Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Sudan Kusini yapiga marufuku ndege za walinda amani wa UN kutumia uwanja wa Juba

    Sudan Kusini yapiga marufuku ndege za walinda amani wa UN kutumia uwanja wa Juba

    Aug 22, 2017 10:57

    Serikali ya Sudan Kusini imepiga marufuku ndege za vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa kuruka kutokea uwanja wa ndege wa mji mkuu wa nchi hiyo, Juba.

  • Watoaji wa huduma za kibinadamu Sudan Kusini waendelea kushambuliwa

    Watoaji wa huduma za kibinadamu Sudan Kusini waendelea kushambuliwa

    Aug 19, 2017 23:54

    Mratibu wa masuala ya kibiadamu nchini Sudan Kusini amesema kuwa mashambulizi dhidi ya watoaji wa huduma za kibiandamu nchini humo yameongezeka.

  • Uganda yafungua kambi mpya kwa ajili ya wakimbizi wa Sudan Kusini

    Uganda yafungua kambi mpya kwa ajili ya wakimbizi wa Sudan Kusini

    Aug 16, 2017 23:42

    Uganda imefungua kambi mpya kwa ajili ya kuwapokea maelfu ya wakimbizi wa Sudan Kusini wanaozidi kumiminika kila uchao katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Mapigano makali yaikumba Sudan Kusini karibu na mpaka na Ethiopia

    Mapigano makali yaikumba Sudan Kusini karibu na mpaka na Ethiopia

    Aug 11, 2017 11:44

    Mapigano makali yameripotiwa kujiri leo katika mji wa Pagak nchini Sudan Kusini karibu na mpaka wa nchi hiyo na Ethiopia wakati waasi walipoanzisha mashambulizi dhidi ya askari jeshi wa serikali.

  • Jeshi la Sudan Kusini lateka ngome kuu ya waasi ya Pagak

    Jeshi la Sudan Kusini lateka ngome kuu ya waasi ya Pagak

    Aug 07, 2017 12:03

    Jeshi la serikali ya Sudan Kusini limefanikiwa kutwaa ngome kikuu ya waasi katika eneo la Pagak lililoko karibu na mpaka wa nchi hiyo na Ethiopia.

  • UN yaunga mkono kurejeshwa amani nchini Sudan Kusini

    UN yaunga mkono kurejeshwa amani nchini Sudan Kusini

    Aug 03, 2017 09:55

    Umoja wa Mataifa umekaribisha kurejeshwa amani na kuhitimishwa mivutano nchini Sudan Kusini.

  • UN yaunga mkono kurejeshwa amani nchini Sudan Kusini

    UN yaunga mkono kurejeshwa amani nchini Sudan Kusini

    Aug 03, 2017 09:41

    Umoja wa Mataifa umekaribisha kurejeshwa amani na kuhitimishwa mivutano nchini Sudan Kusini.

  • Abiria 14 wauawa na kujeruhiwa katika uvamizi Sudan Kusini

    Abiria 14 wauawa na kujeruhiwa katika uvamizi Sudan Kusini

    Aug 02, 2017 23:55

    Abiria wanne wameuawa na wengine zaidi ya 10 wamejeruhiwa baada ya watu waliojizatiti kwa silaha kushambulia msafara wa mabasi nchini Sudan Kusini.

  • Amnesty International :Ubakaji dhidi ya raia umekithiri Sudan Kusini

    Amnesty International :Ubakaji dhidi ya raia umekithiri Sudan Kusini

    Jul 24, 2017 10:32

    Jumuiya ya kutetea haki za binadamu ya Amnesty International imetahadharisha kuhusu ongezeko kubwa la ukatili wa kingono na ubakaji wa maelfu ya wanawake, wasichana na hata wanaume katika nchi za Sudan Kusini.

  • Ofisa wa Umoja wa Mataifa ataka amani irudi Sudan Kusini

    Ofisa wa Umoja wa Mataifa ataka amani irudi Sudan Kusini

    Jul 21, 2017 22:02

    Msaidizi wa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia ulinzi wa amani El Ghassim Wane amesema changamoto zinazoikabili Sudan Kusini zinatakiwa kuondolewa, ili kutumia fursa ya uwepo wa vikosi vya ulinzi wa usalama kuirudisha nchi hiyo kwenye hali ya utulivu na usalama.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS