ya jeshi la nchi hiyo na waasi katika jimbo la Yei.
-
19 akiwemo mwanahabari wa US wauawa katika mapigano Sudan Kusini
Aug 26, 2017 23:15Watu 19 akiwemo mwandishi wa habari raia wa Marekani wameuawa katika mapigano mapya baina ya vikosi vya serikali na waasi wanaobeba silaha katika jimbo la Yei, nchini Sudan Kusini.
-
Baraza la Usalama laitaka Sudan Kusini iache kukwamisha shughuli za kikosi cha UN
Aug 25, 2017 09:15Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeitaka serikali ya Sudan Kusini iache kukwamisha shughuli za kikosi cha askari wa kofia buluu wa Umoja wa Mataifa walioko katika nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.
-
Sudan Kusini yakabiliwa na uhaba wa mafuta ya petroli
Aug 23, 2017 09:39Vituo vya mafuta ya petroli Sudan Kusini vinakabiliwa na uhaba mkubwa wa bidhaa hiyo pamoja na kuwa nchi hiyo ina utajiri wa mafuta ghafi ya petroli.