-
Rais wa Sudan Kusini ampiga kalamu nyekundu kamanda mkuu wa jeshi
May 12, 2017 11:45Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amempiga kalamu nyekundu kamanda mkuu wa jeshi la nchi hiyo.
-
Wakimbizi wa Sudan Kusini wamiminika Sudan kwa maelfu
May 12, 2017 01:55Maelfu ya wakimbizi wa Sudan Kusini wanaendelea kumiminika nchi jirani ya Sudan wakitafuta mahala salama katika nchi ambayo walijitenga nayo miaka kadhaa iliyopita.
-
Watu wenye silaha washambulia msafara wa Makamu wa Rais wa Sudan Kusini
May 09, 2017 23:50Watu wenye silaha wameushambulia msafara wa Makamu wa Rais wa Sudan Kusini na kujeruhi walinzi wake watatu ikiwa ni uthibitisho wa wazi kuwa hali ya kiusalama bado ni mbaya nchini humo.
-
Vita vyawalazimisha watoto milioni mbili Sudan Kusini kukimbia makazi yao
May 08, 2017 10:55Umoja wa Mataifa umetangaza leo kuwa vita na ukame vimewalazimisha watoto zaidi ya milioni mbili kuyahama makazi yao nchini Sudan Kusini huku watu 21 wakiuawa katika shambulio la karibuni lililofanywa na watu wenye silaha wasiojulikana.
-
UN: Watoto milioni 2 wa Sudan Kusiniwamelazimika kuwa wakimbizi
May 08, 2017 03:18Umoja wa Mataifa umesema watoto zaidi ya milioni 2 wa Sudan Kusini wamelazimika kuyahama makazi yao kutokana na mapigano na ukame vinavyoisakama nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.
-
UN yalaani shambulizi dhidi ya askari wa kusimamia amani huko Sudan Kusini
May 07, 2017 23:01Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, limelaani shambulizi la hivi karibuni la waasi wa Sudan Kusini dhidi ya askari wa kusimamia amani wa umoja huo katika mji wa Leer, magharibi mwa mkoa wa Upper Nile.
-
Umoja wa Mataifa waonyesha wasiwasi wake kutokana na kuendelea machafuko Sudan Kusini
May 05, 2017 09:09Mkuu wa Kamisheni ya Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameonyesha wasiwasi mkubwa alionao kutokana na kuendelea mgogoro wa Sudan Kusini na ametoa wito wa kusimamishwa mapigano katika nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.
-
Uingereza yatuma mamia ya askari wake nchini Sudan Kusini
May 03, 2017 03:14Serikali ya Uingereza imeanza kutuma askari 400 wa nchi hiyo nchini Sudan Kusini kwenda kujiunga na Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa UNMISS.
-
Sudan Kusini yaipiga marufuku televisheni ya 'Aljazeera' nchini humo
May 02, 2017 03:48Ofisi ya kusimamia vyombo vya habari nchini Sudan Kusini, imezifunga ofisi za televisheni ya Al-Jazeera ya Kingereza kuendelea na shughuli zake ndani ya nchi hiyo.
-
AU yaonyesha masikitiko yake makubwa juu ya kuendelea mapigano Sudan Kusini
May 01, 2017 09:36Umoja wa Afrika umeonyesha wasi wasi wake mkubwa kutokana na hali mabaya nchini Sudan Kusini na kuendelea mapigano sambamba na mashambulizi dhidi ya raia wa kawaida.