Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Watoto 15 wamekufa baada ya chanjo ya surua kwenda mrama Sudan Kusini

    Watoto 15 wamekufa baada ya chanjo ya surua kwenda mrama Sudan Kusini

    Jun 02, 2017 09:42

    Watoto 15 wamepoteza maisha Sudan Kusini baada ya kampeni ya chanjo ya surua ya tarehe 10 hadi 14 Mei kwenda mrama.

  • Papa afuta safari ya Sudan Kusini kutokana na sababu za 'kiusalama'

    Papa afuta safari ya Sudan Kusini kutokana na sababu za 'kiusalama'

    May 30, 2017 23:29

    Makao makuu ya Kanisa Katoliki Vatican yamefuta safari ya Kiongozi wa kanisa hilo Papa Francis, nchini Sudan Kusini.

  • Askari 13 wa Sudan Kusini wanaotuhumiwa ubakaji, mauaji wapandishwa kizimbani

    Askari 13 wa Sudan Kusini wanaotuhumiwa ubakaji, mauaji wapandishwa kizimbani

    May 30, 2017 11:11

    Wanajeshi 13 wa Sudan Kusini wamefunguliwa mashtaka ya ubakaji na mauaji katika kesi inayoonekana kutumiwa na serikali ya Juba kuonyesha kuwa ina uwezo wa kusikiliza kesi za jinai za kivita.

  • Umoja wa Mataifa: Machafuko Sudan Kusini si ya kibinadamu

    Umoja wa Mataifa: Machafuko Sudan Kusini si ya kibinadamu

    May 30, 2017 00:00

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa taarifa na kueleza kuwa, machafuko na vitendo vya utumiaji mabavu katika nchi ya Sudan Kusini ni vya kidhalimu na visivyo vya kibinadamu.

  • Makamu wa Rais wa Afrika Kusini atuhumiwa kupokea rushwa kutoka kwa Kiir

    Makamu wa Rais wa Afrika Kusini atuhumiwa kupokea rushwa kutoka kwa Kiir

    May 26, 2017 22:49

    Waasi nchini Sudan Kusini wamemtuhumu Makamu wa Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa kwamba amepokea rushwa kutoka kwa Rais Salva Kiir wa nchi hiyo changa zaidi barani Afrika ili kuendelea kumzuilia kiongozi wao Riek Machar ambaye yuko nchini humo.

  • Rais wa Sudan Kusini atangaza usitishaji vita wa upande mmoja

    Rais wa Sudan Kusini atangaza usitishaji vita wa upande mmoja

    May 22, 2017 11:56

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini leo ametangaza usitishaji vita wa upande mmoja na kuahidi kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa katika nchi hiyo iliyoharibiwa vibaya na vita vya wenyewe kwa wenyewe.

  • UN yabaini kuwepo ukiukwaji mkubwa wa haki za raia Yei, Sudan Kusini

    UN yabaini kuwepo ukiukwaji mkubwa wa haki za raia Yei, Sudan Kusini

    May 20, 2017 23:03

    Ripoti ya Umoja wa Mataifa inaelezea matokeo ya uchunguzi wa kina kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu na ukatili mwingine uliotekelezwa kwenye mji wa Yei jimbo la Equatoria ya Kati nchini Sudan Kusini kati ya Julai 2016 na Januari 2017.

  • Umoja wa Mataifa wataka kusaidia wakimbizi wa Sudan Kusini

    Umoja wa Mataifa wataka kusaidia wakimbizi wa Sudan Kusini

    May 15, 2017 09:35

    Umoja wa Mataifa umetaka wakimbizi wa Sudan Kusini wasaidiwe ili waweze kujikimu na matatizo mbalimbali wanayokabiliwa nayo.

  • UN yaituhumu Ukraine kuwa inatuma silaha Sudan Kusini

    UN yaituhumu Ukraine kuwa inatuma silaha Sudan Kusini

    May 15, 2017 03:02

    Umoja wa Mataifa umeituhumu Ukraine kuwa imekiuka vikwazo vya kimataifa dhidi ya Sudan Kusini kwa kuiuzia nchi hiyo ya Afrika silaha.

  • Wapinzani waungana dhidi ya serikali nchini Sudan Kusini

    Wapinzani waungana dhidi ya serikali nchini Sudan Kusini

    May 14, 2017 00:08

    Makundi saba ya upinzani nchini Sudan Kusini yamezika tofauti zao na kusema kuwa yatashirikiana kwa lengo la kuiondoa madarakani serikali ya sasa ya Rais Salva Kiir.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS