-
Watoto 15 wamekufa baada ya chanjo ya surua kwenda mrama Sudan Kusini
Jun 02, 2017 09:42Watoto 15 wamepoteza maisha Sudan Kusini baada ya kampeni ya chanjo ya surua ya tarehe 10 hadi 14 Mei kwenda mrama.
-
Papa afuta safari ya Sudan Kusini kutokana na sababu za 'kiusalama'
May 30, 2017 23:29Makao makuu ya Kanisa Katoliki Vatican yamefuta safari ya Kiongozi wa kanisa hilo Papa Francis, nchini Sudan Kusini.
-
Askari 13 wa Sudan Kusini wanaotuhumiwa ubakaji, mauaji wapandishwa kizimbani
May 30, 2017 11:11Wanajeshi 13 wa Sudan Kusini wamefunguliwa mashtaka ya ubakaji na mauaji katika kesi inayoonekana kutumiwa na serikali ya Juba kuonyesha kuwa ina uwezo wa kusikiliza kesi za jinai za kivita.
-
Umoja wa Mataifa: Machafuko Sudan Kusini si ya kibinadamu
May 30, 2017 00:00Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa taarifa na kueleza kuwa, machafuko na vitendo vya utumiaji mabavu katika nchi ya Sudan Kusini ni vya kidhalimu na visivyo vya kibinadamu.
-
Makamu wa Rais wa Afrika Kusini atuhumiwa kupokea rushwa kutoka kwa Kiir
May 26, 2017 22:49Waasi nchini Sudan Kusini wamemtuhumu Makamu wa Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa kwamba amepokea rushwa kutoka kwa Rais Salva Kiir wa nchi hiyo changa zaidi barani Afrika ili kuendelea kumzuilia kiongozi wao Riek Machar ambaye yuko nchini humo.
-
Rais wa Sudan Kusini atangaza usitishaji vita wa upande mmoja
May 22, 2017 11:56Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini leo ametangaza usitishaji vita wa upande mmoja na kuahidi kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa katika nchi hiyo iliyoharibiwa vibaya na vita vya wenyewe kwa wenyewe.
-
UN yabaini kuwepo ukiukwaji mkubwa wa haki za raia Yei, Sudan Kusini
May 20, 2017 23:03Ripoti ya Umoja wa Mataifa inaelezea matokeo ya uchunguzi wa kina kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu na ukatili mwingine uliotekelezwa kwenye mji wa Yei jimbo la Equatoria ya Kati nchini Sudan Kusini kati ya Julai 2016 na Januari 2017.
-
Umoja wa Mataifa wataka kusaidia wakimbizi wa Sudan Kusini
May 15, 2017 09:35Umoja wa Mataifa umetaka wakimbizi wa Sudan Kusini wasaidiwe ili waweze kujikimu na matatizo mbalimbali wanayokabiliwa nayo.
-
UN yaituhumu Ukraine kuwa inatuma silaha Sudan Kusini
May 15, 2017 03:02Umoja wa Mataifa umeituhumu Ukraine kuwa imekiuka vikwazo vya kimataifa dhidi ya Sudan Kusini kwa kuiuzia nchi hiyo ya Afrika silaha.
-
Wapinzani waungana dhidi ya serikali nchini Sudan Kusini
May 14, 2017 00:08Makundi saba ya upinzani nchini Sudan Kusini yamezika tofauti zao na kusema kuwa yatashirikiana kwa lengo la kuiondoa madarakani serikali ya sasa ya Rais Salva Kiir.