Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Rais wa Sudan Kusini ampiga kalamu nyekundu kamanda mkuu wa jeshi

    Rais wa Sudan Kusini ampiga kalamu nyekundu kamanda mkuu wa jeshi

    May 12, 2017 11:45

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amempiga kalamu nyekundu kamanda mkuu wa jeshi la nchi hiyo.

  • Wakimbizi wa Sudan Kusini wamiminika Sudan kwa maelfu

    Wakimbizi wa Sudan Kusini wamiminika Sudan kwa maelfu

    May 12, 2017 01:55

    Maelfu ya wakimbizi wa Sudan Kusini wanaendelea kumiminika nchi jirani ya Sudan wakitafuta mahala salama katika nchi ambayo walijitenga nayo miaka kadhaa iliyopita.

  • Watu wenye silaha washambulia msafara wa Makamu wa Rais wa Sudan Kusini

    Watu wenye silaha washambulia msafara wa Makamu wa Rais wa Sudan Kusini

    May 09, 2017 23:50

    Watu wenye silaha wameushambulia msafara wa Makamu wa Rais wa Sudan Kusini na kujeruhi walinzi wake watatu ikiwa ni uthibitisho wa wazi kuwa hali ya kiusalama bado ni mbaya nchini humo.

  • Vita vyawalazimisha watoto milioni mbili Sudan Kusini kukimbia makazi yao

    Vita vyawalazimisha watoto milioni mbili Sudan Kusini kukimbia makazi yao

    May 08, 2017 10:55

    Umoja wa Mataifa umetangaza leo kuwa vita na ukame vimewalazimisha watoto zaidi ya milioni mbili kuyahama makazi yao nchini Sudan Kusini huku watu 21 wakiuawa katika shambulio la karibuni lililofanywa na watu wenye silaha wasiojulikana.

  • UN: Watoto milioni 2 wa Sudan Kusiniwamelazimika kuwa wakimbizi

    UN: Watoto milioni 2 wa Sudan Kusiniwamelazimika kuwa wakimbizi

    May 08, 2017 03:18

    Umoja wa Mataifa umesema watoto zaidi ya milioni 2 wa Sudan Kusini wamelazimika kuyahama makazi yao kutokana na mapigano na ukame vinavyoisakama nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.

  • UN yalaani shambulizi dhidi ya askari wa kusimamia amani huko Sudan Kusini

    UN yalaani shambulizi dhidi ya askari wa kusimamia amani huko Sudan Kusini

    May 07, 2017 23:01

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, limelaani shambulizi la hivi karibuni la waasi wa Sudan Kusini dhidi ya askari wa kusimamia amani wa umoja huo katika mji wa Leer, magharibi mwa mkoa wa Upper Nile.

  • Umoja wa Mataifa waonyesha wasiwasi wake kutokana na kuendelea machafuko Sudan Kusini

    Umoja wa Mataifa waonyesha wasiwasi wake kutokana na kuendelea machafuko Sudan Kusini

    May 05, 2017 09:09

    Mkuu wa Kamisheni ya Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameonyesha wasiwasi mkubwa alionao kutokana na kuendelea mgogoro wa Sudan Kusini na ametoa wito wa kusimamishwa mapigano katika nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.

  • Uingereza yatuma mamia ya askari wake nchini Sudan Kusini

    Uingereza yatuma mamia ya askari wake nchini Sudan Kusini

    May 03, 2017 03:14

    Serikali ya Uingereza imeanza kutuma askari 400 wa nchi hiyo nchini Sudan Kusini kwenda kujiunga na Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa UNMISS.

  • Sudan Kusini yaipiga marufuku televisheni ya 'Aljazeera' nchini humo

    Sudan Kusini yaipiga marufuku televisheni ya 'Aljazeera' nchini humo

    May 02, 2017 03:48

    Ofisi ya kusimamia vyombo vya habari nchini Sudan Kusini, imezifunga ofisi za televisheni ya Al-Jazeera ya Kingereza kuendelea na shughuli zake ndani ya nchi hiyo.

  • AU yaonyesha masikitiko yake makubwa juu ya kuendelea mapigano Sudan Kusini

    AU yaonyesha masikitiko yake makubwa juu ya kuendelea mapigano Sudan Kusini

    May 01, 2017 09:36

    Umoja wa Afrika umeonyesha wasi wasi wake mkubwa kutokana na hali mabaya nchini Sudan Kusini na kuendelea mapigano sambamba na mashambulizi dhidi ya raia wa kawaida.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS