Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Wafanyakazi wa UNICEF watekwa nyara Sudan Kusini

    Wafanyakazi wa UNICEF watekwa nyara Sudan Kusini

    Jul 12, 2017 10:00

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, wafanyakazi watatu wa shirika hilo wametekwa nyara nchini Sudan Kusini.

  • Jumapili Julai 9, 2017

    Jumapili Julai 9, 2017

    Jul 09, 2017 12:46

    Leo ni Jumapili tarehe 14 Shawwal 1438 Hijria, sawa na Julai 9, 2017 Miladia.

  • UN yatahadharisha kuhusu ukosefu wa amani Sudan Kusini

    UN yatahadharisha kuhusu ukosefu wa amani Sudan Kusini

    Jul 05, 2017 10:02

    Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini umetangaza kuwa nchini hiyo inasumbuliwa na hali hatari sana ya ukosefu wa amani.

  • Kuakhirishwa mazungumzo ya usalama kati ya Sudan na Sudan Kusini

    Kuakhirishwa mazungumzo ya usalama kati ya Sudan na Sudan Kusini

    Jul 03, 2017 23:14

    Mazungumzo ya amani kati ya Sudan na Sudan Kusini yameakhirishwa hadi wakati mwingine kutokana na matatizo ya kilojistiki.

  • Katibu Mkuu UN: Sharti vita vimalizike Sudan Kusini ili kutatua mgogoro wa wakimbizi

    Katibu Mkuu UN: Sharti vita vimalizike Sudan Kusini ili kutatua mgogoro wa wakimbizi

    Jun 23, 2017 23:06

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema suluhu ya wimbi kubwa la wakimbizi barani Afrika tangu mauaji ya Kimbari ya Rwanda ni kumaliza mgogoro wa Sudan Kusini.

  • Ripoti ya UN: Sudan Kusini haina tena baa la njaa

    Ripoti ya UN: Sudan Kusini haina tena baa la njaa

    Jun 21, 2017 23:50

    Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu usalama wa chakula iliyotolewa Jumatano wiki hii imeeleza kuwa Sudan Kusini haiko tena katika kipengee cha nchi zilizoathiriwa na baa la njaa, japokuwa watu 45,000 katika mikoa ya Jonglei na Unity nchini humo wanatarajiwa kuendelea kukabiliwa na hali ngumu na kwamba hali ya mambo hata hivyo bado ni mbaya.

  • UNICEF: Watoto 1,000 wanakimbia vita Sudan Kusini kila siku

    UNICEF: Watoto 1,000 wanakimbia vita Sudan Kusini kila siku

    Jun 20, 2017 09:13

    Huku ulimwengu leo ukiadhimisha Siku ya Wakimbizi duniani, imebainika kuwa watoto 1,000 kila siku hufurushwa makwao nchini Sudani Kusini.

  • UN: Ugonjwa wa kuharisha umeua watu 279 nchini Sudan

    UN: Ugonjwa wa kuharisha umeua watu 279 nchini Sudan

    Jun 13, 2017 08:58

    Ofisi ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa OCHA imesema kwa akali watu 279 wamepoteza maisha kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kuharisha nchini Sudan.

  • Rais Salva Kiir akosa kuhudhuria mkutano wa IGAD kuhusu nchi yake

    Rais Salva Kiir akosa kuhudhuria mkutano wa IGAD kuhusu nchi yake

    Jun 12, 2017 09:28

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amekosa kuhudhuria mkutano wa Jumuiya ya Kieneo ya Nchi za Afrika Mashariki (IGAD) unaofanyika katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa unajadili mgogoro wa wakimbizi katika nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.

  • Mrengo wa waasi Sudan Kusini wasaini mapatano ya amani

    Mrengo wa waasi Sudan Kusini wasaini mapatano ya amani

    Jun 05, 2017 01:59

    Kundi la waasi la Sudan Kusini katika Jimbo la Yei River limesaini makubaliano ya amani na serikali ili kumaliza mapigano yaliyosababisha maelfu ya watu kukimbia makazi yao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS