-
Ban akariri wito wa kuwekewa vikwazo vya silaha Sudan Kusini
Dec 20, 2016 04:28Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuwa Sudan Kusini iko katika ncha ya kushuhudia mauaji ya kimbari iwapo hatua za dharura hazitachukuliwa, huku akikariri wito wake wa kutaka nchi hiyo iwekewe vikwazo vya silaha.
-
Juhudi zaidi za kuleta amani Sudan Kusini zinahitajika
Dec 18, 2016 10:33Mkuu wa Kamati ya Kusimamia Utekelezaji wa Makubaliano ya Amani ya Sudan Kusini ametaka juhudi zaidi zifanyike kwa ajili ya kurejea amani na utulivu nchini humo.
-
Watoto 17,000 watumika kama askari Sudan Kusini
Dec 17, 2016 04:31Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF limesema kuna watoto elfu 17 wanaotumiwa kama askari wa makundi ya wapinzani nchini Sudan Kusini.
-
Wapinzani S/Kusini wakaribisha mazungumzo ya kitaifa
Dec 16, 2016 12:05Wapinzani wa serikali ya Sudan Kusini wameunga mkono kufanyika mazungumzo ya kitaifa nchini humo.
-
Mchanganuzi: US, UK na Israel zimezitelekeza Sudan mbili baada ya kuzitenganisha
Dec 15, 2016 10:43Katika hali ambayo Sudan Kusini inatimiza miaka mitatu ya mapigano, machafuko na uhasama, wachanganuzi wa mambo wanasema kuwa, Marekani, Uingereza na Israel zimeitelekeza nchi hiyo na jirani yake Sudan, licha ya kuhusika moja kwa moja katika mpango wa kuzitenganisha.
-
Rais wa Sudan Kusini ataka kufanyika Mazungumzo ya Kitaifa
Dec 15, 2016 00:49Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini ametoa wito wa kufanyika 'Mazungumzo ya Kitaifa' ili kuupatia ufumbuzi mzozo wa kisiasa na kiusalama unaoikabili nchi hiyo.
-
UN yataka kutumwa askari wa kulinda amani Sudan Kusini
Dec 14, 2016 10:44Umoja wa Mataifa umetoa wito wa kutumwa askari wa kulinda amani nchini Sudan Kusini, ili kuzuia nchi hiyo isitumbukie katika mauaji ya kimbari kama yale yaliyoshuhudiwa nchini Rwanda mwaka 1994.
-
Kikao cha viongozi wa IGAD cha kujadili amani ya eneo
Dec 11, 2016 03:38Viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ustawi wa Mashariki mwa Afrika IGAD wamekutana katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa kwa kikao cha 29 cha dharura ambacho kimefanyika kwa uenyekiti wa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Hailemariam Desalegn kujadili amani na uthabiti wa eneo hasa katika nchi za Sudan Kusini na Somalia.
-
AU yaitaka Sudan Kusini ipambane na ukatili dhidi ya wanawake
Dec 09, 2016 23:32Umoja wa Afrika umeitaka serikali ya Sudan Kusini ichukue hatua madhubuti za kupambana na ukatili dhidi ya wanawake nchini humo.
-
UN: Idadi ya watu ambayo 'haijawahi kushuhudiwa' wanakabiliwa na baa kubwa la njaa Sudan Kusini
Dec 03, 2016 04:17Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetangaza kuwa watu wapatao milioni tatu na laki sita wanakabiliwa na uhaba mkubwa mno wa chakula nchini Sudan Kusini ambao ni kiwango cha juu zaidi kuwahi kushuhudiwa katika msimu wa mavuno, huku hali hiyo ikitazamiwa kuwa mbaya zaidi ifikapo mwakani baada ya chakula cha mavuno ya sasa kumalizika.