-
Serikali ya Juba yatoa masharti ya kupelekwa askari wa UN Sudan Kusini
Jan 16, 2017 05:21Serikali ya Sudan Kusini imetoa sharti la kupasishwa azimio jipya kwa ajili ya kupelekwa askari wa kulinda amani wa Umoja Mataifa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Juba.
-
Congo DR yataka kufukuzwa waasi wa Rwanda, Sudan Kusini katika ardhi ya nchi hiyo
Jan 12, 2017 23:28Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeutaka Umoja wa Mataifa kutayarisha mazingira ya kuwaondoa waasi wa Rwanda na Sudan Kusini katika ardhi ya nchi hiyo.
-
Raia zaidi ya milioni mbili wa Sudan Kusini wakimbilia nchi jirani
Jan 09, 2017 23:20Raia wengi wa Sudan Kusini wamelazimika kuihama nchi hiyo na kukimbilia katika nchi jirani kutokana na mgogoro wa kisiasa na mauaji yanayoendelea nchini humo.
-
Raia milioni mbili wakimbia Sudan Kusini
Jan 08, 2017 10:22Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa wakimbizi wa Sudan Kusini zaidi ya milioni mbili walikimbilia Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mwaka jana kwa ajili ya kutafuta hifadhi.
-
Sudan na Sudan Kusini zaafikiana kuhusu kusafirisha msaada wa kibinadamu
Jan 06, 2017 04:33Serikali za Sudan na Sudan Kusini zimerefusha muda wa makubaliano ya pamoja kuhusu Sudan Kusini kupokea misaada ya kibinadamu kupitia ardhi ya Sudan kwa miezi sita zaidi.
-
Sudan yaongeza muda wa usitishaji vita katika maeneo yenye mzozo
Jan 01, 2017 13:05Rais wa Sudan ametangaza kuongeza muda wa usitishaji vita kwa mwezi mmoja mwingine katika maeneo yanayozozaniwa nchini humo.
-
Machar: Jumuiya za kimataifa zisitishe mauaji ya kimbari Sudan Kusini
Dec 25, 2016 12:19Kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini amezitaka jumuiya za kimataifa zisaidie jutihada za kukomesha mgogoro wa kisiasa nchini humo.
-
Kuundwa kamati ya mazungumzo ya kitaifa; hatua moja mbele ya kurejesha amani na utulivu Sudan Kusini
Dec 24, 2016 00:16Kuendelea mgogoro nchini Sudan Kusini, kuongezeka machafuko na wahanga wa machafuko hayo kwa upande mmoja, na kwa upande mwingine, kufanyika juhudi kieneo na kimataifa za kukomesha mauaji nchini humo, vimemfanya Rais Salva Kiir achukue hatua ya kuunda "Kamati ya Mazungumzo ya Kitaifa" kwa lengo la kuhitimisha mgogoro huo.
-
Umoja wa Mataifa wakataa wito wa kuwekewa vikwazo vya silaha Sudan Kusini
Dec 23, 2016 23:39Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepinga wito wa kuwekewa vikwazo vya silaha Sudan Kusini, ambayo inashuhudia mapigano kwa mwaka wa nne sasa.
-
Onyo la Ban kuhusu uwezekano wa kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini
Dec 20, 2016 11:15Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeondoka Ban Ki-Moon ameonya kuhusu uwezekano wa kuibuka mauaji ya kimbari Sudan Kusini iwapo hatua za haraka hazitachukuliwa.